TANGAZO LA KAZI - WAKALA WA VIPIMO - JAN 2015


Kumb. Na EA.7/96/01/H/24 3 Januari, 2014

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1). Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki, pamoja na kazi zingine kimepewa jukumu la kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Waajiri (Taasisi za Umma).

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma anakaribisha maombi kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 593 za kazi kwa ajili ya wakala wa vipimo kama zilivyorodheshwa katika tangazo hili.

NB: MASHARITI YA JUMLA KWA KAZI ZOTE.

i. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri usiozidi miaka 45

ii. Waombaji wote waambatishe cheti cha kuzaliwa.

iii. Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingilia katika kada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi za kazi kwa waajiri wao na Waajiri wajiridhishe ipasavyo.

iv. Nafasi ya kazi inayoombwa iandikwe juu ya bahasha, kutozingatiwa hili kutasababisha maombi ya kazi kuwa batili.

v. Waombaji  waambatishe  maelezo  binafsi  yanayojitosheleza  (Detailed C.V)  yenye

anwani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.

vi. Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma, maelezo, nakala za vyeti vya kidato cha nne na kidato cha sita kwa wale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu


mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika. Viambatanisho hivyo vibanwe sawa sawa kuondoa uwezekano wa kudondoka au kupotea.

- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.

- Cheti cha mtihani wa kidato cha IV na VI

- Computer Certificate

- Vyeti vya kitaaluma (Professional certificates from respective boards)

- Picha moja “Passport size” ya hivi karibuni iandikwe jina kwa nyuma.

vii. Testmonials”, “Provisional Results”, “Statement of results”, hati matokeo za kidato cha nne na sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS) HAVITAKUBALIWA.

viii. Waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (TCU na NECTA).

ix. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.

x. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika Utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba 2010.

xi. Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kugushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.

xii. Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 18 Januari, 2015

xiii. Aidha, uwasilishaji wa barua kwa mkono katika ofisi za Sekretarieti ya ajira HAURUHUSIWI.

xiv. Maombi yanaweza kuandikwa kwa Lugha ya Kiswahili au Kiingereza na yatumwe kupitia posta kwa anuani ifuatayo.


Katibu, AU Secretary,
Sekretariati ya Ajira katika Public Service Recruitment
Utumishi wa Umma, Secretariat,
SLP.63100, P.O.Box 63100
Dar es Salaam. Dar es Salaam.


1.0 WAKALA WA VIPIMO

Wakala wa Vipimo ni Taasisi (Wakala) ya Serikali iliyochini ya Wizara ya Viwanda na Biashara. Taasisi hii iliundwa kwa mujibu wa Sheria ya Wakala za Serikali Sura Na. 245, mapitio ya mwaka 2002. Wakala wa Vipimo ilianzishwa rasmi tarehe 13 Mei, 2002 kwa amri ya Serikali Na. 194 (Government Order No. 194) na kutangazwa tarehe 17 Mei, 2002. Wakala wa Vipimo ina jukumu la kumlinda mlaji kwa kuhakiki vipimo vyote vinavyotumika katika sekta za Biashara, Afya, Usalama na Mazingira.

Nafasi hizi zitajazwa katika ofisi za Wakala wa Vipimo zilizoko Makao Makuu na katika Mikoa yote Tanzania Bara.

1.1 AFISA UGAVI MKUU DARAJA LA I - NAFASI 1 (INARUDIWA)

1.1.2 MAJUKUMU YA KAZI

Kushauri juu ya Sera ya Ununuzi na Ugavi katika Wakala;

Kushauri juu ya Mfumo wa Mtandao wa Ununuzi na Ugavi kwa kutumia kompyuta, “e-procurement”;

Kutathmini taarifa ya vifaa vinavyotumika na Wakala ili kujua aina ya kasi ya vifaa husika kwa hatua zaidi;

Kusimamia utayarishaji wa Mpango wa manunuzi wa Wakala;

Kusimamia utayarishaji wa makisio ya vifaa vinavyohitajika katika Wakala;

Kusimamia upimaji wa utendaji wa Maafisa Ugavi walio chini yake;

Kumshauri Mtendaji Mkuu kuhusu namna bora kutekeleza majukumu yanayohusu ununuzi, utunzaji na ugavi katika Wakala;

1.1.3 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Shahada ya Ugavi na Shahada/Stashahada ya Uzamili katika fani za Biashara au Ugavi kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Bodi ya Taifa ya Usimamizi wa Vifaa, na uzoefu wa kazi usiopungua miaka kumi na mbili (12).

1.1.4 MSHAHARA

Kwa kuzingatia ngazi za mishahara ya Serikali yaani WMAS 7 kwa mwezi


1.1.5 MCHUMI MKUU DARAJA LA I- NAFASI 1 (INARUDIWA)

1.1.6 MAJUKUMU YA KAZI

Kuratibu na kuhuisha upangaji na udhibiti wa mipango ya Wakala;

Kushiriki katika shughuli za kuandaa mipango, miongozo na nyaraka mbalimbali za Wakala;

Kuchambua, kudhibiti na kuoanisha Bajeti ya Wakala kwa kushirikiana na Wizara mama;

Kutayarisha taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo;

Kutoa picha kamili ya uchumi wa Wakala na maendeleo yake kwa vipindi vya muda mfupi na kati;

Kutayarisha miongozo ya maendeleo ya kila mwaka;

Kutayarisha na kusimamia mifumo ya shughuli za mipango ya maendeleo;

Kusimamia mwenendo wa kiuchumi wa Wakala na kutoa ushauri;

Kusimamia upimaji wa utendaji wa watumishi walio chini yake;

1.1.7 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Shahada/Stashahada ya Uzamili (Masters/Postgraduate Diploma) ambao wamejiimarisha katika mojawapo ya fani zifuatazo Uchumi (Economics), Takwimu (Statistics), Sayansi ya Uchumi au Kilimo (Bsc. Agriculture Economics & Agri Business) kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.


ujuzi wa kutumia kompyuta na uzoefu wa kazi ya uchambuzi wa masuala ya kiuchumi kwa muda usiopungua miaka kumi na mbili (12).

Waombaji wenye Shahada ya Falsafa ya (Phd) katika fani husika au watakaokuwa wamechapisha makala zisizopungua sita (6) zinazohusiana na fani mbalimbali za uchumi watafikiriwa kwanza.

1.1.8  MSHAHARA

Kwa kuzingatia ngazi za mishahara ya Serikali yaani WMAS 7 kwa mwezi.


2.0 FUNDI SANIFU MSAIDIZI (UPIMAJI ARDHI) - (ASSISTANT WATER WORKS TECHNICIAN GEOMETRIC) – NAFASI 24

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji.

2.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufanya kazi kwa kuongozwa na chini ya uangalizi wa Fundi Sanifu aoyesajiliwa ili aweze;

Kushirikiana na Wahandisi wa Maji na kuwaongoza walengwa katika kuchagua njia za kupitisha bomba kwa ajili ya miradi ya maji na usafi wa mazingira;

Kupima hali ya kijiografia ya maeneo ya inayokusudiwa kujengwa au yenye miradi ya maji na usafi wa mazingira ili kuwezesha usanifu wa miundo mbinu miradi;

Kupima uwekaji wa vifaa vya miundo mbinu kwenye ardhi wakati wa ujenzi wa miradi ya maji na usafi wa mazingira;

Kunakili na kutunza taarifa za upimaji wa ardhi kwa ajili ya miundo mbinu ya miradi ya maji na usafi wa mazingira kwa namna inayokubalika kwa mchoraji wa ramani za usanifu wa miradi kufanya kazi yake kwa unadhifu;kuchora ramani za maeneo ya miradi ya maji na usafi wa mazingira kwa namna zote zinazokubalika kwa ajili ya kuwezesha usanifu wa miundo mbinu ya maji na usafi wa mazingira;

Kumsaidia Fundi Sanifu katika kazi za upimaji ardhi.

2.2 SIFA ZA MWOMBAJI

• Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne waliohudhuria na kufaulu mafunzo ya mwaka mmoja kutoka Chuo cha Maji au Chuo chochote kinachitambuliwa na Serikali ambao wana Cheti cha ufundi Daraja III (Water Works Technician Geometric).

2.3 MSHAHARA

•  Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS A kwa mwezi.

3.0 FUNDI SANIFU MSAIDIZI MITAMBO YA MAJI (PAMPU) – NAFASI 25

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji.

3.1 MAJUKUMU YA KAZI

Atafanya kazi kwa kuongozwa na chini ya uangalizi wa Fundi Sanifu aliyesajiliwa ili aweze;

Kufunga pampu na injini za aina mbalimbali za miradi ya maji na usafi wa mazingira;

Kufanya usafi na ukaguzi wa pampu na injini za miradi ya maji na usafi wa mazingira kwa ajili ya kukidhi uendeshaji nadhifu, endelevu na kuzuia uharibifu;

Kuhudumia uendeshaji wa pampu na injini za miradi ya maji;


Kufanya matengenezo ya kawaida, ya vipindi na ya kuzuia uharibifu wa pampu na injini kwa kufuata miongozo ya uendeshaji na matengenezo na inapohitajika kwa dharura;

Kunakiri, kutayarisha, kukusanya, kutunza na kuziwasilisha takwimu za uendeshaji na matengenezo ya pampu na injini za miradi ya maji;

Kumsaidia Fundi Sanifu katika kazi za kiufundi.

3.2 SIFA ZA MWOMBAJI

• Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne waliohudhuria na kufaulu mafunzo ya mwaka mmoja kutoka Chuo cha Maji au Chuo chochote kinachitambuliwa na Serikali ambao wana Cheti cha ufundi Daraja III (Mitambo Ya Maji (Pampu).

3.3 MSHAHARA

•  Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS A kwa mwezi.

4.0 FUNDI SANIFU MSAIDIZI MITAMBO YA MAJI (UMEME) – NAFASI 12

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji.

4.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufanya kazi kwa kuongozwa na chini ya uangalizi wa Fundi sanifu aliyesajiliwa ili aweze;

Kufunga mfumo wa umeme unaohitajika kwa ajili ya uendeshaji wa mitambo ya miradi ya maji na usafi wa mazingira;

Kufunga mota na vifaa vingine vya umeme vya aina mbalimbali vya miradi ya maji na usafi wa mazingira;

Kufanya usafi na ukaguzi wa mfumo wa umeme, mota na vifaa vingine umeme vya miradi ya maji na usafi wa mazingira kwa ajili ya kukidhi uendeshaji nadhifu wa pampu na kuzuia uharibifu;

Kuendesha mitambo inayotumia umeme ya miradi ya maji na usafi wa mazingira;

Kufanya matengenezo ya kawaida, ya vipindi na ya kuzuia uharibifu kwenye mfumo wa umeme, mota na vifaa vingine umeme kwa kufuata miongozo ya uendeshaji, na inapohitajika kwa dharura.

Kunakili, kutayarisha, kukusanya, kutunza na kuziwasilisha takwimu za uendeshaji na matengenezo ya mitambo inayotumia umeme ya miradi ya maji na usafi wa mazingira;

Kumsaidia Fundi Sanifu katika kazi za kiufundi.

4.2 SIFA ZA MWOMBAJI

• Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne waliohudhuria na kufaulu mafunzo ya mwaka mmoja kutoka Chuo cha Maji au Chuo chochote kinachitambuliwa na Serikali ambao wana Cheti cha ufundi Daraja III (Plants Technician Electrical).

4.3 MSHAHARA

• Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS A kwa mwezi.


5.0 MHANDISI DARAJA LA II (MAJI) – WATER RESOURCE ENGINEER – NAFASI 2

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji.


5.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kushughulikia upembuzi yakinifu, usanifu wa ujenzi, uendeshaji na matengenezo ya miundombinu midogo midogo ya usambazaji maji na kushiriki shughuli za upembuzi yakinifu, usanifu, ujenzi, uendeshaji na matengenezo ya miundombinu mikubwa ya ujenzi wa usambazaji maji na usafi wa mazingira.

Kufanyia mapitio taarifa za upembuzi yakinifu na sanifu za ujenzi wa miundombinu ya miradi ya usambazaji maji na usafi wa mazingira.

Kufanyia ukaguzi wa utekelezaji wa ujenzi, uendeshaji na utengenezaji wa miundombinu ya uzalishaji na usambazaji maji na usafi wa mazingira kwa ajili ya kupata ubora unaokusudiwa.

Kushiriki katika kazi ya kupendekeza miradi na kupitia mapendekezo ya miradi (project proposal) ya usambazaji maji na usafi wa mazingira.

Kufanya uchunguzi kuhusu uharibifu wa miundombinu au ajali zinazojitokeza wakati wa utekelezaji wa miradi ya maji na usafi wa mazingira.

Kutayarisha bajeti ya utekelezaji wa shughuli za sekta za maji.

Kusimamia kuratibu na kufuatilia utekelezaji wa ujenzi, uendeshaji na mategenezo ya miundombinu ya miradi ya maji na usafi wa mazingira.

Kukusanya na kutayarisha taarifa mbalimbali za utekelezaji wa shughuli za sekta ya maji kwa ajili ya matumizi ya sekta na kwa ajili ya kujisajili katika bodi ya Wahandisi.

5.2 SIFA ZA MWOMBAJI

• Kuajiriwa wenye Shahada/Stashahada ya juu ya uhandisi wa Maji (Water Resource Engineering) kutoka vyuo vikuu vinavyotambuliwa na Serikali.

5.3 MSHAHARA

• Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.


6.0 MHANDISI DARAJA LA II (MAJI) – WATER RESOURCE WITH GIS ENGINEER – NAFASI 4

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji.

6.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kushughulikia upembuzi yakinifu, usanifu wa ujenzi, uendeshaji na matengenezo ya miundombinu midogo midogo ya usambazaji maji na kushiriki shughuli za upembuzi yakinifu, usanifu, ujenzi, uendeshaji na matengenezo ya miundombinu mikubwa ya ujenzi wa usambazaji maji na usafi wa mazingira.

Kufanyia mapitio taarifa za upembuzi yakinifu na sanifu za ujenzi wa miundombinu ya miradi ya usambazaji maji na usafi wa mazingira.


Kufanyia ukaguzi wa utekelezaji wa ujenzi, uendeshaji na utengenezaji wa miundombinu ya uzalishaji na usambazaji maji na usafi wa mazingira kwa ajili ya kupata ubora unaokusudiwa.

Kushiriki katika kazi ya kupendekeza miradi na kupitia mapendekezo ya miradi (project proposal) ya usambazaji maji na usafi wa mazingira.

Kufanya uchunguzi kuhusu uharibifu wa miundombinu au ajali zinazojitokeza wakati wa utekelezaji wa miradi ya maji na usafi wa mazingira.

Kutayarisha bajeti ya utekelezaji wa shughuli za sekta za maji.

Kusimamia kuratibu na kufuatilia utekelezaji wa ujenzi, uendeshaji na mategenezo ya miundombinu ya miradi ya maji na usafi wa mazingira.

Kukusanya na kutayarisha taarifa mbalimbali za utekelezaji wa shughuli za sekta ya maji kwa ajili ya matumizi ya sekta na kwa ajili ya kujisajili katika bodi ya Wahandisi.

6.2 SIFA ZA MWOMBAJI

• Kuajiriwa wenye Shahada/Stashahada ya juu ya uhandisi wa Maji (Water Resource with GIS) kutoka vyuo vikuu vinavyotambuliwa na Serikali.

6.3 MSHAHARA

• Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.

7.0 MHIFADHI WANYAMAPORI DARAJA LA II – NAFASI 31

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.

7.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufanya doria ndani na nje ya maeneo ya hifadhi

Kudhibiti vitendo vya ujangili nje na ndani ya hifadhi

kusimamia uwindaji wa kitalii na utalii wa picha

kulinda Nyara za Serikali

Kusimamia usafirishaji wa wanyamapori na nyara nje na ndani ya Nchi

Kusimamia matumizi ya magari ya doria

Kukagua wanyamapori kwenye mashamba na mazizi ya wanyamapori na kutunza takwimu zao

Kuratibu uingiaji wa wageni katika Mapori ya Akiba

Kudhibiti moto katika hifadhi

Kukusanya na kutunza vielelezo vya ushahidi na kutoa ushahidi Mahakamani

Kukusanya takwimu za wanyama na mimea kwenye hifadhi

Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa zinazoendana na taaluma yake

7.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha IV au kidato cha VI wenye Stashahada ya Uhifadhi Wanyamapori (Diploma in Wildlife Management) kutoka Chuo cha Usimamizi Wanyamapori Mweka au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.

7.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi.

8.0 MHIFADHI MAMBO YA KALE II (CONSERVATORS OF ANTIQUITIES GRADE II) – NAFASI 4

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.

8.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kushiriki katika kutunza na kuhifadhi mazingira ya vituo na maeneo ya Mambo ya Kale.

Kushiriki katika kufanya kazi za ukarabati wa majengo

Kushiriki katika kuboresha maeneo yenye umuhimu ya kihistoria.

Kushiriki katika kufanya kazi za ufundi

Kuratibu na kupokea wageni mbalimbali wanaotembelea Vituo vya Mambo ya Kale.

Kushiriki katika kufanya utafiti na uhifadhi.

Kushiriki kuandaa tathmini ya maeneo ambayo yamefanyiwa utafiti na uhifadhi.

Kuratibu ushauri wa kurekebisha vipengele vya Sheria ya Mambo ya Kale.

Kuendesha mafunzo ya Elimu ya Jamii kuhusu masuala ya utafiti na uhifadhi kwa njia ya semina, warsha na vipindi vya radio.

Kushiriki katika kuandaa vipindi vya TV na Radio

Kushiriki katika kuandaa kazi za maabara.

Kushiriki katika kuandaa kumbukumbu za mambo ya kale.

8.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Shahada/stashahada ya juu ya Sayansi ya Jamii au Sayansi ya Asili, waliojiimarisha (major) katika mojawapo ya michepuo ya Jiologia, elimu ya viumbe, Akiolojia, Anthropolojia, Jiografia, Historia, Paleontolojia au Ethnolojia kutoka Vyuo vinavyotambulika na Serikali.

8.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya Mshahara TGS.D kwa mwezi.

9.0 AFISA ELIMU DARAJA LA II (EDUCATION OFFICER GRADE II) – KISWAHILI (NAFASI 16)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto.Walimu hawa watafanya kazi ya kufundisha katika vyuo vya maendeleo ya wananchi vilivyopo katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

9.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la Kiswahili katika vyuo vya maendeleo ya wananchi.

Kuandaa maazimio ya kazi, maandalio ya masomo, zana za kufundishia /kujifunzia, mazoezi ya wanafunzi na majaribio.

Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani kwa lengo la kutathmini maendeleo ya wanachuo.

Kuandaa mazoezi ya kazi kwa wanachuo na kusahihisha.

Kuandaa taarifa za kitaaluma na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya wanachuo na kuwasilisha katika mamlaka husika.

Kufanya tafiti mbalimbali za kielimu.

Kushika zamu na kutoa taarifa kwa uongozi wa chuo.

Kutunza na kudhibiti matumizi ya vifaa katika sehemu aliyokabidhiwa.

Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa ngazi za juu kuhusu masuala mbalimbali kulingana na majukumu aliyopewa.

Kutoa ushauri nasaha na kuwalea wanachuo kwa kuwaandaa kiakili,kimwili,kitabia na kimwenendo ili waweze kujua wajibu wao kwa jamii

Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Chuo.

9.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza kutoka Vyuo Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali waliosoma somo la Kiswahili. Aidha kipaumbele ni walimu wenye Shahada ya Elimu ya Watu Wazima katika somo tajwa hapo juu.

Awe na ujuzi wa kutumia kompyuta.

9.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGTS D kwa mwezi.

10.0 AFISA ELIMU DARAJA LA II (EDUCATION OFFICER GRADE II) – KIINGEREZA (NAFASI 14)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto.Walimu hawa watafanya kazi ya kufundisha katika vyuo vya maendeleo ya wananchi vilivyopo katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

10.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la Kiingereza katika vyuo vya Maendeleo ya wananchi.

Kuandaa maazimio ya kazi, maandalio ya masomo, zana za kufundishia /kujifunzia, mazoezi ya wanafunzi na majaribio.

Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani kwa lengo la kutathmini maendeleo ya wanachuo.

Kuandaa mazoezi ya kazi kwa wanachuo na kusahihisha.

Kuandaa taarifa za kitaaluma na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya wanachuo na kuwasilisha katika mamlaka husika.

Kufanya tafiti mbalimbali za kielimu.

Kushika zamu na kutoa taarifa kwa uongozi wa chuo.

Kutunza na kudhibiti matumizi ya vifaa katika sehemu aliyokabidhiwa.

Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa ngazi za juu kuhusu masuala mbalimbali kulingana na majukumu aliyopewa.

Kutoa ushauri nasaha na kuwalea wanachuo kwa kuwaandaa kiakili,kimwili,kitabia na kimwenendo ili waweze kujua wajibu wao kwa jamii

Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Chuo.

10.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza kutoka Vyuo Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali waliosoma somo la Kiingereza.Aidha kipaumbele ni walimu wenye shahada ya Elimu ya Watu Wazima katika somo tajwa hapo juu.

Awe na ujuzi wa kutumia kompyuta.

10.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGTS D kwa mwezi.

11.0 AFISA ELIMU DARAJA LA II (EDUCATION OFFICER GRADE II) – URAIA (CIVIC EDUCATION) (NAFASI 30)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto.Walimu hawa watafanya kazi ya kufundisha katika vyuo vya maendeleo ya wananchi vilivyopo katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

11.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la uraia katika vyuo vya Maendeleo ya Wananchi.

Kuandaa maazimio ya kazi, maandalio ya masomo, zana za kufundishia /kujifunzia, mazoezi ya wanafunzi na majaribio.

Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani kwa lengo la kutathmini maendeleo ya wanachuo.

Kuandaa mazoezi ya kazi kwa wanachuo na kusahihisha.

Kuandaa taarifa za kitaaluma na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya wanachuo na kuwasilisha katika mamlaka husika.

Kufanya tafiti mbalimbali za kielimu.

Kushika zamu na kutoa taarifa kwa uongozi wa chuo.

Kutunza na kudhibiti matumizi ya vifaa katika sehemu aliyokabidhiwa.

Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa ngazi za juu kuhusu masuala mbalimbali kulingana na majukumu aliyopewa.

Kutoa ushauri nasaha na kuwalea wanachuo kwa kuwaandaa kiakili,kimwili,kitabia na kimwenendo ili waweze kujua wajibu wao kwa jamii

Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Chuo.

11.2 SIFA ZA MWOMBAJI


Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza kutoka Vyuo Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali waliosomea Development Studies au Political Science. Aidha kipaumbele ni walimu wenye shahada ya Elimu ya Watu Wazima katika somo tajwa hapo juu.

Awe na ujuzi wa kutumia kompyuta

11.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGTS D kwa mwezi.

12.0 AFISA ELIMU DARAJA LA II (EDUCATION OFFICER GRADE II) –BACHELOR OF EDUCATION IN COMMERCE)- (NAFASI 30)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto.Walimu hawa watafanya kazi ya kufundisha katika vyuo vya maendeleo ya jamii na Maendeleo ya Wananchi vilivyopo katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

12.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha masomo ya Hesabu za biashara na Ujasiriamali katika vyuo vya Maendeleo ya Wananchi.

Kuandaa maazimio ya kazi, maandalio ya masomo, zana za kufundishia /kujifunzia, mazoezi ya wanafunzi na majaribio.

Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani kwa lengo la kutathmini maendeleo ya wanachuo.

Kuandaa mazoezi ya kazi kwa wanachuo na kusahihisha.

Kuandaa taarifa za kitaaluma na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya wanachuo na kuwasilisha katika mamlaka husika.

Kufanya tafiti mbalimbali za kielimu.

Kushika zamu na kutoa taarifa kwa uongozi wa chuo.

Kutunza na kudhibiti matumizi ya vifaa katika sehemu aliyokabidhiwa.

Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa ngazi za juu kuhusu masuala mbalimbali kulingana na majukumu aliyopewa.

Kutoa ushauri nasaha na kuwalea wanachuo kwa kuwaandaa kiakili,kimwili,kitabia na kimwenendo ili waweze kujua wajibu wao kwa jamii

Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Chuo

12.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza kutoka Vyuo Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali waliosomea Elimu ya Biashara na ualimu (Bachelor Of Education in Commerce).

Awe na ujuzi wa kutumia kompyuta

12.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGTS D kwa mwezi.

13.0 AFISA ELIMU DARAJA LA II (EDUCATION OFFICER GRADE II) –HISABATI (MATHEMATICS) (NAFASI 15)


Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto.Walimu hawa watafanya kazi ya kufundisha katika vyuo vya maendeleo ya jamii na Maendeleo ya Wananchi vilivyopo katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

13.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la Hesabu katika vyuo 25 vya Maendeleo ya Wananchi vinavyofundisha mafunzo ya Ufundi Stadi.

Kuandaa maazimio ya kazi, maandalio ya masomo, zana za kufundishia /kujifunzia, mazoezi ya wanafunzi na majaribio.

Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani kwa lengo la kutathmini maendeleo ya wanachuo.

Kuandaa mazoezi ya kazi kwa wanachuo na kusahihisha.

Kuandaa taarifa za kitaaluma na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya wanachuo na kuwasilisha katika mamlaka husika.

Kufanya tafiti mbalimbali za kielimu.

Kushika zamu na kutoa taarifa kwa uongozi wa chuo.

Kutunza na kudhibiti matumizi ya vifaa katika sehemu aliyokabidhiwa.

Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa ngazi za juu kuhusu masuala mbalimbali kulingana na majukumu aliyopewa.

Kutoa ushauri nasaha na kuwalea wanachuo kwa kuwaandaa kiakili,kimwili,kitabia na kimwenendo ili waweze kujua wajibu wao kwa jamii

Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Chuo

13.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza kutoka Vyuo Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali waliosomea Hisabati na Ualimu (Bachelor of Education in Mathematics).

Awe na ujuzi wa kutumia kompyuta

13.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGTS D kwa mwezi.

14.0 AFISA ELIMU DARAJA LA II (EDUCATION OFFICER GRADE II) –KEMIA (CHEMISTRY) (NAFASI 5)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto.Walimu hawa watafanya kazi ya kufundisha katika vyuo vya maendeleo ya jamii na Maendeleo ya Wananchi vilivyopo katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

14.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la Kemia katika vyuo 25 vya Maendeleo ya Wananchi vinavyofundisha mafunzo ya Ufundi stadi.

Kuandaa maazimio ya kazi, maandalio ya masomo, zana za kufundishia /kujifunzia, mazoezi ya wanafunzi na majaribio.


Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani kwa lengo la kutathmini maendeleo ya wanachuo.

Kuandaa mazoezi ya kazi kwa wanachuo na kusahihisha.

Kuandaa taarifa za kitaaluma na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya wanachuo na kuwasilisha katika mamlaka husika.

Kufanya tafiti mbalimbali za kielimu.

Kushika zamu na kutoa taarifa kwa uongozi wa chuo.

Kutunza na kudhibiti matumizi ya vifaa katika sehemu aliyokabidhiwa.

Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa ngazi za juu kuhusu masuala mbalimbali kulingana na majukumu aliyopewa.

Kutoa ushauri nasaha na kuwalea wanachuo kwa kuwaandaa kiakili,kimwili,kitabia na kimwenendo ili waweze kujua wajibu wao kwa jamii

Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Chuo.

14.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza kutoka Vyuo Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali katika somo la Kemia (Chemistry).

Awe na ujuzi wa kutumia kompyuta

14.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGTS D kwa mwezi.

15.0 AFISA ELIMU DARAJA LA II (EDUCATION OFFICER GRADE II) –FIZIKIA (PHYSICS) (NAFASI 14)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto.Walimu hawa watafanya kazi ya kufundisha katika vyuo vya maendeleo ya jamii na Maendeleo ya Wananchi vilivyopo katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

15.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la Fizikia katika vyuo vyuo 25 vya Maendeleo ya Wananchi vinavyofundisha mafunzo ya Ufundi Sanifu

Kuandaa maazimio ya kazi, maandalio ya masomo, zana za kufundishia /kujifunzia, mazoezi ya wanafunzi na majaribio.

Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani kwa lengo la kutathmini maendeleo ya wanachuo.

Kuandaa mazoezi ya kazi kwa wanachuo na kusahihisha.

Kuandaa taarifa za kitaaluma na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya wanachuo na kuwasilisha katika mamlaka husika.

Kufanya tafiti mbalimbali za kielimu.

Kushika zamu na kutoa taarifa kwa uongozi wa chuo.

Kutunza na kudhibiti matumizi ya vifaa katika sehemu aliyokabidhiwa.


Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa ngazi za juu kuhusu masuala mbalimbali kulingana na majukumu aliyopewa.

Kutoa ushauri nasaha na kuwalea wanachuo kwa kuwaandaa kiakili,kimwili,kitabia na kimwenendo ili waweze kujua wajibu wao kwa jamii

Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Chuo

15.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza kutoka Vyuo Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali katika somo la Fizikia (Physics).

Awe na ujuzi wa kutumia kompyuta

15.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGTS D kwa mwezi.

16.0 AFISA ELIMU DARAJA LA II (EDUCATION OFFICER GRADE II) –SAYANSI KIMU(DOMESTIC SCIENCE) (NAFASI 30)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto.Walimu hawa watafanya kazi ya kufundisha katika vyuo vya maendeleo ya jamii na Maendeleo ya Wananchi vilivyopo katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

16.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la upishi na lishe,hotel management, uhifadhi wa vyakula,uzalishaji vyakula na vinywaji katika, vyuo vya Maendeleo ya Wananchi

Kuandaa maazimio ya kazi, maandalio ya masomo, zana za kufundishia /kujifunzia, mazoezi ya wanafunzi na majaribio.

Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani kwa lengo la kutathmini maendeleo ya wanachuo.

Kuandaa mazoezi ya kazi kwa wanachuo na kusahihisha.

Kuandaa taarifa za kitaaluma na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya wanachuo na kuwasilisha katika mamlaka husika.

Kufanya tafiti mbalimbali za kielimu.

Kushika zamu na kutoa taarifa kwa uongozi wa chuo.

Kutunza na kudhibiti matumizi ya vifaa katika sehemu aliyokabidhiwa.

Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa ngazi za juu kuhusu masuala mbalimbali kulingana na majukumu aliyopewa.

Kutoa ushauri nasaha na kuwalea wanachuo kwa kuwaandaa kiakili,kimwili,kitabia na kimwenendo ili waweze kujua wajibu wao kwa jamii

Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Chuo

16.2 SIFA ZA MWOMBAJI


Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza kutoka chuo Kikuu cha Sokoine na vyuo Vikuu vingine vinavyotambuliwa na Serikali waliosomea Maarifa ya nyumbani (Home Economics/Domestic Science)

Awe na ujuzi wa kutumia kompyuta.

16.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGTS D kwa mwezi.

17.0 MWANASHERIA DARAJA LA II (LAWYER GRADE II) –SHERIA (LAW) (NAFASI 8)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto.Walimu hawa watafanya kazi ya kufundisha katika vyuo vya maendeleo ya jamii na Maendeleo ya Wananchi vilivyopo katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

17.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la sheria katika vyuo vya Maendeleo ya Jamii.

Kuandaa maazimio ya kazi, maandalio ya masomo, zana za kufundishia /kujifunzia, mazoezi ya wanafunzi na majaribio.

Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani kwa lengo la kutathmini maendeleo ya wanachuo.

Kuandaa mazoezi ya kazi kwa wanachuo na kusahihisha.

Kuandaa taarifa za kitaaluma na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya wanachuo na kuwasilisha katika mamlaka husika.

Kufanya tafiti mbalimbali za kielimu.

Kushika zamu na kutoa taarifa kwa uongozi wa chuo.

Kutunza na kudhibiti matumizi ya vifaa katika sehemu aliyokabidhiwa.

Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa ngazi za juu kuhusu masuala mbalimbali kulingana na majukumu aliyopewa.

Kutoa ushauri nasaha na kuwalea wanachuo kwa kuwaandaa kiakili,kimwili,kitabia na kimwenendo ili waweze kujua wajibu wao kwa jamii

Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Chuo

17.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza kutoka Vyuo Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali waliosomea Sheria (Law)

Awe na ujuzi wa kutumia kompyuta

17.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.

18.0 MWALIMU DARAJA LA III (TEACHER GRADE III) –UFUNDI CHUMA (WELDING AND METAL FABRICATION) (NAFASI 2)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto.Walimu hawa watafanya kazi ya kufundisha Masomo ya Ufundi katika vyuo 55 vya Maendeleo ya Wananchi vilivyopo katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

18.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la uungaji vyuma katika vyuo vya Maendeleo ya Wananchi.

Kuandaa maazimio ya kazi, maandalio ya masomo, zana za kufundishia /kujifunzia, mazoezi ya wanafunzi na majaribio.

Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani kwa lengo la kutathmini maendeleo ya wanachuo.

Kuandaa mazoezi ya kazi kwa wanachuo na kusahihisha.

Kuandaa taarifa za kitaaluma na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya wanachuo na kuwasilisha katika mamlaka husika.

Kufanya tafiti mbalimbali za kielimu.

Kushika zamu na kutoa taarifa kwa uongozi wa chuo.

Kutunza na kudhibiti matumizi ya vifaa katika sehemu aliyokabidhiwa.

Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa ngazi za juu kuhusu masuala mbalimbali kulingana na majukumu aliyopewa.

Kutoa ushauri nasaha na kuwalea wanachuo kwa kuwaandaa kiakili,kimwili,kitabia na kimwenendo ili waweze kujua wajibu wao kwa jamii

Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Chuo.

18.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye cheti cha Mtihani wa Taifa wa kidato cha Nne/sita na mafunzo ya ualimu miaka miwili (2) na kuapata cheti cha Ualimu daraja la IIIA katika fani ya uungaji vyuma (Welding And Metal Fabrication) na kusomea ualimu kwa miaka miwili.

Aidha kipaumbele ni kwa walimu waliohitimu katika vyuo Ualimu vya Klerruu, Mtwara Ufundi na Dakawa na vyuo vingine vinavyotambulika na serikali.

18.3 10.2 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGTS B kwa mwezi.

19.0 MWALIMU   DARAJA   LA  III   (TEACHER   GRADE   III)   –USHONAJI   NA

UFUMAJI(KNITTING AND EMBROIDERY) (NAFASI 3)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto.Walimu hawa watafanya kazi ya kufundisha Masomo ya Ufundi katika vyuo vya maendeleo ya Wananchi vilivyopo katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

19.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la ushonaji na ufumaji katika vyuo vya Maendeleo ya Wananchi.

Kuandaa maazimio ya kazi, maandalio ya masomo, zana za kufundishia /kujifunzia, mazoezi ya wanafunzi na majaribio.

Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani kwa lengo la kutathmini maendeleo ya wanachuo.

Kuandaa mazoezi ya kazi kwa wanachuo na kusahihisha.

Kuandaa taarifa za kitaaluma na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya wanachuo na kuwasilisha katika mamlaka husika.

Kufanya tafiti mbalimbali za kielimu.

Kushika zamu na kutoa taarifa kwa uongozi wa chuo.

Kutunza na kudhibiti matumizi ya vifaa katika sehemu aliyokabidhiwa.

Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa ngazi za juu kuhusu masuala mbalimbali kulingana na majukumu aliyopewa.

Kutoa ushauri nasaha na kuwalea wanachuo kwa kuwaandaa kiakili,kimwili,kitabia na kimwenendo ili waweze kujua wajibu wao kwa jamii

Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Chuo.

19.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye cheti cha Mtihani wa Taifa wa kidato cha Nne/sita na mafunzo ya ualimu miaka miwili (2) na kuapata cheti cha Ualimu daraja la IIIA katika Ushonaji na ufumaji (Knitting and Embroidery).

Aidha kipaumbele ni kwa walimu waliohitimu katika vyuo Ualimu vya Klerruu, Mtwara Ufundi na Dakawa na vyuo vingine vinavyotambulika na serikali.

19.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGTS B kwa mwezi.

20.0 MWALIMU DARAJA LA III (TEACHER GRADE III) –UPISHI (COOKERY) (NAFASI 3)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto.Walimu hawa watafanya kazi ya kufundisha Masomo ya Ufundi katika vyuo vya maendeleo ya Wananchi vilivyopo katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

20.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la Upishi katika vyuo vya Maendeleo ya Wananchi.

Kuandaa maazimio ya kazi, maandalio ya masomo, zana za kufundishia /kujifunzia, mazoezi ya wanafunzi na majaribio.

Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani kwa lengo la kutathmini maendeleo ya wanachuo.

Kuandaa mazoezi ya kazi kwa wanachuo na kusahihisha.

Kuandaa taarifa za kitaaluma na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya wanachuo na kuwasilisha katika mamlaka husika.

Kufanya tafiti mbalimbali za kielimu.

Kushika zamu na kutoa taarifa kwa uongozi wa chuo.

Kutunza na kudhibiti matumizi ya vifaa katika sehemu aliyokabidhiwa.

Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa ngazi za juu kuhusu masuala mbalimbali kulingana na majukumu aliyopewa.

Kutoa ushauri nasaha na kuwalea wanachuo kwa kuwaandaa kiakili,kimwili,kitabia na kimwenendo ili waweze kujua wajibu wao kwa jamii

Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Chuo.

20.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye cheti cha Mtihani wa Taifa wa kidato cha Nne/sita na mafunzo ya ualimu miaka miwili (2) na kuapata cheti cha Ualimu daraja la IIIA katika Upishi (Cookery).

Aidha kipaumbele ni kwa walimu waliohitimu katika vyuo Ualimu vya Klerruu, Mtwara Ufundi na Dakawa na vyuo vingine vinavyotambulika na serikali.

20.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGTS B kwa mwezi.




21.0 MWALIMU DARAJA LA III (TEACHER GRADE III) –UFUNDI UJENZI (CIVIL) (NAFASI 3)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto.Walimu hawa watafanya kazi ya kufundisha Masomo ya Ufundi katika vyuo vya maendeleo ya Wananchi vilivyopo katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

21.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la ujenzi katika vyuo vya Maendeleo ya Wananchi.

Kuandaa maazimio ya kazi, maandalio ya masomo, zana za kufundishia /kujifunzia, mazoezi ya wanafunzi na majaribio.

Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani kwa lengo la kutathmini maendeleo ya wanachuo.

Kuandaa mazoezi ya kazi kwa wanachuo na kusahihisha.

Kuandaa taarifa za kitaaluma na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya wanachuo na kuwasilisha katika mamlaka husika.

Kufanya tafiti mbalimbali za kielimu.

Kushika zamu na kutoa taarifa kwa uongozi wa chuo.

Kutunza na kudhibiti matumizi ya vifaa katika sehemu aliyokabidhiwa.


Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa ngazi za juu kuhusu masuala mbalimbali kulingana na majukumu aliyopewa.

Kutoa ushauri nasaha na kuwalea wanachuo kwa kuwaandaa kiakili,kimwili,kitabia na kimwenendo ili waweze kujua wajibu wao kwa jamii

Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Chuo.

21.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye cheti cha Mtihani wa Taifa wa kidato cha Nne/sita ambao walisomea somo la ujenzi na mafunzo ya ualimu miaka miwili (2) na kupata cheti cha Ualimu daraja la IIIA katika fani ya Ujenzi (Civil).

Aidha kipaumbele ni kwa walimu waliohitimu katika vyuo Ualimu vya Klerruu, Mtwara Ufundi na Dakawa na vyuo vingine vinavyotambulika na serikali

21.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGTS B kwa mwezi.

22.0 TABIBU II (CLINICAL OFFICERS) – (NAFASI 7)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto. Tabibu hawa watafanya kazi ya kutoa huduma ya kwanza na utabibu kwa wanachuo na jamii inayokizunguka chuo katika vyuo vya maendeleo ya Wananchi vilivyopo katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

22.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kazi zote zinazofanywa na Tabibu Msaidizi

Kutambua na kutibu magonjwa ya kawaida kwa wanachuo na jamii inayokizunguka chuo.

Kutoa ushauri wa kiafya kwa wanachuo na jamii inayokizunguka chuo.

Kusimamia utendaji wa watumishi walio chini yake na kufanya upasuaji mdogo

Kushiriki katika kupanga na kutekeleza huduma za Afya msingi

Kushauri na kuhamasisha wanachuo kuchangia huduma za afya na Mfuko wa Afya ya jamii.

Kufundisha somo la afya ya jamii chuoni.

22.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita wenye Stashahada ya Tabibu ya miaka mwitatu kutoka chuo kinachotambuliwa na serikali.

22.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGHS B kwa mwezi.

23.0 II (NURSE II) – (NAFASI 2)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto. Wahudumu wa afya (Nurse) hawa watafanya kazi ya kutoa huduma ya kwanza na kwa wanachuo na jamii inayokizunguka chuo katika vyuo vya maendeleo ya Wananchi vilivyopo katika mikoa yote ya Tanzania Bara

23.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kutoa huduma ya kwanza kwa wanachuo na jamii inayokizunguka chuo.

Kuangalia afya za wanachuo na jamii inayokizunguka chuo na kutoa ushauri kwa uongozi wa chuo.

Kutoa elimu ya afya ya jamii kwa wanachuo na jamii inayokizunguka chuo.

Kushirikiana na tabibu katika kutekeleza majukumu yake.

23.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita wenye stashahada ya Uuguzi ya miaka mwitatu kutoka chuo cha afya kinachotambuliwa na serikali.

23.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGHS A kwa mwezi.

24.0 MKUFUNZI DARAJA LA II –MHANDISI MAJI (WATER TECHNOLOGY) – (NAFASI 1)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto. Mhandisi huyu atafanya kazi ya kufundisha somo la Uhandisi wa Maji katika vyuo vya maendeleo ya Jamii Tanzania Bara

24.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la Uhandisi maji katika vyuo vya maendeleo ya jamii.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kujifunzia na kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa Ushauri wa kitaalam kuhusu somo la uhandisi maji.

Kutunga na kusahihisha Mitihani ya wanachuo.

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/changamoto mbaimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni.

24.2 SIFA ZA MWOMBAJI


Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha sita waliofuzu Mafunzo ya Shahada/ stashahada ya juu katika fani ya Uhandisi Maji (Water Technology) kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.

24.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.

25.0 MKUFUNZI DARAJA LA II –MHANDISI MITAMBO (METAL TECHNOLOGY) – (NAFASI 2)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto. Wahandisi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la Ufundi Mitambo katika vyuo vya maendeleo ya Jamii Tanzania Bara

25.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la ufundi mitambo katika vyuo vya Maendeleo ya Jamii.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kujifunzia na kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  ushauri wa kitaalam kuhusu somo la uhandisi maji.

Kutunga na kusahihisha Mitihani ya wanachuo.

Kufanya utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/changamoto mbaimbali

katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni

25.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha sita waliofuzu Mafunzo ya Shahada/ stashahada ya juu katika fani ya Uhandisi Mitambo (Metal Technology) kutoka katika vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.

25.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.

26.0 MKUFUNZI DARAJA LA II- UUNGA VYUMA (MECHANICAL ENGINEER)-(NAFASI 24)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto. Wahandisi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la Uungaji vyuma, computer Application na technical drawing katika vyuo vya maendeleo ya Wananchi Tanzania Bara

26.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la uungaji vyuo, computer application na Technical drawing katika vyuo vyuo vya maendeleo ya wananchi.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakaosaidia kutoa majibu kwa matatizo/changamoto mbaimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa ushauri juu ya kuboresha taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo

26.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu Mafunzo ya Shahada/ stashahada ya juu katika fani ya Uunga vyuma, ufundi bomba, computer application and technical (Mechanical Engeneering) kutoka katika vyuo vinavyotambuliwa na Serikali

26.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D/E kwa mwezi.

27.0 MKUFUNZI DARAJA LA II- MHANDISI UJENZI (CIVIL ENGINEER)-(NAFASI 25)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto. Wahandisi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la Ujenzi, computer Application na technical drawing katika vyuo (24) vya maendeleo ya Wananchi na chuo cha Maendeleo ya Jamii Missungwi

27.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la uungaji vyuo, computer application na Technical drawing katika vyuo vyuo vya maendeleo ya wananchi.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani


Kufanya Utafiti utakaosaidia kutoa majibu kwa matatizo/changamoto mbaimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa ushauri juu ya kuboresha taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo

27.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu Mafunzo ya Shahada/ stashahada ya juu katika fani ya uhandisi majengo(Civil Engeneering), Uunga vyuma, computer application and technical drawing kutoka katika vyuo vinavyotambuliwa na Serikali

27.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D/E kwa mwezi.

28.0 MKUFUNZI DARAJA LA II- COMPUTER SCIENCE (NAFASI 5)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto. Wahandisi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la computer na electronics (Computer Application) katika vyuo vya maendeleo ya WananchiTanzania Bara

28.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la computer na electronics katika vyuo vya maendeleo ya wananchi.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/hangamoto mbaimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo

28.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu Mafunzo ya Shahada/ stashahada ya juu katika fani ya computer science kutoka katika vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.

28.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.

29.0 MKUFUNZI DARAJA LA II- ELECTRICAL ENGINEER - (NAFASI 20)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Wakufunzi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la Umeme wa majumbani (Electrical installation), computer application na technical drawing katika vyuo vya maendeleo ya Jamii Tanzania Bara

29.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la umeme wa majumbani, computer application na technical drawing katika vyuo vya maendeleo ya wananchi.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/hangamoto mbaimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo

29.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu Mafunzo ya Shahada/ stashahada ya juu katika fani ya Electrical Engineering kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.

29.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.

30.0 MKUFUNZI DARAJA LA II- KILIMO (AGRICULTURAL OFFICER )- (NAFASI 10)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Wakufunzi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la kilimo (Agriculture) katika vyuo vya maendeleo ya wananchi Tanzania Bara

30.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la kilimo katika vyuo vya maendeleo ya wananchi.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/hangamoto mbalimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo

30.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu Mafunzo ya Shahada/ stashahada ya juu katika somo la kilimo kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.

30.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.

31.0 MKUFUNZI MSAIDIZI DARAJA LA II–HOME ECONOMICS/ DOMESTIC SCIENCE (NAFASI 9)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Wakufunzi wasaidizi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la ushonaji, ufumaji, kudarizi, upishi na lishe katika vyuo vya maendeleo ya wananchi Tanzania Bara

31.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha masomo ya ushonaji, ufumaji, kudarizi na upishi na lishe katika vyuo vya maendeleo ya wananchi.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/hangamoto mbalimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo

31.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu mafunzo ya stashahada ya ufundi katika fani za ushonaji, ufumaji, kudarizi, upishi na lishe kutoka vyuo vya ufundi vinanvyotambuliwa na Serikali.

31.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi.

32.0 MKUFUNZI MSAIDIZI DARAJA LA II – KILIMO - (NAFASI 8)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Wakufunzi wasaidizi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la Kilimo katika vyuo vya maendeleo ya wananchi Tanzania Bara

32.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la kilimo na mifugo katika vyuo vya maendeleo ya wananchi.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/hangamoto mbalimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo

32.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu mafunzo ya stashahada ya kilimo kutoka vyuo vya ufundi vinavyotambuliwa na Serikali.

32.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi.

33.0 MKUFUNZI MSAIDIZI DARAJA LA II – UCHORAJI NA UREMBAJI (PAINTING AND DECORATION) - (NAFASI 2)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Wakufunzi wasaidizi hawa watafanya kazi ya kufundisha masomo ya uchoraji na Urembaji katika vyuo vya maendeleo ya wananchi Tanzania Bara


33.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la uchoraji na urembaji katika vyuo vya maendeleo ya wananchi.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/changamoto mbalimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo.

33.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu mafunzo ya stashahada ya ufundi katika fani ya uchoraji na Urembaji kutoka vyuo vya ufundi vinavyotambuliwa na Serikali.

33.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi.

34.0 MKUFUNZI MSAIDIZI DARAJA LA II – USEREMALA (CARPENTRY AND JOINERY) - (NAFASI 6)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Wakufunzi wasaidizi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la useremala katika vyuo vya maendeleo ya wananchi Tanzania Bara

34.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la useremala katika vyuo vya maendeleo ya wananchi.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/hangamoto mbalimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo

34.2 SIFA ZA MWOMBAJI


Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu mafunzo ya stashahada ya ufundi katika fani ya Useremala kutoka vyuo vya ufundi inavyotambuliwa na Serikali.

34.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi.

35.0 MKUFUNZI MSAIDIZI DARAJA LA II – UFUNDI CHUMA NA MABOMBA ( WELDING AND PLUMBING) - (NAFASI 12)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Wakufunzi wasaidizi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la ufundi chuma na bomba katika vyuo vya maendeleo ya wananchi Tanzania Bara

35.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha Masomo ya uungaji vyuma na ufundi bomba katika vyuo vya maendeleo ya wananchi.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/hangamoto mbalimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo

35.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu mafunzo ya stashahada ya ufundi katika fani ya ufundi chuma na bomba kutoka vyuo vya ufundi inanvyotambuliwa na Serikali

35.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi.

36.0 MKUFUNZI MSAIDIZI DARAJA LA II – UFUNDI MAGARI (MOTOR VEHICLE MECHANICS) - (NAFASI 8)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Wakufunzi wasaidizi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la ufundi magari katika vyuo vya maendeleo ya wananchi Tanzania Bara

36.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la umakenika katika vyuo vya maendeleo ya wananchi.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/hangamoto mbalimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo

36.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu mafunzo ya stashahada ya ufundi katika fani ya ufundi magari kutoka vyuo vya ufundi inanvyotambuliwa na Serikali.

36.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi.

37.0 MKUFUNZI MSAIDIZI DARAJA LA II – UFUNDI VIATU(SHOE MAKING) - (NAFASI 2)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Wakufunzi wasaidizi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la ufundi viatu katika vyuo vya maendeleo ya wananchi Tanzania Bara

37.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundish somo la ushonaji viatu katika vyuo vya maendeleo ya wananchi.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/hangamoto mbalimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo

37.2 SIFA ZA MWOMBAJI


Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu mafunzo ya stashahada ya ufundi katika fani ya ufundi viatu kutoka vyuo vya ufundi inanvyotambuliwa na Serikali.

37.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi.

38.0 MSANIFU MAJENGO DARAJA LA II (ARCHITECT II ) - (NAFASI 2)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Wakufunzi wasaidizi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la Usanifu Majengo katika vyuo vya maendeleo ya Jamii

38.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundish somo la usanifu majengo katika vyuo vya maendeleo ya Jamii.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/hangamoto mbalimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo

38.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu mafunzo ya Shahada ya Usanifu Majengo kutoka vyuo vinanvyotambuliwa na Serikali

38.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.

39.0 MPIMA ARDHI DARAJA LA II (LAND SURVEYOR II ) - (NAFASI 2)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Wakufunzi wasaidizi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la Upimaji Ardhi katika vyuo vya maendeleo ya Jamii

39.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundish somo la usanifu majengo katika vyuo vya maendeleo ya Jamii.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/hangamoto mbalimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo

39.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu mafunzo ya Shahada ya Upimaji wa Ardhi kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali

39.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.

40.0 FUNDI  SANIFU  DARAJA  LA  II-KOMPYUTA  (TECHNICIAN  II-COMPUTER  )

NAFASI -2

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Mafundi Sanifu hawa watafanya kazi ya matengenezo madogomadogo ya kompyuta za wizara

40.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kuainisha matatizo mbalimbali ya Komputa na kushauri kuhusu matengenezo.

Kutengeneza Komputa.

Kuunganisha na kufunga Kompyuta mpya pindi zinapoletwa Wizarani

40.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu Stashahada ya Ufundi Kompyuta (Computer Engineering) kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali

40.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi.

41.0 KATIBU MUHTASI DARAJA LA III (PERSONAL SECRETARY III ) NAFASI 20

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Makatibu muhtasi hawa watafanya kazi ya kupiga chapa katika vyuo vya maendeleo ya wananchi

41.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kupokea wageni wanaofika katika ofisi ya Mkuu wa chuo

Kupiga chapa nyaraka mbalimbali za Mkuu wa Chuo


Kupiga chapa za mihtasari ya vikao vya chuo vikiwemo Bodi ya chuo, Menejimenti ya chuo, Baraza la wafanyakazi wa chuo nk.

Kupiga chapa majaribio mbalimbali na matokeo ya wanachuo.

Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Chuo

41.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu uhazili katika ngazi ya cheti (Secretarial) kutoka vyuo vya Utumishi wa Umma na vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali

41.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi

42.0 MPISHI DARAJA LA II (COOK II ) NAFASI - 5

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Wapishi hawa watafanya kazi ya kuwapikia wanachuo katika vyuo vya maendeleo ya wananchi

42.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kuandaa chakula cha wanachuo kulingana na Menyu na idadi ya wanachuo

Kupika chakula cha wanachuo

Kutoa ushauri kwa uongozi wa chuo kuhusu chakula cha wanachuo.

Kusimamia jiko.

42.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu mafunzo yacheti yasiyopungua mwaka mmoja katika fani ya food Production kutoka vyuo vinavyotambuliwa na serikali .

42.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi

43.0 MHUDUMU WA JIKONI (KITCHEN MESS ATTENDANT II) NAFASI-13

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Wahudumu hawa watapika chakula cha wanachuo chini ya usimamizi wa wapishi katika vyuo vya maendeleo ya wananchi

43.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kuandaa chakula cha wanachuo kulingana na Menyu na idadi ya wanachuo

Kupika chakula cha wanachuo

Kufanya usafi wa jiko.

Na kazi nyingine atazopangiwa na mpishi/wasimamizi wao.

43.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye cheti cha mtihani wa kitado cha nne na kufuzu mafunzo si chini ya mwaka mmoja katika fani ya Food and Beverages kutoka kwenye vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.

43.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGOS A kwa mwezi

44.0 MHUDUMU WA OFISI II (OFFICE ASSISTANT II ) NAFASI -10

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Wahudumu hawa watafanyakazi za uhudumu katika ofisi ya Mkuu wa chuo katika vyuo vya maendeleo ya wananchi

44.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufungua na kufunga milango ya ofisi

Kufanya usafi wa ofisi.

Kupeleka vifurushi na barua

Kuhudumia miradi ya mafunzo chuoni.

44.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofaulu vizuri katika masomo ya Kiingereza, Kiswahili na Hisabati.

44.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGOS A kwa mwezi

45.0 WALINZI (SECURITY GUARDS) NAFASI -20

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Walinzi hawa watafanyakazi ya kulinda chuo na mali zake mchana na usiku katika vyuo vya maendeleo ya wananchi

45.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kulinda chuo na mali zake.

Kukagua mizigo inayoingia na kutoka ndani ya eneo la chuo.

Kutoa taarifa za usalama wa chuo kwa uongozi wa chuo kwa kufuata miongozo, kanuni na taratibu zilizopo chuoni.

Kutoa mapendekezo ya namna ya kuimarisha usalama wa chuo na mali zake kwa uongozi wa chuo.

45.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu mafunzo ya mgambo.

45.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGOS A kwa mwezi

46.0 AFISA ELIMU MSAIDIZI DARAJA LA III (ASSISTANT EDUCATION OFFICER

GRADE III) – (NAFASI 10)

Nafasi hzi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto.Walimu hawa watafundisha masomo katika moja wapo ya fani zifuatazo: Ujenzi (civil engineering),Useremala (Carpentry and Joinary),Uungaji vyuma (Welding and Metal fabrication) katika vyuo vya Maendeleo ya Wananchi vilivyopo katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

46.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha masomo ya Ujenzi, Useremala na Uungaji vyuma katika vyuo vya Maendeleo ya Wananchi.

Kuandaa maazimio ya kazi, maandalio ya masomo, zana za kufundishia /kujifunzia, mazoezi ya wanafunzi na majaribio.

Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani kwa lengo la kutathmini maendeleo ya wanachuo.

Kuandaa mazoezi ya kazi kwa wanachuo na kusahihisha.

Kuandaa taarifa za kitaaluma na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya wanachuo na kuwasilisha katika mamlaka husika.

Kufanya tafiti mbalimbali za kielimu.

Kushika zamu na kutoa taarifa kwa uongozi wa chuo.

Kutunza na kudhibiti matumizi ya vifaa katika sehemu aliyokabidhiwa.

Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa ngazi za juu kuhusu masuala mbalimbali kulingana na majukumu aliyopewa.

Kutoa ushauri nasaha na kuwalea wanachuo kwa kuwaandaa kiakili,kimwili,kitabia na kimwenendo ili waweze kujua wajibu wao kwa jamii

Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Chuo

46.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Stashahada ya Ualimu na Ufundi katika fani zifuatazo: Ujenzi (civil engineering),Useremala (Carpentry and Joinary),Uungaji vyuma (Welding and Metal fabrication) kutoka vinavyotambuliwa na Serikali.

Awe na ujuzi wa kutumia kompyuta

46.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGTS C kwa mwezi.

47.0 AFISA ELIMU MSAIDIZI DARAJA LA III (ASSISTANT EDUCATION OFFICER


GRADE III) – (NAFASI 10)

Nafasi hzi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto.Walimu hawa watafundisha masomo katika moja wapo ya kozi zifuatazo: Upishi


(cookery),Ushonaji (Tailoring),Sayansi Kimu (Domestic Science) katika vyuo vya Maendeleo ya Wananchi vilivyopo katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

47.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha masomo ya Upishi, Ushonaji na Sayansi Kimu katika vyuo vya Maendeleo ya Wananchi.

Kuandaa maazimio ya kazi, maandalio ya masomo, zana za kufundishia /kujifunzia, mazoezi ya wanafunzi na majaribio.

Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani kwa lengo la kutathmini maendeleo ya wanachuo.

Kuandaa mazoezi ya kazi kwa wanachuo na kusahihisha.

Kuandaa taarifa za kitaaluma na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya wanachuo na kuwasilisha katika mamlaka husika.

Kufanya tafiti mbalimbali za kielimu.

Kushika zamu na kutoa taarifa kwa uongozi wa chuo.

Kutunza na kudhibiti matumizi ya vifaa katika sehemu aliyokabidhiwa.

Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa ngazi za juu kuhusu masuala mbalimbali kulingana na majukumu aliyopewa.

Kutoa ushauri nasaha na kuwalea wanachuo kwa kuwaandaa kiakili,kimwili,kitabia na kimwenendo ili waweze kujua wajibu wao kwa jamii

Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Chuo

47.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Stashahada ya Ualimu katika masomo ya Upishi, Ushonaji na Sayansi Kimu kutoka vinavyotambuliwa na Serikali.

Awe na ujuzi wa kutumia kompyuta

47.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGTS C kwa mwezi.

48.0 AFISA ELIMU MSAIDIZI DARAJA LA III (ASSISTANT EDUCATION OFFICER GRADE III) – (NAFASI 11)

Nafasi hzi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto.Walimu hawa watafundisha masomo katika moja wapo ya fani zifuatazo: Umeme wa majumbani (Electrical Installation),Umakenika (Motor Vehicle Mechanics),Ufundi Kompyuta (Computer Technician),Electronics (Fundi radio,simu, TV nk) katika vyuo vya Maendeleo ya Wananchi vilivyopo katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

48.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha masomo ya Umeme wa majumbani, Umakenika, Ufundi Kompyuta na Electronics katika vyuo vya Maendeleo ya Wananchi.


Kuandaa maazimio ya kazi, maandalio ya masomo, zana za kufundishia /kujifunzia, mazoezi ya wanafunzi na majaribio.

Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani kwa lengo la kutathmini maendeleo ya wanachuo.

Kuandaa mazoezi ya kazi kwa wanachuo na kusahihisha.

Kuandaa taarifa za kitaaluma na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya wanachuo na kuwasilisha katika mamlaka husika.

Kufanya tafiti mbalimbali za kielimu.

Kushika zamu na kutoa taarifa kwa uongozi wa chuo.

Kutunza na kudhibiti matumizi ya vifaa katika sehemu aliyokabidhiwa.

Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa ngazi za juu kuhusu masuala mbalimbali kulingana na majukumu aliyopewa.

Kutoa ushauri nasaha na kuwalea wanachuo kwa kuwaandaa kiakili,kimwili,kitabia na kimwenendo ili waweze kujua wajibu wao kwa jamii

Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Chuo

48.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Stashahada ya Ualimu na Ufundi katika fani za Umeme wa majumbani, Mechanics, Komputa na electronic kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.

Awe na ujuzi wa kutumia kompyuta

48.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGTS C kwa mwezi.

49.0 AFISA  MAENDELEO  YA  JAMII  MSAIDIZI  II  (ASSISTANT  COMMUNITY

DEVELOPMENT OFFICER GRADE II) – NAFASI 20

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Mamlaka za Serikali za Mitaa

49.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kuratibu shughuli zote za maendeleo ya jamii katika Kijiji zikiwemo za wanawake na watoto na zikizingatia jinsia.

Kuwezesha jamii kushiriki katika kubuni, kupanga, kutekeleza, kusimamia, kutathmini mipango/miradi ya maendeleo.

Kuhamasisha na kuwawezesha wanachi kupanga na kutekeleza kazi za maendeleo ambazo ni pamoja na usafi wa mazingira, ujenzi wa nyumba bora vijijini, ujenzi wa shule, zahanati, majosho, barabara za vijijini (Feeder Roads), uchimbaji wa visima vifupi na uchimbaji wa marambo.

Kuhamasisha na kuwawezesha wananchi kupanga mbinu za kutatua vikwazo vya maendeleo hasa vya maji na nishati kwa kuwa na miradi ya uvunaji wa maji ya mvua, majiko sanifu na matumizi ya mikokoteni.

Kutoa na kuwezesha upatikanaji wa mafunzo kwa viongozi wa kijiji na vikundi mbalimbali vya maendeleo kijijini kuhusu:-

- Utawala bora na Uongozi
- Ujasiriamali
- Mbinu shirikishi jamii na kazi za kujitegemea
- Chakula bora na lishe
- Utunzani na malezi bora ya watoto

Kuwa kiungo kati ya wanakijiji (Afisa Mtendaji wa Kata) na watumishi wengine wa Serikali katika kutekeleza shughuli za maendeleo.
Kuwawezesha wananchi kupanga na kutekeleza kazi za kujitegemea

Kuwawezesha wananchi kubaini na kuratibu rasilimali zilizopo na kuzitumia katika miradi ya kujitegemea

Kukusanya, kutunza, kutafsiri na kuwasaidia wananchi kutumia takwimu na kumbukumbu mbalimbali za kijiji.

Kuwawezesha viongozi wa vijiji kutumia mbinu shirikishi jamii kuandaa ratiba za kazi na mipango ya utekelezaji.

Kuandaa na kutoa taarifa za kazi za maendeleo ya jamii kila mwezi kwa uongozi wa kijiji na kwa Afisa Maendeleo ya Jamii ngazi ya kata.

Kuhamasisha na kuwezesha jamii kuona umuhimu wa kuthamini mazingira kwa kutumia mazingira kwa njia endelevu na hasa kulinda na kuhifadhi vyanzo vya maji kwa matumizi ya vizazi vya sasa na vya baadae

Kusaidia kuunda vikundi vya kijamii na vya kimaendeleo
Kuratibu shughuli za Mashirika na Asasi zisizo za Kiserikali na za kijamii
Kuratibu shughuli za kupambana na UKIMWI


49.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha IV/VI wenye Stashahada ya Maendeleo ya Jamii kutoka Vyuo vya Maendeleo ya Jamii (Buhare au Rungemba) au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.

MSHAHARA

Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.C kwa mwezi.

50.0 KATIBU MAHSUSI DARAJA LA III (PERSONAL SECRETARY GRADE III) –

NAFASI 2

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi.

50.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida.

Kusaidia kupokea wageni na kuwasaili shida zao, na kuwaelekeza sehemu wanapoweza kushughulikiwa.

Kusaidia kutunza taarifa/kumbukumbu za matukio, miadi, wageni, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba ya kazi zingine zilizopangwa wakati unaohitajika.

Kusaidia kutafuta na kumpatia Mkuu wake majadala, nyaraka au kitu chochote kinachohitajika katika shughuli za kazi hapo ofisini.


Kusaidia kufikisha maelekezo ya Mkuu wake wa kazi kwa wasaidizi wake na pia kumuarifu kuhusu taarifa zozote anazokuwa amepewa na wasaidizi hao.

Kusaidia kupokea majalada, kuyagawa kwa Maofisa walio katika sehemu alipo, na kuyakusanya, kuyatunza na kuyarudisha sehemu zinazohusika.

Kutekeleza kazi zozote atakazokuwa amepangiwa na Msimamizi wake wa kazi.

50.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha IV waliohudhuria Mafunzo ya Uhazili na kufaulu mtihani wa Hatua ya Tatu. Wawe wamefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno 80 kwa dakika moja na wawe wamepata mafunzo ya Kompyuta kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali na kupata cheti katika programu za Window, Microstoft Office, Internet, E-mail na Publisher.

50.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS B kwa mwezi.

51.1 DEREVA DARAJA LA II (DRIVER II) – NAFASI 3

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi.

51.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kuendesha magari ya abiria, magari madogo na malori

Kuhakikisha gari na vyombo vyake vipo katika hali nzuri wakati wote, na kufanya uchunguzi wa gari kabla na baada ya safari ili kugundua ubovu unaohitaji matengenezo,

Kufanya matengenezo madogo madogo katika gari,

Kutunza na kuandika daftari la safari “Log-book” kwa safari zote.

51.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Cheti cha Mtihani wa Kidato cha IV, Wenye Leseni daraja la “C” ya uendeshaji pamoja na uzoefu wa kuendesha magari kwa muda usiopungua miaka mitatu bila kusababisha ajali na wenye Cheti cha Majaribio ya ufundi Daraja la II.

51.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya Mshahara TGOS.A kwa mwezi.

52.1 WAHUDUMU MIFUGO (LIVESTOCK ATTENDANTS) – NAFASI 3

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi.

52.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kuchunga na kulisha mifugo
Kujenga/ kukarabati uzio wa shamba la ‘padock’
Kufanya usafi wa vifaa, kutunza na kuhudumia wanyama wadogo wa maabara,

Kutunza wanyama kwa ajili ya majaribio na utafiti,
Kuogesha mifugo (dipping/spraying),
Kukamua mifugo na kusambaza maziwa sehemu husika,
Kutambua na kuandaa majike yanayohitaji kupandishwa,
Kuwamba ngozi (Hides/skin dressing),

Kufanya usafi kwenye miundombinu ya mifugo ikiwemo, machinjio, vituo vya karantini, vituo vya kupumzikia (Holding Grounds), minada, vituo vya kutolea na kuandaa mifugo inayokaribia kuchinjwa,

Kuandaa vifaa kwa ajili ya tiba na wakati wa kufanya uchunguzi wa mizoga ya wanyama (postmortem) usafi na kuchemsha vifaa (Equipment sterilization),

Kutoa taarifa mbalimbali za mifugo kuhusiana na vizazi, vifo, chakula, uzalishaji wa maziwa na utagaji mayai kwa msimamizi wa kazi, na

Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na msimamizi wake wa kazi zinazohusiana na fani yake.

52.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha IV ambao wamepata mafunzo ya mifugo ya muda wa mwaka mmoja na kutunukiwa Astashahada (certificate) kutoka vyuo vya maendeleo ya Wananchi (FDCs) au Vyuo vinavyotambuliwa na Mamlaka ya Elimu ya Ufundi Stadi (VETA).

52.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGOS A Kwa mwezi.

53.1 MKUFUNZI WA MIFUGO MSAIDIZI (ASSISTANT LIVESTOCK TUTOR) – NAFASI 1

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi.

53.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kuandaa mtiririko (Lesson Plan) wa masomo

Kufundisha kozi ya astashahada ya mifugo na wafugaji.

Kusimamia masomo ya vitendo chini ya usimamizi wa Mkufunzi Mkuu wa somo

Kuandaa na kupanga vifaa kwa ajili ya somo la vitendo

Kuwapima wanachuo wakati wa mazoezi ya somo la vitendo

Anaweza kuteuliwa kuwa Mkuu wa Kitengo (dairy, poultry, maabara, museum, nk).

Kufanya kazi nyingine kadri atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi.

53.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha sita (VI) waliofuzu mafunzo ya Stashahada ya mifugo kutoka MATI/LITI au chuo kingine chochote kinachotambuliwa na Serikali.

53.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS C kwa mwezi

54.0 AFISA MIFUGO DARAJA LA II (LIVESTOCK OFFICER II) – NAFASI 4

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi na Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

54.1 MAJUKUMU YA KAZI

Atabuni mipango ya uzalishaji mifugo wilayani.

Ataratibu uzalishaji wa mifugo katika mashamba makubwa ya mifugo.

Atasaidia kuratibu mipango ya ugani kuhusiana na uzalishaji wa mifugo wilayani.

Ataratibu na kuendesha mafunzo ya ufugaji bora, usindikaji wa mazao ya mifugo kwa wataam wa mifugo na wafugaji.

Atafanya mapitio na marekebisho ya miundo ya masoko ya mifugo wilayani kwake na mkoani.

Atabuni, kuanzisha na kutekeleza miradi ya maendeleo ya mifugo wilayani.

Atafanya soroveya ya rasilimali (resource survey) kama vile mifugo, vyakula vya mifugo, malisho n.k. katika eneo lake la kazi.

Ataendesha mafunzo kwa Mawakala, wauzaji na wataalam juu ya njia salama katika kuweka na kusambaza pembejeo za mifugo.

Atatafiti maeneo mapya yanayofaa kwa ufugaji wa mifugo mbalimbali

Atafanya utafiti juu ya uharibifu wa mazingira katika wilaya.

Atashiriki katika shughuli za kudhibiti milipuko ya wanyama/viumbe waharibifu wa malisho.

Ataandaa taarifa ya jumla juu ya maendeleo ya mifugo.

Atafuatilia, kuweka, kuchambua na kutafsiri takwimu za uzalishaji wa mifugo.

Atafanya kazi nyingine zinazohusiana na fani yake kama atakavyoelekezwa na mkuu wake wa kazi.

54.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza (bachelor degree) ya sayansi ya Mifugo (Animal Science) kutoka Chuo Kikuu kinachotambuliwa na Serikali au sifa inayolingana nayo.

54.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS D kwa mwezi

55.0 MLINZI (SECURITY GUARD) – NAFASI 3

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi.

55.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kuhakikisha kwamba mali yoyote ya ofisi inayotolewa langoni (nje ya ofisi) ina hati ya idhini.

Kuhahikisha kuwa mali yote inayoingizwa langoni inazo hati za uhalali wake.

Kulinda usalama wa majengo, ofisi na mali za ofisi mchana na usiku.

Kuhakikisha kwamba milango na madirisha yote yamefungwa ipasavyo mwisho wa saa za kazi.


Kuhakikisha kwamba wageni wote wanaoingia katika eneo la ofisi wana idhini ya kufanya hivyo.

Kupambana na majanga yoyote yatakayotokea katika sehemu ya kazi kama vile, moto, mafuriko n.k na kutoa taarifa katika vyombo vinavyohusika kama vile, moto, mafuriko n.k na kutoa taarifa katika vyombo vinavyohusika.

Kutoa ushauri wa jinsi ya kuboresha huduma ya ulinzi mahali pa kazi.

55.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne waliofuzu mafunzo ya mgambo/polisi/JKT au Mafunzo ya Zimamoto kutoka katika chuo kinachotambuliwa na Serikali.

55.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya mshahara TGOS.A kwa mwezi.

56.0 AFISA BIASHARA DARAJA LA II (TRADE OFFICER GRADE II) – NAFASI 5

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Mamlaka za Serikali za Mitaa

56.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kuwasiliana na Wizara nyingine ambazo zinafanya biashara, kupata takwimu ambazo zitatumika katika kutathimini mwenendo wa biashara na masuala mengine ya kibiashara.

Kusambaza taarifa za kibiashara kwa wafanyabiashara.

Kutathmini mwenendo wa biashara kwa kuangalia hali ya masoko katika nchi mbalimbali ambazo bidhaa zetu zinauzwa.

Kuandaa grafu na “chart” ambazo zinaonyesha, mwenendo wa bidhaa zinazoingizwa nchini na zile ziendazo nje kwa kila nchi ambazo hufanya biashara na Tanzania.

56.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa mwenye Shahada/Stashahada ya Juu ya Biashara waliojiimarisha katika fani ya Uchumi, Masoko, Uendeshaji Biashara au inayolingana nayo kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salam au chuo kingine chochote kinachotambuliwa na Serikali.

56.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.

57.0 MPISHI DARAJA LA II (COOK GRADE II) – NAFASI 3

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Mamlaka za Serikali za Mitaa

57.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kusafisha jiko

Kupika chakula cha kawaida

57.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha IV waliofuzu mafunzo ya cheti yasiyopungua mwaka mmoja katika fani ya ‘Food Production’ yanayotolewa na Vyuo vya

Forodhani (Dar es Salaam), Masoka (Moshi), Arusha Hotel, Y.M.C.A (Moshi), VETA (Mikumi) na Vision Hotel (Dar es Salaam) au vyeti vingine vitakavyotambuliwa na Serikali na wenye uzoefu wa kazi kwa muda usiopunguja miaka (5) mitatu.

57.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi

58.0 MFUGAJI NYUKI MSAIDIZI – (NAFASI 2)

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Mamlaka za Serikali za Mitaa

58.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kusimamia manzuki.

Kutunza hifadhi za nyuki.

Kukusanya takwimu za ufugaji nyuki.

Kutunza kumbukumbu za kazi za utafiti.

Kuondoa nyuki wanaodhuru binadamu na mifugo.

Kutoa leseni za biashara ya mazao ya nyuki.

Kutoa ushauri wa kitaalam kwa wananchi juu ya ufugaji endelevu wa nyuki na matumizi bora ya mazao ya nyuki.

Kutunza makundi ya nyuki wanaouma na wasiouma.

58.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne au Sita wenye Astashahada (Cheti) au Stashahada (Diploma) ya Ufugaji Nyuki kutoka katika vyyuo vinavyotambuliwa na Serikali.

58.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS B Tsh: 151,240/= na kuendelea hadi 190,030/=kwa mwezi na TGS C Tsh: 201,870/= na kuendelea hadi Tsh: 250,930/= kwa mwezi.

59.1 FUNDI SANIFU DARAJA LA II (UMWAGILIAJI) – NAFASI 20

59.1 MAJUKUMU YA KAZI

59.2 FANI YA KILIMO

Kutoa ushauri kwa wakulima kuhusu matumizi bora ya zana za kilimo kwa vitendo,

Kuwafundisha wakulima kutengeneza na kufanya matengenezo ya zana za kilimo,
Kuendeleza kilimo cha zana,
Kukusanya na kutunza takwimu za zana za kilimo,
Kukusanya na kutunza takwimu za kilimo cha umwagiliaji,
Kusaidia katika ujenzi wa mifereji ya umwagiliaji,
Kushiriki katika savei kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji,
Kushiriki katika ujenzi wa malambo madogo

59.3 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Sita (VI) waliofuzu Mafunzo ya miaka miwili (2) ya stashahada (Diploma) ya ufundi sanifu Umwagiliaji maji.
Mafunzo ya Taasisi za ufundi (VETA)
Au sifa zinazolingana na hizo kutoka kaitka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.

59.4 MSHAHARA

Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS C Kwa mwezi.

TANGAZO LA KAZI - WAKALA WA VIPIMO - JAN 2015 TANGAZO LA KAZI - WAKALA WA VIPIMO - JAN 2015 Reviewed by Unknown on 3:49:00 AM Rating: 5

JOBS CATEGORY

Tanzania Kenya NGO JOBS Uganda Best Jobs Consultancy Rwanda ICT JOBS Administrative United Nations Sudan Best Jobs Finance Health - Medical Engineering Ethiopia Education Agricultural Lecturer Human Resources Somalia Media Congo - Kinshasa Legal Jobs Bank Jobs Monitoring and Evaluation Mining World Vision Burundi Procurement African Barrick Gold Accountant Zambia Sales and Marketing US EMBASSY East African Community Mozambique Telecoms Research CARE International Save The Children Plan International Arusha Malawi South Sudan Oxfam Scholarships African Development Bank Finance and Administration SafariCom Aviation The Commonwealth American Embassy Sales Zanzibar Environmental Catholic Relief Services Dar es salaam USAID Operations FHI 360 UNDP Security World Bank Economist TradeMark East Africa Unicef Hospitality Managers International Rescue Committee (IRC) Restless Development Accounting Civil Engineers AMREF Morogoro Utumishi AfDB African Development Bank COOPI - Cooperazione Internazionale Driver - Logistics Path International Mwanza African Union Tigo Jobs Marketing Mbeya Teaching Au African Union PSI Population Services International Pwc PricewaterhouseCoopers East African Breweries North Mara Gold Mine ACTED Djibouti Malaria Consortium Bulyanhulu Gold Mine DFID Driver Buzwagi Gold Mine Jhpiego COMESA FINCA JOBS International Jobs Adeso Danish Refugee Council Kilimanjaro Nairobi Coca-Cola Handicap International Pact International Rio Tinto Solidarités International Tender EGPAF Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation Logistics Serengeti Breweries Ltd Nation Media Group Africare Norwegian Refugee Council Samaritan's Purse Chemonics International COUNTRY DIRECTOR ICAP of Columbia University InterShips Precision Air RwandAir Marie Stopes International (MSI) Serengeti Breweries Volunteer Climate Change IGAD Tetra Tech ARD Agriculture Jobs Dodoma Iringa One Acre Fund Project Management Clinton Health Access Initiative (CHAI Technoserve Twaweza East Africa ActionAid Lutheran World Federation SADC Secretariat Tanga Vso International ACDI/VOCA Halmashauri Agha Khan Kenya Commercial Bank World Agroforestry Centre Deloitte East Africa International Organization for Migration (IOM) COMESA Secretariat: Software Engineering Safety and Security Shinyanga Jobs Tanzania Breweries Pathfinder International World Health Organization KPMG TANROADS Tanzania Electric Supply Company British Council Futures Group KCB BANK UN-Habitat WFP World Food Programme Barclays GEITA GOLD MINING TANESCO Electrical Engineer Food and Agriculture Organization GOAL Mombasa Tabora WWF World Wide Fund for Nature Microsoft Tanzania Ports Authority East African Development Bank Family Health International (FHI) IBM EAST AFRICA IntraHealth International Mercy Corps SERIKALINI - GOVERNMENT OF TANZANIA AccessBank Community Development Jobs Data Base Management Google Africa ICAP - TZ KEMRI/CDC Program WaterAid Tanzania Auditor SNV International Stanbic Bank Amnesty Horn Relief Kampala Management Systems International (MSI) Standard Chartered Bank VETA Christian Aid DIAMOND TRUST BANK Helen Keller International Help Age Mtwara Uganda Telecom Airtel Africa Equity Bank Internships Marie Stopes TCRA Web Development B B C WORLD SERVICE Human Rights Kigali Makerere University Nile Basin Initiative Kenyatta University Kigoma Mzumbe University NSSF National Social Security Fund Nile Breweries Limited Tulawaka Gold Mine University of Nairobi kenya Airways Bank of Tanzania Graduates MTN Muhimbili National Hospital Nepad Partners in Health Room to Read SUMATRA UNWOMEN African Wildlife foundation (AWF) KEMRI Kagera Librarian MENTOR Initiative Trainee USAILI - INTERVIEW Uiversity of Nairobi WaterAid International icipe Project CAFOD - Catholic Agency for Overseas Development Egerton University EngenderHealth Goal Ireland Kenyan Banks Lake Victoria Basin Commission Peace Corps TANAPA TASAF Tanzania Social Action Fund Zanzibar University ACB AKIBA COMMERCIAL BANK AGRA Alliance for a Green Revolution in Africa Advans Bank Ethiopian Airlines Freedom House IITA International Institute of Tropical Agriculture Legal Moshi NMB BANK Resolute Tanzania Singida Uganda Uganda National Roads Authority University of Dar es salaam University of Dodoma British High Commission ChildFund EWURA FilmAid International NECTA TPDC Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) United States International University World Concern Aga Khan Foundation CBA Commercial Bank of Africa Ecomist Ernst and Young IUCN International Union for Conservation of Nature International Medical Corps Islamic Relief Kakira Sugar Musoma National Institute for Medical Research OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA Relief International TAA Tanzania Airports Authority Trócaire Uganda Revenue Authority VODACOM TANZANIA VSF Belgium Architects Hivos IFC International Finance Corporation Ifakara Health Institute Inoorero University International Commercial Bank Kenya Red Cross Society MADEREVA Medical Oil and Gas Pwani University College SOKOINE UNIVERSITY Tumaini University Water Engineering AWF African Wildlife Foundation Acacia Mining Accounts African Virtual University Altima Africa Ardhi University Bank of Uganda Business Development Concultancy Del Monte Kenya Embassies Kenya Airports Authority Lake Victoria South Water Services Board Mara National Bank of Commerce RECORDS MANAGEMENT JOBS RUKWA Ruvuma Search for Common Ground Songea TTCL Tanzania Telecommunications Company Limited Unilever War Child International Zinduka Afrika ACORD AKU ​Aga Khan University Africa Nazarene University Africa Rice Center (AfricaRice) Aga Khan Health Services CRDB BANK Commercial Bank of Africa Daraja Tanzania Engineers Registration Board (ERB) Fina Bank International Potato Center International Potato Center (CIP) Intrahealth Jomo Kenyatta University Kilimanjaro Christian Medical Centre Kyambogo University Lindi Jobs MCL Mwananchi Communications MUHAS-harvad Moi University NBC BANK National University of Rwanda Ngorongoro Conservation Area Authority Njombe Nuru International Nzoia sugar Company RTI International SUA SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE THE LAW SCHOOL OF TANZANIA TRA Tanzania Revenue Authority Tanzania Postal Bank The Foundation For Civil Society Udhamini wa Masomo Western Union AIR TANZANIA Action Against Hunger (ACF) Agricultural Society of Kenya BRALIRWA Bondo University College Caritas Comoros Concern Worldwide Conservation Jobs Consolidated Bank of Kenya DHL Express Ewaso Ngiro South River Basin Development Authority Geologist Gulf African Bank INSTITUTE OF ADULT EDUCATION Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology Kabale University Kabale University (KAB) Kenya Ports Authority KickStart International MORUWASA Morogoro Urban Water and Sanitation Authority MSH Management Sciences for Health Mumias Sugar Company Nairobi Hospital Nkumba University Rural Electrification Agency SOKINE UNIVERSITY SONGWE STAMIGOLD Stores TACAIDS TARURA TCU Tanzania Commission for Universities Tullow Oil World Lung Foundation (WLF) ALAF Limited Aga Khan Development Network (AKDN) Aga Khan Hospital Air Malawi American Refuge Committee BENKI YA POSTA - TPB BANK BTC Belgian Technical Cooperation Bhttp://www.blogger.com/img/blank.gifank of Tanzania Bioversity International CHF International Customer Service Jobs DANGOTE DIT DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY Danida Dar es Salaam Institute of Technology Daystar University ECOBANK ETDCO Electrical Transmission and Distribution Construction and Maintenance Company European Union IFM INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT INSURANCE JOBS - BIMA ITECH Internews® Network KUITWA KAZINI Kenya Accreditation Service Kenya Polytechnic University College Kilombero Sugar Company Kisii University College Kisumu Laboratory Jobs MSD MEDICAL STORES DEPARTMENT MSF Switzerland Management Sciences for Health Manyara Maseno University Ministry of State for Planning Muteesa 1 Royal University Médecins Sans Frontières NIDA National Identification Authority Narok University College OSHA Occupational safety and Health Authority Open Society Initiative for Eastern Africa (OSIEA) PA PAC PEPSI POLICE - POLISI Petroleum EngineerS RWANDA HOUSING AUTHORITY Seychelles Songas TBC TANZANIA BROADCASTING CORPORATION TBS TANZANIA BUREAU OF STANDARDS TFDA TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY TIB - Tanzania Investment Bank Tanzania Mortagage Refinance Company Tanzania Teachers’ Union Transmara Sugar Company Tropical Pesticides Research Institute Tumba College of Technology Twiga Cement UNESCO UNOCHA Umma University University WRP Walter Reed Project ZANTEL ao uga
Powered by Blogger.