AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA IKUNGI - NOV 2014

Mtendaji Wa Kijiji III(X 26) 
Location > Singida

 SIFA ZA MWOMBAJI:
•Awe na Elimu ya Kidato cha Nne( IV) au Sita (VI)
•AJiyehitimu mafunzo ya Astashahada/Stashahada katika moja ya fani
zifuatazo: Utawala, Sheria, Elimu ya Jamii, Usimamizi wa fedha, Maendeleo ya Jamii, na sayansi ya sanaa kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo, Dodoma au chuo chachote kinachotambuliwa na Serikali.

KAZI NA MAJUKUMU
Kazi/Majukumu ya kufanya:
Mtendaji Mkuu wa Serikali wa Kijiji.
Kusimamia ulinzi na usalama wa raia na mati zao.
Kuratibu na kusimamia upangaji na utekelezaji wa mipango ya maendeleo
yakijiji.
Katibu wa mikutano na kamati zote za Halmashauri ya kijiji.
Kutafsiri na kusimamia sera, sheria na taratibu.
Kuandaa taarlfa za utekelezaji wa kazi katika eneo lake na kuhamasisha
wananchi katika kuandaa na kutekeleza uza1ishaji mali.
Kiongozi waWakuu wa vitengo vya kitaalam katika kijiji. .
Kusirnamia, kukusanya na kuhifadhi kumbukumbu zote na nyaraka za kijiji.
Kusimamia utungaji wa sheria ndogo za kijiji.
Atawajibika kwa mtendaji wa kata.

MSHAHARA:
Mshahara wa kuanzia ni kima cha serikati katika ngazi ya TGS. B ambayo ni
T.Shs.34S,OOO/= kwa mwezi.
 
Msaidizi wa Ofisi (x 5)
Location > Singida 

SIFA ZA MWOMBA.Jl:
Awe wamehitimu wa kidato eha nne (IV) na waliofauJu vizuri katika masomo ya kiingereza, kiswahili na Hisabati.

KAZI/ MAJUKUMU YA MSAIDIZI WA OFISI
a. Kufanya usafi wa ofisi na mazingira ya nje na ndani ikiwa ni pamoja na kufagia, kufuta vurnbi, kupiga deki, kukata majani, kupalilia bustani, kumwagilia maji bustani, kupanda maua au miti na kusafisha vyoo. .
b.Kuehuka na kupeleka rnajalada na hati nyingine kwa maofisa wanaohusika na kuyarudisha sehemu zinazohusika.
e.Kusambaza barua za ofisi kama jinsi atakavyoelekezwa
f.Kutayarisha chai ya ofisi
g.Kupeleka mfuko wa posta na kuehukua barua kutoka posta.
h.Kuhakikisha kwamba vifaa vya ofisi vinawekwa sehemu zinazostahili.
i.Kufungua milango na madirisha ya ofisi wakati wa asubuhi na jioni na kuyafunga baada ya saa za kazi.
h.Kudurufu barua au maehapisho kwenye rnashine za kudurufia
i.Kuweka katika majalada nakala za barua zilizochapwa katika ofisi walizomo
j.Kutunza vifaa vya ofisi na kutoa ripoti kila vinapoharibika.

MSHAHARA
Mshahara kwa nafasi hiyo ni TGOS 'A' sawa na T.Sha.265,OOO/= kwa mwezi

Mlinzi (Security Guard) ( x 23) 
Location > Singida

 IFA ZA MWOMBAJl:
Awe amehitimu kidato cha nne na kufuzu mafunzo ya Mgambo Polisi JKT au mafunzo ya Zimamoto kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali.

KAZl YA KUFANYA
a.Kuhakikisha mall yoyote ya Otisi inayololewa langoni (Nje ya Ofisi) ina hati ya idhini.
b.Kuhakikisha mall yole inayoingizwa langoni inazo hati za uhaIali wake.
c.Kulinda usalama wa majengo, OfJSi na mall za Ofisi mchana na usiku.
Kuhakikisha kwamba milango na madirisha yote yamefungwa ipasavyo mwisho wa saa za kazi.
d.Kuhakikisha kwamba wageni wote wanaoingia katika eneo la Otisi wanaidhini ya kufanya hivyo.
e.Kupambana na majanga yote yatakayotokea katika sehemu ya kazi kama vile moto, mafuriko n.k na kutoa taarifa katika vyombo vinavyohusika, kama vile polisi na zimamoto.
f.Kutoa ushauri wa jinsi ya kuboresha huduma ya ulinzi mahali pa kazi.

MSHAHARA
•Mshahara kwa nafasi hiyo ni TGOS 'A' sawa na T.Sha.265,OOO/= kwa
Mwezi.

Dereva II (X 3) 
Location > Singida

 SIFA ZA MWOMBAJl:
•Awe na cheti cha rntihani wa kidato cha nne (IV).
•Awe na leseni daraja la "C' ya ueodeshaji pamoja na uzoefu wa kueodesha magari kwa muda usiopungua miaka mitatu bila kusababisha ajali,
•Awe na cheti cha majaribio ya ufundi daraja la nne

KAZl ZA KUFANYA:
a.Kuendesha magari ya abiria na malori.
b.Kuhakikisha gari na vyombo vyake vipo katika hali nzuri wakati wote, na kufanya uchunguzi wa gari kabla na baada ya safari ili kugundua ubovu unaohitaji matengenezo.
c.Kufanya matengenezo madogo madogo katika gari.
d.Kutunza na kuandika daftari la safari 'Log- Book" kwa safari zote.

MSHAJIARA:
Ngazi ya mshahara wa Serikali TG08 'A" ambayo ni T.8ha.265,OOO/=.
APPLICATION INSTRUCTIONS:

UTARATIBU WA UOMBAJI:
Mwombaji awe Raia wa Tanzania na awe tayari kufanya kazi sehemu yoyote kwenye Halmashauri ya Wilaya ya lkungi.
Barua za maombi ziambatanishwe na nakala za vyeti vya elimu, Taaluma, Cheti eha kuzaliwa na picha mbili za rangi (Passport size)
Barua za maombi ziambatanishwe na maelezo Binafsi ya mwornbaji (CV].
Waombaji waliosorna nje ya nehi, waambatanishe uthibitisho wa vyeti vyao kutoka Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA). •
Waombaji wote wanatakiwa wawe na umri kuanzia 18 hadi umri usiozidi miaka 45.
Waombaji waliokidhi sifa wataitwa kwenye usaili
Waombaji watakaoitwa kwenye usaili watatakiwa waje na vyeti halisi(original Certificate).
Waombaji waandike anuani zao kwa usahihi na namba zao za simu

Maombi yote yatumwe kwa anwani ifuatayo:-
MKURUGENZI MfENDAJI (W),
HALMASHAURIYA WILAYAIKUNGI,
S.L.P.42,
SINGIDA
AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA IKUNGI - NOV 2014 AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA IKUNGI - NOV 2014 Reviewed by Unknown on 1:09:00 AM Rating: 5

JOBS CATEGORY

Tanzania Kenya NGO JOBS Uganda Best Jobs Consultancy Rwanda ICT JOBS Administrative United Nations Sudan Best Jobs Finance Health - Medical Engineering Ethiopia Education Agricultural Lecturer Human Resources Somalia Media Congo - Kinshasa Legal Jobs Bank Jobs Monitoring and Evaluation Mining World Vision Burundi Procurement African Barrick Gold Accountant Zambia Sales and Marketing US EMBASSY East African Community Mozambique Telecoms Research CARE International Save The Children Plan International Arusha Malawi South Sudan Oxfam Scholarships African Development Bank Finance and Administration SafariCom Aviation The Commonwealth American Embassy Sales Zanzibar Environmental Catholic Relief Services Dar es salaam USAID Operations FHI 360 UNDP Security World Bank Economist TradeMark East Africa Unicef Hospitality Managers International Rescue Committee (IRC) Restless Development Accounting Civil Engineers AMREF Morogoro Utumishi AfDB African Development Bank COOPI - Cooperazione Internazionale Driver - Logistics Path International Mwanza African Union Tigo Jobs Marketing Mbeya Teaching Au African Union PSI Population Services International Pwc PricewaterhouseCoopers East African Breweries North Mara Gold Mine ACTED Djibouti Malaria Consortium Bulyanhulu Gold Mine DFID Driver Buzwagi Gold Mine Jhpiego COMESA FINCA JOBS International Jobs Adeso Danish Refugee Council Kilimanjaro Nairobi Coca-Cola Handicap International Pact International Rio Tinto Solidarités International Tender EGPAF Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation Logistics Serengeti Breweries Ltd Nation Media Group Africare Norwegian Refugee Council Samaritan's Purse Chemonics International COUNTRY DIRECTOR ICAP of Columbia University InterShips Precision Air RwandAir Marie Stopes International (MSI) Serengeti Breweries Volunteer Climate Change IGAD Tetra Tech ARD Agriculture Jobs Dodoma Iringa One Acre Fund Project Management Clinton Health Access Initiative (CHAI Technoserve Twaweza East Africa ActionAid Lutheran World Federation SADC Secretariat Tanga Vso International ACDI/VOCA Halmashauri Agha Khan Kenya Commercial Bank World Agroforestry Centre Deloitte East Africa International Organization for Migration (IOM) COMESA Secretariat: Software Engineering Safety and Security Shinyanga Jobs Tanzania Breweries Pathfinder International World Health Organization KPMG TANROADS Tanzania Electric Supply Company British Council Futures Group KCB BANK UN-Habitat WFP World Food Programme Barclays GEITA GOLD MINING TANESCO Electrical Engineer Food and Agriculture Organization GOAL Mombasa Tabora WWF World Wide Fund for Nature Microsoft Tanzania Ports Authority East African Development Bank Family Health International (FHI) IBM EAST AFRICA IntraHealth International Mercy Corps SERIKALINI - GOVERNMENT OF TANZANIA AccessBank Community Development Jobs Data Base Management Google Africa ICAP - TZ KEMRI/CDC Program WaterAid Tanzania Auditor SNV International Stanbic Bank Amnesty Horn Relief Kampala Management Systems International (MSI) Standard Chartered Bank VETA Christian Aid DIAMOND TRUST BANK Helen Keller International Help Age Mtwara Uganda Telecom Airtel Africa Equity Bank Internships Marie Stopes TCRA Web Development B B C WORLD SERVICE Human Rights Kigali Makerere University Nile Basin Initiative Kenyatta University Kigoma Mzumbe University NSSF National Social Security Fund Nile Breweries Limited Tulawaka Gold Mine University of Nairobi kenya Airways Bank of Tanzania Graduates MTN Muhimbili National Hospital Nepad Partners in Health Room to Read SUMATRA UNWOMEN African Wildlife foundation (AWF) KEMRI Kagera Librarian MENTOR Initiative Trainee USAILI - INTERVIEW Uiversity of Nairobi WaterAid International icipe Project CAFOD - Catholic Agency for Overseas Development Egerton University EngenderHealth Goal Ireland Kenyan Banks Lake Victoria Basin Commission Peace Corps TANAPA TASAF Tanzania Social Action Fund Zanzibar University ACB AKIBA COMMERCIAL BANK AGRA Alliance for a Green Revolution in Africa Advans Bank Ethiopian Airlines Freedom House IITA International Institute of Tropical Agriculture Legal Moshi NMB BANK Resolute Tanzania Singida Uganda Uganda National Roads Authority University of Dar es salaam University of Dodoma British High Commission ChildFund EWURA FilmAid International NECTA TPDC Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) United States International University World Concern Aga Khan Foundation CBA Commercial Bank of Africa Ecomist Ernst and Young IUCN International Union for Conservation of Nature International Medical Corps Islamic Relief Kakira Sugar Musoma National Institute for Medical Research OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA Relief International TAA Tanzania Airports Authority Trócaire Uganda Revenue Authority VODACOM TANZANIA VSF Belgium Architects Hivos IFC International Finance Corporation Ifakara Health Institute Inoorero University International Commercial Bank Kenya Red Cross Society MADEREVA Medical Oil and Gas Pwani University College SOKOINE UNIVERSITY Tumaini University Water Engineering AWF African Wildlife Foundation Acacia Mining Accounts African Virtual University Altima Africa Ardhi University Bank of Uganda Business Development Concultancy Del Monte Kenya Embassies Kenya Airports Authority Lake Victoria South Water Services Board Mara National Bank of Commerce RECORDS MANAGEMENT JOBS RUKWA Ruvuma Search for Common Ground Songea TTCL Tanzania Telecommunications Company Limited Unilever War Child International Zinduka Afrika ACORD AKU ​Aga Khan University Africa Nazarene University Africa Rice Center (AfricaRice) Aga Khan Health Services CRDB BANK Commercial Bank of Africa Daraja Tanzania Engineers Registration Board (ERB) Fina Bank International Potato Center International Potato Center (CIP) Intrahealth Jomo Kenyatta University Kilimanjaro Christian Medical Centre Kyambogo University Lindi Jobs MCL Mwananchi Communications MUHAS-harvad Moi University NBC BANK National University of Rwanda Ngorongoro Conservation Area Authority Njombe Nuru International Nzoia sugar Company RTI International SUA SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE THE LAW SCHOOL OF TANZANIA TRA Tanzania Revenue Authority Tanzania Postal Bank The Foundation For Civil Society Udhamini wa Masomo Western Union AIR TANZANIA Action Against Hunger (ACF) Agricultural Society of Kenya BRALIRWA Bondo University College Caritas Comoros Concern Worldwide Conservation Jobs Consolidated Bank of Kenya DHL Express Ewaso Ngiro South River Basin Development Authority Geologist Gulf African Bank INSTITUTE OF ADULT EDUCATION Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology Kabale University Kabale University (KAB) Kenya Ports Authority KickStart International MORUWASA Morogoro Urban Water and Sanitation Authority MSH Management Sciences for Health Mumias Sugar Company Nairobi Hospital Nkumba University Rural Electrification Agency SOKINE UNIVERSITY SONGWE STAMIGOLD Stores TACAIDS TARURA TCU Tanzania Commission for Universities Tullow Oil World Lung Foundation (WLF) ALAF Limited Aga Khan Development Network (AKDN) Aga Khan Hospital Air Malawi American Refuge Committee BENKI YA POSTA - TPB BANK BTC Belgian Technical Cooperation Bhttp://www.blogger.com/img/blank.gifank of Tanzania Bioversity International CHF International Customer Service Jobs DANGOTE DIT DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY Danida Dar es Salaam Institute of Technology Daystar University ECOBANK ETDCO Electrical Transmission and Distribution Construction and Maintenance Company European Union IFM INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT INSURANCE JOBS - BIMA ITECH Internews® Network KUITWA KAZINI Kenya Accreditation Service Kenya Polytechnic University College Kilombero Sugar Company Kisii University College Kisumu Laboratory Jobs MSD MEDICAL STORES DEPARTMENT MSF Switzerland Management Sciences for Health Manyara Maseno University Ministry of State for Planning Muteesa 1 Royal University Médecins Sans Frontières NIDA National Identification Authority Narok University College OSHA Occupational safety and Health Authority Open Society Initiative for Eastern Africa (OSIEA) PA PAC PEPSI POLICE - POLISI Petroleum EngineerS RWANDA HOUSING AUTHORITY Seychelles Songas TBC TANZANIA BROADCASTING CORPORATION TBS TANZANIA BUREAU OF STANDARDS TFDA TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY TIB - Tanzania Investment Bank Tanzania Mortagage Refinance Company Tanzania Teachers’ Union Transmara Sugar Company Tropical Pesticides Research Institute Tumba College of Technology Twiga Cement UNESCO UNOCHA Umma University University WRP Walter Reed Project ZANTEL ao uga
Powered by Blogger.