Nafasi za kazi Halmashauri ya Wialya ya Hanang, Okt 1 2015


KATIBU MAHSUSI DARAJA LA III: - NAFASI - 2

SIFA ZA MWOMBAJI:
1. Mwombaji awe ame hitimu Kidato cha Nne (form IV) na kuhudhuria mafunzo ya Uhazili na kufaulu mtihani wa hatua ya tatu. .

2 .Mwombaji awe amefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiinqere za maneno
yasiyopunquo 100 kwa dakika moja na awe amepata mafunzo ya kompyuta kutoka Chuo
chochote kinanacho tambuliwa na Serikali na kupata cheti katika program za Windows.
MIcrosoft Office Internet. E-mail naPublisher.

MAJUKUMU:
Kuchapa baru taarifa na nyaraka za kawaida.
Kupokea wageni kuwasaili shida zeo na kuwaelekeze ipasavyo
Kutunza taarifa/kumbukumbu za matokeo miadi , wageni , traehe za vikao, Safari za Mkuu
wake na ratiba ya kazi katika ofisi anayofanya kazi.
Kutafuta na kumpa Mkuu wake majalada /nyaraka zinazohitajika
uwa kiungo kati ya Mkuu wake na Maafisa wengine
Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya Ofisi ya Mkuu wake wa kazi
Kutunza vifaa vyote vilivyopo Ofisini kwake na Ofisi ya Mkuu wake wa kazi.

MSHAHARA:
Kwa kuzingatia ngazi za mishahara za Serikali yaani TGS.B-1

MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II: - NAFASI - 3

SIFA ZA MWOMBAJI:
Mwomb aji awe amehitimu kidato cha Nne , mwenye cheti cha utunzaji Kumbukumbu katika fani ya Masijala

MAJUKUMU:
1. Kutafuta mafaili yanayohitajika na wasomaji.
2. KucJhibili upokeant. uandikishaji wa kumbukurn.bu/nyaraka ..
3. Kuchambua,kuorodhesha na kupanga kumbukumbu/nyaraka katika makundi kulingana na
somo husika (classification and boxing) kwa ajili ya malumizi ya Ofisi.
4. KuwckCl/kupanga kumbukumbuznyaraka katika rcki (file racks!cabinels) katika masjala/vyumba
vya kuhifadhia kumbukumbu.
5. Kuweka kumbukumbu (barua. nvaraka nk) kalika mafaili.
6. Kuanclaa Iaturis! (index) na nyenzo nyingine za kurahlalehe upatikanaf wa kumbukumbu na taarifa.

MSHAHARA:
Kwa kuzingatia ngazi za mishahara za Serikali yaani TGS.B-1

Dereva Daraja la II: - NAFASI - 1

SIFA ZA MWOMBAJI:
Mwombaji awe na cheti cha Mtihani wa Kidato cha IV wenye leseni darajaa la ‘C’ ya uendeshaji pamoja na uzoefu wa kuendesha magari kwa mda usiopungua miaka mitatu bila kusababisha ajali, mwenye cheti cha Majaribio ya Ufundi Daraja la II

MAJUKUMU:
1. Kuendesha Magari ya Malori .
2. Kuhakikisha gari na vyombo vyake vipo katika hali nzuri wakati wote na kufanya uchunguzi wa
gari kabla na baada ya safari ili kugundua ubovu unaohitaji matengenezo.
3. Kufanya matengenezo madogo madoqo katika gari.
4. Kutunza na kuandika daftari la safari 'Log-book' kwa safari zote.

MSHAHARA:
Kwa kuzingatia ngazi za mishahara za Serikali yaani TGOS-A

Afisa Mtendaji Wa Kijiji Daraja La III- NAFASI - 4

SIFA ZA MWOMBAJI:
Mwombaji awe na Elimu ya Kidato cha Nne (IV) au Sita (VI) aliyehilimu mafunzo ya Astashahada/cheti
katika moja ya fani zrfuatazo:-
Utawala,Sheria, Elimu ya Jamii, Usimamizi wa Fedha. Maendeleo ya Jamii na Sayansi; ya
Sanaa kutoka Chuo cha Serikati za Mitaa Homboro au Dodoma au Chuo chochote
Kinacho tambuliwa na Serikali

MAJUKUMU:
1. Afisa Masuuli na Mtendaji Mkuu wa Serikali ya Kijiji.
.2 Kusimamia Ulinzi na Usalama wa raia na matatizao, kuwa Mlinzi wa Amani na Msimamiil wa
Utawala Bora katika Kijiji.
3.Kuratibu na kusimamia upangaji wa utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo ya Kijiji.
4.Katibu wa Mikutano na Kamati zote aa Halmashauri ya Kijiji. -
5 Kutafsiri na kusimamia Sera, Sheria na Taratibu
6.Kuandaa Taarifa za Utekelezaji wa kazi katika eneo lake na mikakati ya kuondoa njaa umaskini na kuongeza uzanshajr rnau.
7.Kiongozi wa Wakuu wa Vitengo vya Kitaalam katika Kijiji.
8.Kusimamla, kukusanya na kuhifadhi Ie rrnbukumbu zote na Nyaraka za kijiji.
9.Mwenyekiti wa Kikao cha Watalaamu wauopo katika ki;lji
10.Kupoke na kusikiliza na kutatua malalamiko na migogoro ya wananchi
11.Kusimamia utunqaji wa Sheria Ndogo za Kijiji na
12. Atawajibika kwa Mtendaji wa Kata.

MSHAHARA:

Kwa kuzingatia ngazi za mishahara za Serikali yaani TGS.B

APPLICATION INSTRUCTIONS:

N.B. MASHARTI YA JUMLA KWA KAZI ZOTE:
i. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzarua na wenye umri usiozidi miaka 45
II. Waombaji wote waambanishe cheti cha kuzaliwa
iii. Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma wapitishie e barua zao za maombi ya nafasi za
kazi kwa waajiri wao na waajiri wajiandilishe ipasavyo.
iv. Waombaji waambatanishe maelezo binafsi yanayojitosheteza (Detailed C.V.) yenye
anwani na namba za simu za kuaminika pamojaria majina ya wedharnlm (referees) watatu
wa kuaminika. "
v, Maombi yote yaambatane na vyeti vya taatuma, maelezo, nakala Zenye vyeti vya Kidato cha Nne na Kidato cha Sita kwa wale walio fikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika. Viambatanisho hivyo vibanwe sawa sawa kuondoa uwezekano we kudondoka au kupotea. - Picha moja Passport size ya hivi karibuni iandikwe jina kwa nyuma.
vi. Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kugushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria
vii. Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 23 Oktoba 7-015
viii. Hati ya metokeo ya Kidato cna Nne na Sila (Statement of Result) bavuekubanke.
ix. Maombi yanaweza kuandlkwa kwa Lugha ya Kiswahili au Kiingereza na yatumwe kupitia posta kwa anuani ifatayo:-
MKURUGENZI MTENDAJI (W),
HALMASHAURI YA WILAYA YA HANANG,
S.L.P.2,
KATESH - HANANG.

Nafasi za kazi Halmashauri ya Wialya ya Hanang, Okt 1 2015 Nafasi za kazi Halmashauri ya Wialya ya Hanang, Okt 1 2015 Reviewed by Unknown on 8:11:00 AM Rating: 5

JOBS CATEGORY

Tanzania Kenya NGO JOBS Uganda Best Jobs Consultancy Rwanda ICT JOBS Administrative United Nations Sudan Best Jobs Finance Health - Medical Engineering Ethiopia Education Agricultural Lecturer Human Resources Somalia Media Congo - Kinshasa Legal Jobs Bank Jobs Monitoring and Evaluation Mining World Vision Burundi Procurement African Barrick Gold Accountant Zambia Sales and Marketing US EMBASSY East African Community Mozambique Telecoms Research CARE International Save The Children Plan International Arusha Malawi South Sudan Oxfam Scholarships African Development Bank Finance and Administration SafariCom Aviation The Commonwealth American Embassy Sales Zanzibar Environmental Catholic Relief Services Dar es salaam USAID Operations FHI 360 UNDP Security World Bank Economist TradeMark East Africa Unicef Hospitality Managers International Rescue Committee (IRC) Restless Development Accounting Civil Engineers AMREF Morogoro Utumishi AfDB African Development Bank COOPI - Cooperazione Internazionale Driver - Logistics Path International Mwanza African Union Tigo Jobs Marketing Mbeya Teaching Au African Union PSI Population Services International Pwc PricewaterhouseCoopers East African Breweries North Mara Gold Mine ACTED Djibouti Malaria Consortium Bulyanhulu Gold Mine DFID Driver Buzwagi Gold Mine Jhpiego COMESA FINCA JOBS International Jobs Adeso Danish Refugee Council Kilimanjaro Nairobi Coca-Cola Handicap International Pact International Rio Tinto Solidarités International Tender EGPAF Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation Logistics Serengeti Breweries Ltd Nation Media Group Africare Norwegian Refugee Council Samaritan's Purse Chemonics International COUNTRY DIRECTOR ICAP of Columbia University InterShips Precision Air RwandAir Marie Stopes International (MSI) Serengeti Breweries Volunteer Climate Change IGAD Tetra Tech ARD Agriculture Jobs Dodoma Iringa One Acre Fund Project Management Clinton Health Access Initiative (CHAI Technoserve Twaweza East Africa ActionAid Lutheran World Federation SADC Secretariat Tanga Vso International ACDI/VOCA Halmashauri Agha Khan Kenya Commercial Bank World Agroforestry Centre Deloitte East Africa International Organization for Migration (IOM) COMESA Secretariat: Software Engineering Safety and Security Shinyanga Jobs Tanzania Breweries Pathfinder International World Health Organization KPMG TANROADS Tanzania Electric Supply Company British Council Futures Group KCB BANK UN-Habitat WFP World Food Programme Barclays GEITA GOLD MINING TANESCO Electrical Engineer Food and Agriculture Organization GOAL Mombasa Tabora WWF World Wide Fund for Nature Microsoft Tanzania Ports Authority East African Development Bank Family Health International (FHI) IBM EAST AFRICA IntraHealth International Mercy Corps SERIKALINI - GOVERNMENT OF TANZANIA AccessBank Community Development Jobs Data Base Management Google Africa ICAP - TZ KEMRI/CDC Program WaterAid Tanzania Auditor SNV International Stanbic Bank Amnesty Horn Relief Kampala Management Systems International (MSI) Standard Chartered Bank VETA Christian Aid DIAMOND TRUST BANK Helen Keller International Help Age Mtwara Uganda Telecom Airtel Africa Equity Bank Internships Marie Stopes TCRA Web Development B B C WORLD SERVICE Human Rights Kigali Makerere University Nile Basin Initiative Kenyatta University Kigoma Mzumbe University NSSF National Social Security Fund Nile Breweries Limited Tulawaka Gold Mine University of Nairobi kenya Airways Bank of Tanzania Graduates MTN Muhimbili National Hospital Nepad Partners in Health Room to Read SUMATRA UNWOMEN African Wildlife foundation (AWF) KEMRI Kagera Librarian MENTOR Initiative Trainee USAILI - INTERVIEW Uiversity of Nairobi WaterAid International icipe Project CAFOD - Catholic Agency for Overseas Development Egerton University EngenderHealth Goal Ireland Kenyan Banks Lake Victoria Basin Commission Peace Corps TANAPA TASAF Tanzania Social Action Fund Zanzibar University ACB AKIBA COMMERCIAL BANK AGRA Alliance for a Green Revolution in Africa Advans Bank Ethiopian Airlines Freedom House IITA International Institute of Tropical Agriculture Legal Moshi NMB BANK Resolute Tanzania Singida Uganda Uganda National Roads Authority University of Dar es salaam University of Dodoma British High Commission ChildFund EWURA FilmAid International NECTA TPDC Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) United States International University World Concern Aga Khan Foundation CBA Commercial Bank of Africa Ecomist Ernst and Young IUCN International Union for Conservation of Nature International Medical Corps Islamic Relief Kakira Sugar Musoma National Institute for Medical Research OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA Relief International TAA Tanzania Airports Authority Trócaire Uganda Revenue Authority VODACOM TANZANIA VSF Belgium Architects Hivos IFC International Finance Corporation Ifakara Health Institute Inoorero University International Commercial Bank Kenya Red Cross Society MADEREVA Medical Oil and Gas Pwani University College SOKOINE UNIVERSITY Tumaini University Water Engineering AWF African Wildlife Foundation Acacia Mining Accounts African Virtual University Altima Africa Ardhi University Bank of Uganda Business Development Concultancy Del Monte Kenya Embassies Kenya Airports Authority Lake Victoria South Water Services Board Mara National Bank of Commerce RECORDS MANAGEMENT JOBS RUKWA Ruvuma Search for Common Ground Songea TTCL Tanzania Telecommunications Company Limited Unilever War Child International Zinduka Afrika ACORD AKU ​Aga Khan University Africa Nazarene University Africa Rice Center (AfricaRice) Aga Khan Health Services CRDB BANK Commercial Bank of Africa Daraja Tanzania Engineers Registration Board (ERB) Fina Bank International Potato Center International Potato Center (CIP) Intrahealth Jomo Kenyatta University Kilimanjaro Christian Medical Centre Kyambogo University Lindi Jobs MCL Mwananchi Communications MUHAS-harvad Moi University NBC BANK National University of Rwanda Ngorongoro Conservation Area Authority Njombe Nuru International Nzoia sugar Company RTI International SUA SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE THE LAW SCHOOL OF TANZANIA TRA Tanzania Revenue Authority Tanzania Postal Bank The Foundation For Civil Society Udhamini wa Masomo Western Union AIR TANZANIA Action Against Hunger (ACF) Agricultural Society of Kenya BRALIRWA Bondo University College Caritas Comoros Concern Worldwide Conservation Jobs Consolidated Bank of Kenya DHL Express Ewaso Ngiro South River Basin Development Authority Geologist Gulf African Bank INSTITUTE OF ADULT EDUCATION Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology Kabale University Kabale University (KAB) Kenya Ports Authority KickStart International MORUWASA Morogoro Urban Water and Sanitation Authority MSH Management Sciences for Health Mumias Sugar Company Nairobi Hospital Nkumba University Rural Electrification Agency SOKINE UNIVERSITY SONGWE STAMIGOLD Stores TACAIDS TARURA TCU Tanzania Commission for Universities Tullow Oil World Lung Foundation (WLF) ALAF Limited Aga Khan Development Network (AKDN) Aga Khan Hospital Air Malawi American Refuge Committee BENKI YA POSTA - TPB BANK BTC Belgian Technical Cooperation Bhttp://www.blogger.com/img/blank.gifank of Tanzania Bioversity International CHF International Customer Service Jobs DANGOTE DIT DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY Danida Dar es Salaam Institute of Technology Daystar University ECOBANK ETDCO Electrical Transmission and Distribution Construction and Maintenance Company European Union IFM INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT INSURANCE JOBS - BIMA ITECH Internews® Network KUITWA KAZINI Kenya Accreditation Service Kenya Polytechnic University College Kilombero Sugar Company Kisii University College Kisumu Laboratory Jobs MSD MEDICAL STORES DEPARTMENT MSF Switzerland Management Sciences for Health Manyara Maseno University Ministry of State for Planning Muteesa 1 Royal University Médecins Sans Frontières NIDA National Identification Authority Narok University College OSHA Occupational safety and Health Authority Open Society Initiative for Eastern Africa (OSIEA) PA PAC PEPSI POLICE - POLISI Petroleum EngineerS RWANDA HOUSING AUTHORITY Seychelles Songas TBC TANZANIA BROADCASTING CORPORATION TBS TANZANIA BUREAU OF STANDARDS TFDA TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY TIB - Tanzania Investment Bank Tanzania Mortagage Refinance Company Tanzania Teachers’ Union Transmara Sugar Company Tropical Pesticides Research Institute Tumba College of Technology Twiga Cement UNESCO UNOCHA Umma University University WRP Walter Reed Project ZANTEL ao uga
Powered by Blogger.