Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Kasulu kupitia kibali cha ajira mbadala kilichotolewa na Katibu Mkuu wa Utumishi anapenda kuwatangazia wote wenye sifa za kuajiriwa kuleta maombi yao ya kazi kama ifuatavyo:
1. AFISA MTENDAJI WA KIJIJI - NAFASI 16
A. MAJUKUMU
i. Afisa masuuli na Mtendaji wa Serikali ya Kijij
ii. Kusimamia ulinzi na usalama ya raia na mali zao, kuwa mlinzi wa amani na usimamizi wa utawala bora
iii. Kuratibu na kusimamia upangaji wa utekelezaji wa mipango ya maendeleo ya Kijiji
iv. Katibu wa mikutano na kamati zote za halmashauri ya kijiji
v. Kutafasili na kusimamia sera, sharia na taratibu
vi. Kuandaa taarifa za utekelezaji wa kazi katika eneo lake na kuhamasisha wananchi katika kuandaa na kutekeleza mikakati ya kuondoa njaa, umaskini na kuongeza uzalishaji mali
vii. Kiongozi wa wakuu wa vitengo katika vijiji, kusimaia, kukusanya na kuhifadhi kumbukumbu zote za vijiji
viii. Mwenyekiti wa vikao vya wataalamu waliopo katika vijiji
ix. Kupokea, kusikiliza, na kutatua malalamiko na migogoro ya wananchi
x. Atawajibika kwa mtendaji wa kata
B. SIFA
Elimu ya kidato cha nne au sita aliyehitimu mafunzo ya stashahada/cheti katika moja ya fani zifuatazo utawala, sharia, elimu ya jamii, usimaminzi wa fedha, maendeleo ya jamii na sayansi ya sanaa kutoka chuo cha serikali za mitaa Hombolo, Dodoma na chuo chochote kinachotambuliwa na serikali
C. NGAZI YA MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya seriklai ngazi ya mshahara TGS B kwa mwezi
MASHARTI KWA JUMLA
i. Waombaji wote wawe ni raia wa Tanzania
ii. Waombaji wote waambatanishe cheti cha kuzaliwa
iii. Waombaji wote waambatanishe na maombi binafsi (CV)
iv. Waombaji wote waambatanishe picha 1 passport size ya hivi karibuni na nakala ya (copy) ya vyeti halisi
v. Transcript, “Testimonial, Provision Result na statement of resurt havitakubaliwa
vi. Waombaji wawe na umri usiozidi miaka 45 na usiopungua miaka 18
vii. Maombi yataanza kupokelewa kuanzia tarehe 21/01/2015 hadi tarehe 03/02/2015
viii. Maombi yote yatumwe kwa njia ya Posta
Oscar P. Simtengu
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji
HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
MAOMBI YATUMWE KWA
MKURUGENZI MTENDAJI (W)
S.L.P 97
KASULU
Source: Daily News 22 January 2015
===========
HALMASHAURI YA KASULU
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Kasulu kupitia kibali cha ajira mbadala kilichotolewa na Katibu Mkuu wa Utumishi anapenda kuwatangazia wote wenye sifa za kuajiriwa kuleta maombi yao ya kazi kama ifuatavyo:
2. KATIBU MAHSUSI III NAFASI 2
A. MAJUKUMU
i. Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida
ii. Kusaidia kupokea wageni na kuwasili shida zao, na kuwaelekeza sehemu wanapoweza kushughulikiwa
iii. Kusaidia kutunza taarifa/kumbukumbu za matukio, wageni, terehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba ya kazi zingine zilizopangwa kutekelezwa katika ofisi zinamofanyia kazi, na kumuarifu Mkuu wake kwa wakati unaohitajika
iv. Kusaidia na kumpatia Mkuu wake majalada, nyaraka au kitu chochote kinachohitajika katika shughuli za kazi hapo ofisini
v. Kusaidia kufikisha maelekezo ya Mkuu wake wa kazi kwa wasaidizi wake na pia kumuarifu kuhusu taarifa zozote zinazokuwa amepewa na wasaidizi hao
vi. Kusaidia kupokea majalada, kuyagawa kwa maofisa walio katika sehemu alipo na kukusanya kuyatunza na kuyarudisha sehemu zinazohusika
vii. Kutekeleza kazi zozote atakazokuwa amepangiwa na Msimamizi wake wa kazi
B. SIFA
i. Awe amehitimu Kidato cha IV kuhudhuria mafunzo ya Uhazili na kufaulu mtihani wa Hatua ya Tatu
ii. Awe amefauli somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno 80 kwa dakika moja na wawe wamepata mafunzo ya computa kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na serikali ma kupata cheti katika Programu za Windows, Microsoft Office, Internent, E-mail na Publishers
C. NGAZI YA MSHAHARA
Kwa kuzingatia ngazi ya viwango vya serikali ngazi ya mshahara TGS B kwa mwezi
MASHARTI KWA JUMLA
i. Waombaji wote wawe ni raia wa Tanzania
ii. Waombaji wote waambatanishe cheti cha kuzaliwa
iii. Waombaji wote waambatanishe na maombi binafsi (CV)
iv. Waombaji wote waambatanishe picha 1 passport size ya hivi karibuni na nakala ya (copy) ya vyeti halisi
v. Transcript, “Testimonial, Provision Result na statement of resurt havitakubaliwa
vi. Waombaji wawe na umri usiozidi miaka 45 na usiopungua miaka 18
vii. Maombi yataanza kupokelewa kuanzia tarehe 21/01/2015 hadi tarehe 03/02/2015
viii. Maombi yote yatumwe kwa njia ya Posta
Oscar P. Simtengu
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji
HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
MAOMBI YATUMWE KWA
MKURUGENZI MTENDAJI (W)
S.L.P 97
KASULU
Source: Daily News 22 January 2015
===========
HALMASHAURI YA KASULU
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Kasulu kupitia kibali cha ajira mbadala kilichotolewa na Katibu Mkuu wa Utumishi anapenda kuwatangazia wote wenye sifa za kuajiriwa kuleta maombi yao ya kazi kama ifuatavyo:
3. FUNDI SANIFU MSAIDIZI NAFASI 6
A. MAJUKUMU
Watapangiwa kazi katka fani zao kutegemea cheo, ujezi, uzoefu na uwezo wao na utendaji mzuri wa kazi
B. SIFA
Kuajiliwa waliomaliza kidato cha IV katika masomo ya sayansi na kufuzu mafunzo ya mwka mmoja katika moja ya fani za ufundi kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali
Kuajiriwa waliomaliza kidato cha IV wenye Cheti cha Majaribio ya Ufundi Hatua ya II kutoka chuo cha Ufundi katika mojawapo ya fani ya Ufundi
C. NGAZI YA MSHAHARA
Kusingatia viwango vya serikali ya ngazi ya mshahara TGS A kwa mwezi
MASHARTI KWA JUMLA
ix. Waombaji wote wawe ni raia wa Tanzania
x. Waombaji wote waambatanishe cheti cha kuzaliwa
xi. Waombaji wote waambatanishe na maombi binafsi (CV)
xii. Waombaji wote waambatanishe picha 1 passport size ya hivi karibuni na nakala ya (copy) ya vyeti halisi
xiii. Transcript, “Testimonial, Provision Result na statement of resurt havitakubaliwa
xiv. Waombaji wawe na umri usiozidi miaka 45 na usiopungua miaka 18
xv. Maombi yataanza kupokelewa kuanzia tarehe 21/01/2015 hadi tarehe 03/02/2015
xvi. Maombi yote yatumwe kwa njia ya Posta
Oscar P. Simtengu
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji
HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
MAOMBI YATUMWE KWA
MKURUGENZI MTENDAJI (W)
S.L.P 97
KASULU
Source: Daily News 22 January 2015
1. AFISA MTENDAJI WA KIJIJI - NAFASI 16
A. MAJUKUMU
i. Afisa masuuli na Mtendaji wa Serikali ya Kijij
ii. Kusimamia ulinzi na usalama ya raia na mali zao, kuwa mlinzi wa amani na usimamizi wa utawala bora
iii. Kuratibu na kusimamia upangaji wa utekelezaji wa mipango ya maendeleo ya Kijiji
iv. Katibu wa mikutano na kamati zote za halmashauri ya kijiji
v. Kutafasili na kusimamia sera, sharia na taratibu
vi. Kuandaa taarifa za utekelezaji wa kazi katika eneo lake na kuhamasisha wananchi katika kuandaa na kutekeleza mikakati ya kuondoa njaa, umaskini na kuongeza uzalishaji mali
vii. Kiongozi wa wakuu wa vitengo katika vijiji, kusimaia, kukusanya na kuhifadhi kumbukumbu zote za vijiji
viii. Mwenyekiti wa vikao vya wataalamu waliopo katika vijiji
ix. Kupokea, kusikiliza, na kutatua malalamiko na migogoro ya wananchi
x. Atawajibika kwa mtendaji wa kata
B. SIFA
Elimu ya kidato cha nne au sita aliyehitimu mafunzo ya stashahada/cheti katika moja ya fani zifuatazo utawala, sharia, elimu ya jamii, usimaminzi wa fedha, maendeleo ya jamii na sayansi ya sanaa kutoka chuo cha serikali za mitaa Hombolo, Dodoma na chuo chochote kinachotambuliwa na serikali
C. NGAZI YA MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya seriklai ngazi ya mshahara TGS B kwa mwezi
MASHARTI KWA JUMLA
i. Waombaji wote wawe ni raia wa Tanzania
ii. Waombaji wote waambatanishe cheti cha kuzaliwa
iii. Waombaji wote waambatanishe na maombi binafsi (CV)
iv. Waombaji wote waambatanishe picha 1 passport size ya hivi karibuni na nakala ya (copy) ya vyeti halisi
v. Transcript, “Testimonial, Provision Result na statement of resurt havitakubaliwa
vi. Waombaji wawe na umri usiozidi miaka 45 na usiopungua miaka 18
vii. Maombi yataanza kupokelewa kuanzia tarehe 21/01/2015 hadi tarehe 03/02/2015
viii. Maombi yote yatumwe kwa njia ya Posta
Oscar P. Simtengu
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji
HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
MAOMBI YATUMWE KWA
MKURUGENZI MTENDAJI (W)
S.L.P 97
KASULU
Source: Daily News 22 January 2015
===========
HALMASHAURI YA KASULU
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Kasulu kupitia kibali cha ajira mbadala kilichotolewa na Katibu Mkuu wa Utumishi anapenda kuwatangazia wote wenye sifa za kuajiriwa kuleta maombi yao ya kazi kama ifuatavyo:
2. KATIBU MAHSUSI III NAFASI 2
A. MAJUKUMU
i. Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida
ii. Kusaidia kupokea wageni na kuwasili shida zao, na kuwaelekeza sehemu wanapoweza kushughulikiwa
iii. Kusaidia kutunza taarifa/kumbukumbu za matukio, wageni, terehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba ya kazi zingine zilizopangwa kutekelezwa katika ofisi zinamofanyia kazi, na kumuarifu Mkuu wake kwa wakati unaohitajika
iv. Kusaidia na kumpatia Mkuu wake majalada, nyaraka au kitu chochote kinachohitajika katika shughuli za kazi hapo ofisini
v. Kusaidia kufikisha maelekezo ya Mkuu wake wa kazi kwa wasaidizi wake na pia kumuarifu kuhusu taarifa zozote zinazokuwa amepewa na wasaidizi hao
vi. Kusaidia kupokea majalada, kuyagawa kwa maofisa walio katika sehemu alipo na kukusanya kuyatunza na kuyarudisha sehemu zinazohusika
vii. Kutekeleza kazi zozote atakazokuwa amepangiwa na Msimamizi wake wa kazi
B. SIFA
i. Awe amehitimu Kidato cha IV kuhudhuria mafunzo ya Uhazili na kufaulu mtihani wa Hatua ya Tatu
ii. Awe amefauli somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno 80 kwa dakika moja na wawe wamepata mafunzo ya computa kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na serikali ma kupata cheti katika Programu za Windows, Microsoft Office, Internent, E-mail na Publishers
C. NGAZI YA MSHAHARA
Kwa kuzingatia ngazi ya viwango vya serikali ngazi ya mshahara TGS B kwa mwezi
MASHARTI KWA JUMLA
i. Waombaji wote wawe ni raia wa Tanzania
ii. Waombaji wote waambatanishe cheti cha kuzaliwa
iii. Waombaji wote waambatanishe na maombi binafsi (CV)
iv. Waombaji wote waambatanishe picha 1 passport size ya hivi karibuni na nakala ya (copy) ya vyeti halisi
v. Transcript, “Testimonial, Provision Result na statement of resurt havitakubaliwa
vi. Waombaji wawe na umri usiozidi miaka 45 na usiopungua miaka 18
vii. Maombi yataanza kupokelewa kuanzia tarehe 21/01/2015 hadi tarehe 03/02/2015
viii. Maombi yote yatumwe kwa njia ya Posta
Oscar P. Simtengu
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji
HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
MAOMBI YATUMWE KWA
MKURUGENZI MTENDAJI (W)
S.L.P 97
KASULU
Source: Daily News 22 January 2015
===========
HALMASHAURI YA KASULU
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Kasulu kupitia kibali cha ajira mbadala kilichotolewa na Katibu Mkuu wa Utumishi anapenda kuwatangazia wote wenye sifa za kuajiriwa kuleta maombi yao ya kazi kama ifuatavyo:
3. FUNDI SANIFU MSAIDIZI NAFASI 6
A. MAJUKUMU
Watapangiwa kazi katka fani zao kutegemea cheo, ujezi, uzoefu na uwezo wao na utendaji mzuri wa kazi
B. SIFA
Kuajiliwa waliomaliza kidato cha IV katika masomo ya sayansi na kufuzu mafunzo ya mwka mmoja katika moja ya fani za ufundi kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali
Kuajiriwa waliomaliza kidato cha IV wenye Cheti cha Majaribio ya Ufundi Hatua ya II kutoka chuo cha Ufundi katika mojawapo ya fani ya Ufundi
C. NGAZI YA MSHAHARA
Kusingatia viwango vya serikali ya ngazi ya mshahara TGS A kwa mwezi
MASHARTI KWA JUMLA
ix. Waombaji wote wawe ni raia wa Tanzania
x. Waombaji wote waambatanishe cheti cha kuzaliwa
xi. Waombaji wote waambatanishe na maombi binafsi (CV)
xii. Waombaji wote waambatanishe picha 1 passport size ya hivi karibuni na nakala ya (copy) ya vyeti halisi
xiii. Transcript, “Testimonial, Provision Result na statement of resurt havitakubaliwa
xiv. Waombaji wawe na umri usiozidi miaka 45 na usiopungua miaka 18
xv. Maombi yataanza kupokelewa kuanzia tarehe 21/01/2015 hadi tarehe 03/02/2015
xvi. Maombi yote yatumwe kwa njia ya Posta
Oscar P. Simtengu
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji
HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
MAOMBI YATUMWE KWA
MKURUGENZI MTENDAJI (W)
S.L.P 97
KASULU
Source: Daily News 22 January 2015
AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU - JAN 2015
Reviewed by Unknown
on
2:05:00 AM
Rating: