Ajira Halmashauri ya Jiji la Tanga - Jan 2015

Rejea mada hiyo hapo juu Kwa mujibu wa kibali cha Ajira mpya Kumb. Na. C8.170/369/01/96 cha tarehe 01 Decemba, 2014 tulichokipata tarehe 19/01/2015 toka kwa Katibu Mkuu Menejiment ya Utumishi wa Umma, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Tanga anatangaza nafasi zifuatazo za Ajira kwa watanzania wote wenye sifa, na wenye umri wa miaka 18 hadi 45.

MTENDAJI WA MTAA DARAJA LA III TGS B.

SIFA ZA WAOMBAJI: .
Kwa mujibu wa Waraka wa Maendeleo ya Utumishi Namba 1 wa mwaka 2013 kuhusu watendaji wa mitaa.
Waombaji wawe na Elimu ya kidato cha IV au VI,
waliohitimu mafunzo ya Astashahada/Cheti katika mojawapo va fani zifuatazo:- Utawala, Sheria,
Elimu ya jamii (Sociology), Usimamizi wa Fedha (Financial Management), Maendeleo ya' jamii (Community Development) na Sayansi ya Sanaa (Social Work) kutoka katika Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo,. Dodoma au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali

Mtendaji Wa Mtaa Daraja La II TGS C.

Waombaji wawe na Elimu ya kidato cha IV/VI
waliohitimu Stashahada katika. fani ya Uawala, Sheria, Elimu ya Jamii (Sociology), Usimamizi wa
Fedha (Finacial Management), Maendeleo ya Jamii (Community Development(, .na Sayansi ya Sanaa
(Social Work) kutoka katika Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo, Dodoma au Chuo chochote
kinachotambuliwa na Serikali.

Mkaguzi Wa Mji (Town/City Inspector)

SIFA ZA WAOMBAJI:
Waombaji wawe wamehitimu kidato cha sita.
Waombaji wawe wahitimu wa Shahada ya Sheria, Shahada va Utawala, usimamizi wa Fedha na Shahada ya Uchumi.

Fundi Sanifu Msaidizi Daraja La III Selemala

NGAZI YA MSHAHARA TGS A/B
Kwa mujibu wa Waraka wa maendeleo ya Utumishi
Namba 20 wa mwaka 2002, Nyongeza II: Kuhusu muundo wa Utumishi wa Mafundi Sanifu Technicians.

SIFA ZA WAOMBAJI:
Waombaji wawe wamehitimu kidato cha nne IV katika masomo ya Sayansi na ~ufuzu mafunzo ya
Ufundi katika fani ya Ufundi Seremala katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali au,
Waliomaliza kidato channe wenye Cheti cha majaribio ya Ufundi Seremala Hatua ya pili kutoka
Chuo cha Ufundi Seremala kinachotambuliwa na Serikali

Fundi Bomba Msaidizi Daraja III
NGAZI YA MSHAHARA TGS A/B
SIFA ZA WAOMBAJI:
Waombaji wawe wamemaliza kidato cha nne IV
katika masomo ya Sayansi na kufuzu mafunzo ya Ufundi katika fani ya Maji kutoka katika Chuo
kinachotambuliwa na Serikali au, Waliomaliza kidato cha nne wenve Cheti cha majaribio ya ufundi Bomba Hatua ya pili (Trade Test II) kutoka Chuo cha Ufundi kinachotambuliwa na Serikali,

Fundi Msaidizi Daraja La II Umeme

NGAZI YA MSHAHARA TGS A/B

SIFA ZA WAOMBAJI:
Waombaji wawe wamemaliza kidato cha nne IV katika masomo ya Sayansi na kufuzu mafunzo ya Ufundi katika fani ya Umeme kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali au; Waliomaliza kidato cha nne wenye Cheti cha majaribio ya ufundi Umeme Hatua ya pili (Trade Test II) kutoka Chuo cha Ufundi kinachotambuliwa na Serikali.

Maafisa Maendeleo Ya Jamii Wasaidizi Daraja La III(x6) .

NGAZI YA MSHAHARA TGS B.

Kwa mujibu wa Waraka wa maendeleo ya Utumishi
Namba 7 wa mwaka 2002, na marekebisho yake ya tarehe 4 Agosti, 2008 katika Waraka Kumb. Na.
AC.62/260/01.

SIFA ZA WAOMBAJI:
Waombaji wawe wamehitimu kidato cha nne IV waliofuzu mafunzo ya cheti kwenye fani ya maendeleo ya jamii katika Vyuo vya Maendeleo ya Jamii vya (Buhare, Rungemba) au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.

 Katibu Mahususi Daraja La III (x3)

SIFA ZA WAOMBAJI:
Kwa mujibu wa waraka wa maendeleo ya Utumishi Namba 9 wa mwaka 2002 nyongeza VI: Kuhusu muundo wa Utumishi wa Makatibu Mahususi
(a) Waombaji wawe wamehitimu kidato cha nne IV waliohudhuria mafunzo ya Uhazili na kufaulu mtihani wa Hatua ya Tatu, wawe wamefaulu somo la Hati Mkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno 80 kwa dakika moja na wawe wamepata mafunzo ya Computer kutoka Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali na kupata Cheti katika Program za Windows, Microsoft Office, Internet, E-mail na Publisher

Msaidizi Wa Kumbukumbu Daraja La II(X3)
NGAZI YA MSHAHARA TGS B
SIFA ZA WAOMBAJI:
Kwa mujibu wa Waraka wa maendeleo ya Utumishi Namba 9 wa mwaka 2002 Nyongeza Namba V kuhusu muundo wa Utumishi wa Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja la II (Records Management Assistant II) Waombaji wawe wamehitimu kidato cha nne/sita wenye cheti cha Utunzaji wa Kumbukumbu katika moja wapo ya fani za Afya, Masjala na Ardhi.

KAZI YA AUXILIARY POLICE NAFASI ISHIRINI (20)

SIFA ZA WAOMBAJI:
WaombaJi wawe wamehitimu kidato cha nne waliohudhuria mafunzo ya:-
Auxiliary police kwa miezi isiyopungua sita toka Chuo cha Polisi Moshi.
Waliohitimu mafunzo ya JKT na kupata Cheti cha mafunzo ya JKT.
'Waliohitimu mafunzo ya mgambo na kupata cheti cha Mgambo.
Wawe wamefaulu angalau masomo matatu ya kidato cha nne.

APPLICATION INSTRUCTIONS:

Maombi yote yaambatane na vivuli vya vyeti vya masomo na mafunzo. -
Muda wa kuleta maombi ni ndani ya siku 21 kuanzia tarehe ya Tangazo hili, siku ya mwisho ya kupokea
maombi ni tarehe 16 Februari, 2015 saa 9.30 Alasiri.
Waombaji wote waweke namba zao za simu kwenye barua za maombi, majibuyatatolewa kwa njia ya
simu kwa wote watakaoitwa kwenye Usaili.
Waombaji wenye anuani za Barua Pepe (E-mail) na Fax waweke pia namba za simu katika barua zao
za rnaornbi, zitakazotumika kuwapatia majibu ya kuitwa kwenye usaili.
Waombaji waweke pia picha moja ya Passport Size iliyopigwa hivi karibuni katika barua zao za maombi
ya kazi.
Tuma kwa
MKURUGENZI
HALMASHAURI YA
S.L.P. 178
TANGA
Ajira Halmashauri ya Jiji la Tanga - Jan 2015 Ajira Halmashauri ya Jiji la Tanga - Jan 2015 Reviewed by Unknown on 5:23:00 AM Rating: 5

JOBS CATEGORY

Tanzania Kenya NGO JOBS Uganda Best Jobs Consultancy Rwanda ICT JOBS Administrative United Nations Sudan Best Jobs Finance Health - Medical Engineering Ethiopia Education Agricultural Lecturer Human Resources Somalia Media Congo - Kinshasa Legal Jobs Bank Jobs Monitoring and Evaluation Mining World Vision Burundi Procurement African Barrick Gold Accountant Zambia Sales and Marketing US EMBASSY East African Community Mozambique Telecoms Research CARE International Save The Children Plan International Arusha Malawi South Sudan Oxfam Scholarships African Development Bank Finance and Administration SafariCom Aviation The Commonwealth American Embassy Sales Zanzibar Environmental Catholic Relief Services Dar es salaam USAID Operations FHI 360 UNDP Security World Bank Economist TradeMark East Africa Unicef Hospitality Managers International Rescue Committee (IRC) Restless Development Accounting Civil Engineers AMREF Morogoro Utumishi AfDB African Development Bank COOPI - Cooperazione Internazionale Driver - Logistics Path International Mwanza African Union Tigo Jobs Marketing Mbeya Teaching Au African Union PSI Population Services International Pwc PricewaterhouseCoopers East African Breweries North Mara Gold Mine ACTED Djibouti Malaria Consortium Bulyanhulu Gold Mine DFID Driver Buzwagi Gold Mine Jhpiego COMESA FINCA JOBS International Jobs Adeso Danish Refugee Council Kilimanjaro Nairobi Coca-Cola Handicap International Pact International Rio Tinto Solidarités International Tender EGPAF Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation Logistics Serengeti Breweries Ltd Nation Media Group Africare Norwegian Refugee Council Samaritan's Purse Chemonics International COUNTRY DIRECTOR ICAP of Columbia University InterShips Precision Air RwandAir Marie Stopes International (MSI) Serengeti Breweries Volunteer Climate Change IGAD Tetra Tech ARD Agriculture Jobs Dodoma Iringa One Acre Fund Project Management Clinton Health Access Initiative (CHAI Technoserve Twaweza East Africa ActionAid Lutheran World Federation SADC Secretariat Tanga Vso International ACDI/VOCA Halmashauri Agha Khan Kenya Commercial Bank World Agroforestry Centre Deloitte East Africa International Organization for Migration (IOM) COMESA Secretariat: Software Engineering Safety and Security Shinyanga Jobs Tanzania Breweries Pathfinder International World Health Organization KPMG TANROADS Tanzania Electric Supply Company British Council Futures Group KCB BANK UN-Habitat WFP World Food Programme Barclays GEITA GOLD MINING TANESCO Electrical Engineer Food and Agriculture Organization GOAL Mombasa Tabora WWF World Wide Fund for Nature Microsoft Tanzania Ports Authority East African Development Bank Family Health International (FHI) IBM EAST AFRICA IntraHealth International Mercy Corps SERIKALINI - GOVERNMENT OF TANZANIA AccessBank Community Development Jobs Data Base Management Google Africa ICAP - TZ KEMRI/CDC Program WaterAid Tanzania Auditor SNV International Stanbic Bank Amnesty Horn Relief Kampala Management Systems International (MSI) Standard Chartered Bank VETA Christian Aid DIAMOND TRUST BANK Helen Keller International Help Age Mtwara Uganda Telecom Airtel Africa Equity Bank Internships Marie Stopes TCRA Web Development B B C WORLD SERVICE Human Rights Kigali Makerere University Nile Basin Initiative Kenyatta University Kigoma Mzumbe University NSSF National Social Security Fund Nile Breweries Limited Tulawaka Gold Mine University of Nairobi kenya Airways Bank of Tanzania Graduates MTN Muhimbili National Hospital Nepad Partners in Health Room to Read SUMATRA UNWOMEN African Wildlife foundation (AWF) KEMRI Kagera Librarian MENTOR Initiative Trainee USAILI - INTERVIEW Uiversity of Nairobi WaterAid International icipe Project CAFOD - Catholic Agency for Overseas Development Egerton University EngenderHealth Goal Ireland Kenyan Banks Lake Victoria Basin Commission Peace Corps TANAPA TASAF Tanzania Social Action Fund Zanzibar University ACB AKIBA COMMERCIAL BANK AGRA Alliance for a Green Revolution in Africa Advans Bank Ethiopian Airlines Freedom House IITA International Institute of Tropical Agriculture Legal Moshi NMB BANK Resolute Tanzania Singida Uganda Uganda National Roads Authority University of Dar es salaam University of Dodoma British High Commission ChildFund EWURA FilmAid International NECTA TPDC Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) United States International University World Concern Aga Khan Foundation CBA Commercial Bank of Africa Ecomist Ernst and Young IUCN International Union for Conservation of Nature International Medical Corps Islamic Relief Kakira Sugar Musoma National Institute for Medical Research OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA Relief International TAA Tanzania Airports Authority Trócaire Uganda Revenue Authority VODACOM TANZANIA VSF Belgium Architects Hivos IFC International Finance Corporation Ifakara Health Institute Inoorero University International Commercial Bank Kenya Red Cross Society MADEREVA Medical Oil and Gas Pwani University College SOKOINE UNIVERSITY Tumaini University Water Engineering AWF African Wildlife Foundation Acacia Mining Accounts African Virtual University Altima Africa Ardhi University Bank of Uganda Business Development Concultancy Del Monte Kenya Embassies Kenya Airports Authority Lake Victoria South Water Services Board Mara National Bank of Commerce RECORDS MANAGEMENT JOBS RUKWA Ruvuma Search for Common Ground Songea TTCL Tanzania Telecommunications Company Limited Unilever War Child International Zinduka Afrika ACORD AKU ​Aga Khan University Africa Nazarene University Africa Rice Center (AfricaRice) Aga Khan Health Services CRDB BANK Commercial Bank of Africa Daraja Tanzania Engineers Registration Board (ERB) Fina Bank International Potato Center International Potato Center (CIP) Intrahealth Jomo Kenyatta University Kilimanjaro Christian Medical Centre Kyambogo University Lindi Jobs MCL Mwananchi Communications MUHAS-harvad Moi University NBC BANK National University of Rwanda Ngorongoro Conservation Area Authority Njombe Nuru International Nzoia sugar Company RTI International SUA SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE THE LAW SCHOOL OF TANZANIA TRA Tanzania Revenue Authority Tanzania Postal Bank The Foundation For Civil Society Udhamini wa Masomo Western Union AIR TANZANIA Action Against Hunger (ACF) Agricultural Society of Kenya BRALIRWA Bondo University College Caritas Comoros Concern Worldwide Conservation Jobs Consolidated Bank of Kenya DHL Express Ewaso Ngiro South River Basin Development Authority Geologist Gulf African Bank INSTITUTE OF ADULT EDUCATION Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology Kabale University Kabale University (KAB) Kenya Ports Authority KickStart International MORUWASA Morogoro Urban Water and Sanitation Authority MSH Management Sciences for Health Mumias Sugar Company Nairobi Hospital Nkumba University Rural Electrification Agency SOKINE UNIVERSITY SONGWE STAMIGOLD Stores TACAIDS TARURA TCU Tanzania Commission for Universities Tullow Oil World Lung Foundation (WLF) ALAF Limited Aga Khan Development Network (AKDN) Aga Khan Hospital Air Malawi American Refuge Committee BENKI YA POSTA - TPB BANK BTC Belgian Technical Cooperation Bhttp://www.blogger.com/img/blank.gifank of Tanzania Bioversity International CHF International Customer Service Jobs DANGOTE DIT DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY Danida Dar es Salaam Institute of Technology Daystar University ECOBANK ETDCO Electrical Transmission and Distribution Construction and Maintenance Company European Union IFM INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT INSURANCE JOBS - BIMA ITECH Internews® Network KUITWA KAZINI Kenya Accreditation Service Kenya Polytechnic University College Kilombero Sugar Company Kisii University College Kisumu Laboratory Jobs MSD MEDICAL STORES DEPARTMENT MSF Switzerland Management Sciences for Health Manyara Maseno University Ministry of State for Planning Muteesa 1 Royal University Médecins Sans Frontières NIDA National Identification Authority Narok University College OSHA Occupational safety and Health Authority Open Society Initiative for Eastern Africa (OSIEA) PA PAC PEPSI POLICE - POLISI Petroleum EngineerS RWANDA HOUSING AUTHORITY Seychelles Songas TBC TANZANIA BROADCASTING CORPORATION TBS TANZANIA BUREAU OF STANDARDS TFDA TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY TIB - Tanzania Investment Bank Tanzania Mortagage Refinance Company Tanzania Teachers’ Union Transmara Sugar Company Tropical Pesticides Research Institute Tumba College of Technology Twiga Cement UNESCO UNOCHA Umma University University WRP Walter Reed Project ZANTEL ao uga
Powered by Blogger.