NAFASI ZA KAZI UTUMISHI - Mwisho 17 Februari, 2016


Kumb. Na EA.7/96/01/H/102 03 Februari, 2016

Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1). Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki, pamoja na kazi zingine kimepewa jukumu la kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Waajiri (Taasisi za Umma).

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma anakaribisha maombi ya Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 632 kwa ajili ya Wizara, Taasisi zinazojitegemea na mamlaka za Serikali za Mitaa.

1.0 AFISA MIFUGO DARAJA LA II (LIVE STOCK OFFICER II) – NAFASI 4
1.1 MAJUKUMU YA KAZI
Atabuni mipango ya uzalishaji mifugo wilayani.

Ataratibu uzalishaji wa mifugo katika mashamba makubwa ya mifugo.

Atasaidia kuratibu mipango ya ugani kuhusiana na uzalishaji wa mifugo wilayani.

Ataratibu na kuendesha mafunzo ya ufugaji bora, usindikaji wa mazao ya mifugo kwa wataam wa mifugo na wafugaji.

Atafanya mapitio na marekebisho ya miundo ya masoko ya mifugo wilayani kwake na mkoani.

Atabuni, kuanzisha na kutekeleza miradi ya maendeleo ya mifugo wilayani.

Atafanya soroveya ya rasilimali (resource survey) kama vile mifugo, vyakula vya mifugo, malisho n.k. katika eneo lake la kazi.

Ataendesha mafunzo kwa Mawakala, wauzaji na wataalam juu ya njia salama katika kuweka na kusambaza pembejeo za mifugo.

Atatafiti maeneo mapya yanayofaa kwa ufugaji wa mifugo mbalimbali

Atafanya utafiti juu ya uharibifu wa mazingira katika wilaya.

Atashiriki katika shughuli za kudhibiti milipuko ya wanyama/viumbe waharibifu wa malisho.

Ataandaa taarifa ya jumla juu ya maendeleo ya mifugo.

Atafuatilia, kuweka, kuchambua na kutafsiri takwimu za uzalishaji wa mifugo.

Atafanya kazi nyingine zinazohusiana na fani yake kama atakavyoelekezwa na mkuu wake wa kazi.

1.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza (bachelor degree) ya sayansi ya Mifugo

(Animal Science) kutoka Chuo Kikuu kinachotambuliwa na Serikali au sifa inayolingana nayo.

1.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS D kwa mwezi

2.0 MTEKNOLIJIA WA SAMAKI DARAJA LA II (FISH TECHNOLOGISTS II) – NAFASI 1

2.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kutoa ushauri juu ya utayarishaji, utengenezaji, ukaushaji na uhifadhi wa samaki na mazao yatokanayo na uvuvi.

Kusimamia kushauri juu ya kanuni za uthibiti ubora wa Samaki na mazao yake

Kutoa ushauri juu ya matumizi mbalimbali ya samaki kama chakula bora katika Viwanda na maeneo mengine.

Kudhibiti ubora wa samaki katika mialo.

Kudhibiti usafi katika maeneo ya kupokelea samaki.

Kukagua nyaraka mbalimbali zinazotakiwa kutunzwa melini na viwandani.

2.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza  (bachelor degree) ya  Sayansi ya Chakula

(Food Science and Nutrition, Food Technology, Microbiology) kutoka vyuo vikuu vinavyotambuliwa na Serikali.

3

2.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS D kwa mwezi


3.0 DAKTARI WA MIFUGO DARAJA LA II (VETERINARY OFFICERS) – NAFASi 12
3.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kutoa huduma za afya ya mifugo

Kufanya uchunguzi wa magonjwa ya mifugo katika eneo au sehemu alipo.

Kutayarisha na kusimamia mipango ya kuzuia, kudhibiti na kutokomeza magonjwa ya mifugo katika eneo lake.

Kushiriki katika uchunguzi wa magonjwa ya wanyama pori katika eneo lake.

3.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa  wenye Shahada ya kwanza  (bachelor degree)   ya Tiba ya Mifugo

kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali na wawe wamesajiliwa na Bodi ya Madaktari wa Mifugo nchini.

3.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS E kwa mwezi



4.0 AFISA UTAFITI MIFUGO DARAJA LA II (LIVESTOCK RESEARCH OFFICER II) – NAFASI 3

4.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kujifunza kumudu mbinu na taratibu za utafiti wa mifugo/ndorobo

Kufanya utafiti chini ya usimamizi wa Afisa Utafiti Mwandamizi.

Kuandika na Kuweka kumbukumbu za utafiti.

Kusaidia kuendesha semina na maonyesho ya ufugaji bora.

Kuandaa mapendekezo ya utafiti (Research Proposals) kwa kushirikiana na Afisa Utafiti Mifugo anayesimamia.

Kufanya kazi zozote kama atakavyoelekezwa na mkuu wake wa kazi.



4.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza (bachelor degree) ya Sayansi ya Mifugo

kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.

4.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS D kwa mwezi





4


5.0 DAKTARI UTAFITI MIFUGO DARAJA LA II (VETERINARY RESEARCH OFFICER II) – NAFASI 5

5.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kujifunza na kumudu mbinu na taratibu za utafiti wa afya na maradhi ya mifugo

Kuweka kumbukumbu za utafiti

Kusaidia kuendesha semina na maonyesho ya ufugaji bora.

Kuandaa  mapendekezo  ya  utafiti  (“research  proposal”)  kwa  kushirikiana  na

Daktari Utafiti Mifugo anayemsimamia.

Kufanya utafiti chini ya usimamizi wa Daktari Utafiti Mwandamizi

Kukusanya na kuchambua takwimu za utafiti unaoendelea.

Kuchapisha taarifa na makala za utafiti

Kuendesha semina na maonyesho ya ufugaji bora.

5.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza (bachelor degree) katika fani ya Sayansi ya

Tiba ya Mifugo (Veterinary Science) kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo au chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali. Wawe wamesajiliwa na Bodi ya Madaktari wa Mifugo nchini.

5.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS E  kwa mwezi



6.0 FUNDI SANIFU MAABARA MIFUGO DARAJA LA II (VETERINARY LABORATORY TECHNICIAN II) – NAFASI 8

6.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kwa kushirikiana na Afisa Mifugo Msaidizi, atafanya uchunguzi wa magonjwa ya mifugo katika eneo lake.

Atakusanya sampuli kwa ajili ya uchunguzi wa maabara.

Kuwasaidia wataalam kuanda vifaa vya uchunguzi

Kutunza Usafi wa Maabara na vyombo vilivyomo.

Kutunza takwimu za uchunguzi

Atafanya kazi zingine zozote kama atavyopangiwa na mkubwa wake wa kazi

6.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha sita (VI) waliofuzu mafunzo ya miaka miwili (2)

ya Stashahada katika fani ya Fundi Sanifu Maabara (Mifugo) kutoka Chuo cha Mifugo (LITI), au chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.

6.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS C kwa mwezi
5



7.0 MKUFUNZI MIFUGO DARAJA II (LIVESTOCK TUTOR II) – NAFASI 8
7.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kutafsiri mihutasari ya mafunzo kwenye masomo.

Kuandaa mtiririko wa kila somo (Lesson Plan) kwa upande wa nadharia na vitendo.

Kufundisha kozi za stashahada na astashahada kwa upande wa nadharia na vitendo.

Kuandaa na kupanga somo la vitendo na kusimamia wanachuo wakati wa kujifunza.

Kupima maendeleo ya wanachuo kwenye mitihani kwa kipindi chote kinachohusika na kutunza alama zao.

Kupima maendelo ya wanachuo kwa kushirikiana na maofisa mifugo wa wilaya, viwandani wakati wa mafunzo kwa vitendo.

Kufanya kazinyingine zozote za fani yake atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi.

7.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza (bachelor degree) ya Sayansi ya Mifugo kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo au chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.

7.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS D kwa mwezi

8.0 MKUFUNZI WA MIFUGO MSAIDIZI (ASSISTANT LIVESTOCK TUTOR) – NAFASI 7

8.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kuandaa mtiririko (Lesson Plan) wa masomo

Kufundisha kozi ya astashahada ya mifugo na wafugaji.

Kusimamia masomo ya vitendo chini ya usimamizi wa Mkufunzi Mkuu wa somo

Kuandaa na kupanga vifaa kwa ajili ya somo la vitendo

Kuwapima wanachuo wakati wa mazoezi ya somo la vitendo

Anaweza kuteuliwa kuwa Mkuu wa Kitengo (dairy, poultry, maabara, museum, nk).

Kufanya kazi nyingine kadri atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi.

8.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha sita (VI) waliofuzu mafunzo ya Stashahada ya mifugo kutoka MATI/LITI au chuo kingine chochote kinachotambuliwa na Serikali.

8.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS C kwa mwezi

9.0 DAKTARI MIFUGO MKUFUNZI DARAJA LA II (VETERINARY TUTOR II) – NAFASI 3

9.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kutafsiri mihutasari ya mafunzo kwenye masomo

Kuandaa mtiririko wa kila somo (lesson plan) kwa upande wa nadharia na vitendo

Kufundisha kozi za stashahada na astashahada kwa upande wa nadharia na vitendo.

Kuandaa na kupanga somo la vitendo na kusimamia wanachuo wakati wa kujifunza

Kupima maendeleo ya wanachuo kwenye mitihani kwa kipindi chote kinachohusika na kutunza alama zao.

Kupima maendeleo ya wanachuo kwa kushirikiana na madaktari /maofisa mifugo wa wilaya, wakati wa mafunzo kwa vitendo (Field Practicals).

Kufanya kazi nyingine zozote kadri atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi.

9.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza ya Sayansi ya Tiba ya Mifugo kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo au chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali. Wawe wamesajiliwa na Bodi ya Madaktari Tanzania.

9.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS E kwa mwezi

10.0 MUUNDA BOTI DARAJA II (BOAT BUILDER II) – NAFASI 3
10.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kusaidia kuunda boti za uvuvi

Kuwashauri wavuvi juu ya utunzaji na matumizi ya boti

Kufanya matengenezo ya boti.

Kusaidia kutafsiri/kusoma michoro ya kiufundi ya boti.

Kuandaa vifaa kwa ajili ya ujenzi wa boti.

10.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye stashahada ya Uundaji boti kutoka chuo cha Mbegani au chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.


10.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS C kwa mwezi


7

11.0 MHANDISI KILIMO DARAJA LA II (AGRO – ENGINEERS) – NAFASI 11
11.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kuandaa program za mafunzo kwa wakulima kutumia zana za kilimo,

Kushiriki katika kufundisha wakulima na matumizi bora ya zana,

Kushiriki kutengeneza michoro/ramani za umwagiliaji,

Kushiriki katika ujenzi wa miradi ya umwagiliaji,

Kushirikiana na mafundi sanifu kuwafunindisha wakulima uendeshaji wa skimu za umwagiliaji,

Kukusanya takwimu za miradi ya umwagiliaji,

Kushiriki kuratibu na kutoa huduma za umwagiliaji kwa vikundi vya umwagiliaji pamoja na matumizi ya maji,

Kuandaa mafunzo/maonyesho ya matumizi ya za za kilimo,

Kufuatilia program za mafunzo ya wanyama kazi, mafundi wa matrekta na wakulima jinsi ya matumizi ya wanyama na matrekta,

Kuwafundisha wakulima ujenzi wa vihengo bora na

Kushughulikia ubora wa zana na kuwashauri waagizaji na watengenezaji ipasavyo.


11.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza (Bachelor Degree) ya uhandisi yenye mwelekeo mkubwa katika fani ya Kilimo cha umwagiliaji na cha zana kutoka Chuo Kikuu kinachotambuliwa na Serikali.

11.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS E kwa mwezi.

12.0 DEREVA DARAJA LA II (DRIVER II) – NAFASI 50
12.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kuendesha magari ya abiria, magari madogo na malori

Kuhakikisha gari na vyombo vyake vipo katika hali nzuri wakati wote, na kufanya uchunguzi wa gari kabla na baada ya safari ili kugundua ubovu unaohitaji matengenezo,

Kufanya matengenezo madogo madogo katika gari,

Kutunza na kuandika daftari la safari “Log-book” kwa safari zote.

12.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Cheti cha Mtihani wa Kidato cha IV, Wenye Leseni daraja la “C” ya uendeshaji pamoja na uzoefu wa kuendesha magari kwa muda usiopungua miaka mitatu bila kusababisha ajali na wenye Cheti cha Majaribio ya ufundi

Daraja la II (Trade test II).
8


12.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya Mshahara TGOS. A kwa mwezi.

13.0 AFISA VIPIMO DARAJA LA II- NAFASI 1

13.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kukagua, kuhakiki na kuvirekebisha vipimo vya wafanyabiashara;

Kutunza na kuhifadhi vifaa vya kitaalamu vitumikavyo katika utendaji wa kazi;

Kutoa ushauri kuhusu masuala ya uhakiki na matumizi ya vipimo;

Kufanya upelelezi kuhusu ukiukwaji wa Sheria ya vipimo;

Kupokea na kufanyia kazi malalamiko ya wadau na wateja;

13.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa mwenye Shahada ya kwanza katika fani ya Legal Metrology au Legal and Industrial Metrology kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali. Au

Kuajiriwa mwenye Shahada katika fani ya Uhandisi / Sanyansi ambao wamepata crash programme in Legal and Industrial Metrology isiyopungua miezi minne (4) kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali. Au

Kuajiriwa mwenye Shahada katika fani ya Uhandisi / Sayansi ambao wamehitimu Stashahada ya Uzamili (Postgraduate Diploma) katika fani ya Vipimo kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.

Kuajiriwa mwenye Stashahada ya juu katika fani ya Legal Metrology / Legal and Industrial Metrology kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.

13.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia ngazi za mishahara ya Serikali yaani WMAS 3 kwa mwezi



14.0 MKUFUNZI DARAJA LA II –MHANDISI MAJI (WATER TECHNOLOGY) – (NAFASI 11) (LINARUDIWA)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. Mhandisi huyu atafanya kazi ya kufundisha somo la Uhandisi wa Maji katika vyuo vya maendeleo ya Jamii Tanzania Bara

14.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la Uhandisi maji katika vyuo vya maendeleo ya jamii.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kujifunzia na kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

9

Kutoa Ushauri wa kitaalam kuhusu somo la uhandisi maji.

Kutunga na kusahihisha Mitihani ya wanachuo.

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/changamoto mbalimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni.

14.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha sita waliofuzu Mafunzo ya Shahada/ stashahada ya juu katika fani ya Uhandisi Maji (Water Technology) kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.

14.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.

15.1 MKUFUNZI DARAJA LA II –MHANDISI MITAMBO (METAL TECHNOLOGY) – (NAFASI 2) (LINARUDIWA)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. Wahandisi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la Ufundi Mitambo katika vyuo vya maendeleo ya Jamii Tanzania Bara

15.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la ufundi mitambo katika vyuo vya Maendeleo ya Jamii.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kujifunzia na kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  ushauri wa kitaalam kuhusu somo la uhandisi maji.

Kutunga na kusahihisha Mitihani ya wanachuo.

Kufanya utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/changamoto mbalimbali

katika jamii inayozunguka chuo

Kutoa ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni



15.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha sita waliofuzu Mafunzo ya Shahada/ stashahada ya juu katika fani ya Uhandisi Mitambo (Metal Technology) kutoka katika vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.

15.3 MSHAHARA

10

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.


16.1 MKUFUNZI DARAJA LA II- UUNGAJI VYUMA (MECHANICAL ENGINEER)-(NAFASI 24) (LINARUDIWA)


Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. Wahandisi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la Uungaji vyuma katika vyuo vya maendeleo ya Wananchi Tanzania Bara

16.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la uungaji vyuma katika vyuo vya maendeleo ya wananchi.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakaosaidia kutoa majibu kwa matatizo/changamoto mbalimbali katika jamii inayozunguka chuo

Kutoa ushauri juu ya kuboresha taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo



16.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne/sita waliofuzu Mafunzo ya Shahada/ stashahada ya juu katika fani ya Uungaji vyuma (Mechanical Engeneering) kutoka katika vyuo vinavyotambuliwa na Serikali

16.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.


17.0 MKUFUNZI DARAJA LA II- MHANDISI UJENZI (CIVIL ENGINEER)-(NAFASI 25) (LINARUDIWA)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto. Wahandisi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la Ujenzi katika vyuo (24) vya Maendeleo ya Wananchi na Chuo cha Maendeleo ya Jamii Misungwi


11

17.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la ujenzi katika vyuo vya maendeleo ya wananchi.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakaosaidia kutoa majibu kwa matatizo/changamoto mbalimbali katika jamii inayozunguka chuo

Kutoa ushauri juu ya kuboresha taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo

17.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu Mafunzo ya Shahada/ stashahada ya juu katika fani ya uhandisi majengo(Civil Engeneering) kutoka katika vyuo vinavyotambuliwa na Serikali

17.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.


18.1 MKUFUNZI DARAJA LA II- COMPUTER SCIENCE (NAFASI 5) (LINARUDIWA)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto. Wahandisi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la computer na electronics (Computer Application) katika Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi Tanzania Bara.

18.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la computer na electronics katika Vyuo vya Maendeleo ya wananchi.

Kutayarisha mpango kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/changamoto mbalimbali katika jamii inayozunguka chuo

Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo

18.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu Mafunzo ya Shahada/ stashahada ya juu katika fani ya computer science kutoka katika vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.

18.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.


19.1 MKUFUNZI DARAJA LA II- ELECTRICAL ENGINEER - (NAFASI 20) (LINARUDIWA)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto. Wakufunzi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la Umeme wa majumbani (Electrical installation) katika vyuo vya maendeleo ya Jamii Tanzania Bara


19.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la umeme wa majumbani katika vyuo vya maendeleo ya wananchi.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/changamoto mbalimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo

19.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu Mafunzo ya Shahada/ stashahada ya juu katika fani ya Electrical Engineering kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.

13


19.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.


20.1 MKUFUNZI DARAJA LA II- KILIMO (AGRICULTURAL OFFICER )- (NAFASI 10) (LINARUDIWA)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto. Wakufunzi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la kilimo (Agriculture) katika Vyuo vya maendeleo ya wananchi Tanzania Bara


20.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la kilimo katika vyuo vya maendeleo ya wananchi.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/changamoto mbalimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo

20.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu Mafunzo ya Shahada/ stashahada ya juu katika somo la kilimo kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.

20.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.


21.1 MKUFUNZI MSAIDIZI DARAJA LA II – HOME ECONOMICS/ DOMESTIC SCIENCE (LINARUDIWA)

(NAFASI 9)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto. Wakufunzi wasaidizi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la ushonaji, ufumaji, kudarizi, upishi na lishe katika vyuo vya maendeleo ya wananchi Tanzania Bara

21.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha masomo ya ushonaji, ufumaji, kudarizi na upishi na lishe katika vyuo vya maendeleo ya wananchi.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/changamoto mbalimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo

21.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu mafunzo ya stashahada ya ufundi katika fani zaushonaji, ufumaji, kudarizi, upishi na lishe kutoka vyuo vya ufundi vinanvyotambuliwa na Serikali.

21.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi.




22.1 KATIBU MAHSUSI DARAJA LA III (PERSONAL SECRETARY GRADE III) – NAFASI 45 (LINARUDIWA)

22.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida.

Kusaidia kupokea wageni na kuwasaili shida zao, na kuwaelekeza sehemu wanapoweza kushughulikiwa.

Kusaidia kutunza taarifa/kumbukumbu za matukio, miadi na wageni, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba ya kazi zingine zilizopangwa.

Kusaidia kutafuta na kumpatia Mkuu wake majadala, nyaraka au kitu chochote kinachohitajika katika shughuli za kazi hapo ofisini.

Kusaidia kufikisha maelekezo ya Mkuu wake wa kazi kwa wasaidizi wake na pia kumuarifu kuhusu taarifa zozote anazokuwa amepewa na wasaidizi hao.

Kusaidia kupokea majalada, kuyagawa kwa Maofisa walio katika sehemu alipo, na kuyakusanya, kuyatunza na kuyarudisha sehemu zinazohusika.

15

Kutekeleza kazi zozote atakazokuwa amepangiwa na Msimamizi wake wa kazi.

22.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha IV waliohudhuria Mafunzo ya Uhazili na kufaulu mtihani wa Hatua ya Tatu. Wawe wamefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno 80 kwa dakika moja na wawe wamepata mafunzo ya Kompyuta kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali na kupata cheti katika programu za'' Window, Microstoft Office, Internet, E-mail na Publisher''

22.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS B kwa mwezi.

23.1 MPISHI DARAJA LA II (COOK II ) NAFASI – 12 (LINARUDIWA)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto Wapishi hawa watafanya kazi ya kuwapikia wanachuo katika vyuo vya maendeleo ya wananchi

23.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kuandaa chakula cha wanachuo kulingana na Menyu na idadi ya wanachuo

Kupika chakula cha wanachuo

Kutoa ushauri kwa uongozi wa chuo kuhusu chakula cha wanachuo.

Kusimamia jiko.

23.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu mafunzo ya cheti yasiyopungua mwaka mmoja katika moja ya fani ya “food Production” yatolewayo na vyuo vya Forodhani (Dar es Salaam),Masoka (Moshi), Arusha Hotel, Y.M.C.A (Moshi), VETA (mikumi) na Vision Hotel (Dar es Salaam) kutoka vyuo vinavyotambuliwa na serikali na wenye uzoefu wa kazi kwa muda usiopungua miaka mitatu.




23.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGSC kwa mwezi.

24.0 MLINZI (SECURITY GUARD) – NAFASI 38

24.1 MAJUKUMU YA KAZI


16


Kuhakikisha kwamba mali yoyote ya ofisi inayotolewa langoni (nje ya ofisi) ina hati ya idhini.

Kuhahikisha kuwa mali yote inayoingizwa langoni inazo hati za uhalali wake.

Kulinda usalama wa majengo, ofisi na mali za ofisi mchana na usiku.

Kuhakikisha kwamba milango na madirisha yote yamefungwa ipasavyo mwisho wa saa za kazi.

Kuhakikisha kwamba wageni wote wanaoingia katika eneo la ofisi wana idhini ya kufanya hivyo.

Kupambana na majanga yoyote yatakayotokea katika sehemu ya kazi kama vile, moto, mafuriko n.k na kutoa taarifa katika vyombo vinavyohusika kama vile, moto, mafuriko n.k na kutoa taarifa katika vyombo vinavyohusika.

Kutoa ushauri wa jinsi ya kuboresha huduma ya ulinzi mahali pa kazi.

24.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne waliofuzu mafunzo ya mgambo/polisi/JKT au Mafunzo ya Zimamoto kutoka katika chuo kinachotambuliwa na Serikali.

24.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya mshahara TGOS.A kwa mwezi.



25.0 MSAIDIZI WA MAKTABA (LIBRARY ASSISTANT) - NAFASI 8

25.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kuandikisha wasomaji.

Kupanga vitabu katika rafu (Shelves)

Kuazimisha na kupokea vitabu vinavyoazimwa.

Kukarabati vitabu vilivyochakaa,

Kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wa kituo.

25.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa waliohitimu cheti cha Mtihani wa Taifa wa kidato cha IV ambao wamefaulu mafunzo ya Wasaidizi wa Maktaba (National Library Assistants Certificate Course) yatolewayo na Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania au wenye cheti kinacholingana na hicho.



25.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya Mshahara TGS. B kwa mwezi.

26.0 DEREVA MITAMBO DARAJA LA II – NAFASI 1

17

26.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kuendesha mitambo chini ya usimamizi wa Dereva Mitambo mwenye uzoefu.

26.2 2.2. SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye cheti cha kidato cha IV ambao wana leseni Daraja la „‟G‟‟ ya kuendesha mitambo na ujuzi wa kutunza vyombo mbalimbali vya mitambo hiyo, wenye uzoefu wa kuendesha mitambo kwa muda usiopungua miezi mitatu (3) bila kusababisha ajali.

26.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGOS A kwa mwezi.

27.1 MPIMA ARDHI DARAJA LA II (LAND SURVEYOR GRADE II) – NAFASI 15

27.1 MAJUKUMU YA KAZI

Sehemu ya Upimaji Milki (Cadastral Survey)

Kuingiza taarifa za Upimaji (alpha numeric data) kwenye kompyuta. Sehemu ya Topographic na Geodetic Surveys

Kukagua kazi za upimaji na kuingiza taarifa za kazi zilizothibitishwa kwenye

kompyuta.

Sehemu ya Ramani

Kufanya upimaji picha (aerial triangulation and block adjustment);

Kuandaa vikosi kwa ajili ya kuhuisha ramani (map revision)

Kutunza kumbukumbu za picha za anga.Sehemu ya Hydrographic Surveys

-Kusimamia na kuchukua vipimo vya tide gauges.

Halmashauri za Serikali za Mitaa :

Kufanya kazi za nje ya Ofisi (field survey operations) chini ya usimamizi wa mpima aliyesajiliwa.

3.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Stastahada ya juu/Shahada kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi katika fani ya Upimaji Ardhi au Taasisi yoyote inayotambuliwa na National Council of Professional Surveyors (NCPS). Au

Kuajiriwa wenye cheti cha East African Land Survey (EALSC) au National Council of Professional Surveyors Certificate (NCPSC) katika fani ya upimaji ardhi.

3.1 MSHAHARA

Kwa kuzingatia ngazi za mishahara ya Serikali TGS E kwa mwezi

28.0 MTEKINOLOJIA WA SAMAKI MSAIDIZI DARAJA LA II   (ASSISTANT FISH

TECHNOLOGIST II) – NAFASI 1

3.2 MAJUKUMU YA KAZI

•  Kutengeneza na kuhifadhi samaki

3.3 SIFA ZA MWOMBAJI

•  Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne au sita waliofuzu mafunzo ya miaka miwili

ya uhifadhi na biashara ya samaki (Fish Processing and Marketing) kutoka chuo

cha  maendeleo  ya  uvuvi  Mbegani  au  chuo  chochote  kinachotambuliwa  na

Serikali.

3.4 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS B kwa mwezi



29.1 MSAIDIZI USTAWI WA JAMII II (SOCIAL WELFARE ASSISTANT) – NAFASI 2

29.2 MAJUKUMU YA KAZI

Kutambua na kuhudumia watu walio katika makundi maalum na mazingira hatarishi

Kukusanya takwimu zinazohusu watu walio katika makundi maalum na mazingira hatarishi

Kuchambua na kuandaa orodha ya maombi mbalimbali kutoka kwenye familia na watu wenye dhiki

Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake

29.3 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne au sita na wenye cheti cha mafunzo ya mwaka mmoja ya Ustawi wa Jamii kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.


29.4 MSHAHARA

Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS C Kwa mwezi.


30.0 MHUDUMU WA JIKONI/MESS DARAJA LA II (KITCHEN/MESS ATTENDANT)

– NAFASI 1

30.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kusafisha Vyombo vya kupikia.

19

Kusafisha Vyombo vya kulia chakula.

Kusafisha Meza itumiwayo kwa kulia chakula.

Kuwatayarishia Wapishi/Waandazi vifaa vya Mpishi na Mezani.

Kusafisha maeneo ya kulia chakula na kupikia.

Kuwasaidia Waandazi na Wapishi.

30.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne.

30.3 MSHAHARA.

Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya Mshahara TGOS A kwa mwezi.


31.0 AFISA KILIMO DARAJA LA II – NAFASI 25

31.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kuthibiti visumbufu vya mazao na mimea,

Kukusanya takwimu za bei za mazao kila wiki na kila mwezi,

Kukusanya takwimu za upatikanaji wa mazao katika masoko kila wiki/kila mwezi,

Kuendesha mafunzo ya wataalam  wa kilimo,

Kufanya ukaguzi wa ubora na matumizi ya pembejeo na zana,

Ufuatiliaji wa mwenendo wa soko la mazao ya biashara,

Kuendesha mafunzo juu ya hifadhi bora ya udongo na maji,

Kutoa habari juu ya teknolojia mpya kwa wadau,

Kuandaa/kuandika taarifa za utekelezaji kwa sekta ndogo ya mazao,

Kusimamia/kuendeleza taaluma ya uzalishaji mboga, matunda, maua na mazao mengine,

Kusimamia/kuendeleza uzalishaji wa mbegu bora,

Kuandaa, kutayarisha kufunga na kusambaza mbegu bora,

Kufanya majaribio ya magonjwa kwenye mbegu,

Kufanya ukaguzi wa mbegu mpya kwa kushirikiana na watafiti wa mbegu kabla ya kupitishwa,

Kuendesha mafunzo ya kuzalisha mboga, matunda, maua na viungo,

Kuhamasisha uzalishaji wa mazao ya bustani,

Kufanya utafiti mdogo mdogo wa mazao yanayofaa kulimwa katika sehemu ya kilimo cha umwagiliaji,

Kufanya utafiti wa udongo,

Kuhamasisha uanzishaji wa vikundi vya wakulima/wamwagiliaji,

Kuzalisha mbegu za msingi baada ya kuzalishwa na watafiti,

Kuendesha/kusimamaia vishamba vya majaribio vya mbegu na uchunguzi maabara ili kuondoa utata juu ya mbegu.

20



31.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza (Bachelor degree) ya kilimo au shahada ya sayansi waliojiimarisha katika mchepuo wa kilimo kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.

31.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS D Kwa mwezi.




32.0 FUNDISANIFU MSAIDIZI (WELDING AND FABRICATION) - NAFASI 2 (LINARUDIWA)

32.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kufanya kazi za kutengeneza vifaa na mitambo mbalimbali katika eneo lake.

Kufanya ukarabati (repair) wa vifaa, pamoja na mitambo mbalimbali.

Kutunza na kuweka kumbukumbu katika karakana.

Kufanya kazi nyingine  atakazopangiwa zinazoendana na taaluma yake

32.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa waliomaliza kidato cha IV wenye Cheti cha Majaribio ya Ufundi Hatua ya II katika fani ya „Welding and Fabrication‟ kutoka Chuo cha Ufundi kinachotambuliwa na Serikali.

32.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS A kwa mwezi.

33.0 FUNDI SANIFU MSAIDIZI (UMEME) - NAFASI 5 (LINARUDIWA)

33.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kufanya kazi za matengenezo ya vifaa na mitambo ya umeme.

Kufunga mashine na vifaa vya umeme katika Eneo Lake.

Kutunza na kuweka kumbukumbu katika karakana.

Kufanya kazi nyingine  atakazopangiwa zinazoendana na taaluma yake

33.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa waliomaliza kidato cha IV katika masomo ya Sayansi na kufuzu mafunzo ya mwaka mmoja katika fani ya Umeme kutoka katika Chuo kinachotambulika na Serikali.

Au

Kuajiriwa waliomaliza kidato cha IV wenye Cheti cha Majaribio ya Ufundi Hatua ya II katika fani ya Umeme kutoka Chuo cha Ufundi kinachotambuliwa na Serikali.

33.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS A kwa mwezi.

34.0 MSAIDIZI WA HESABU (ACCOUNTS ASSISTANT) - NAFASI 25

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, na Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, Chamwino, Tunduru na Mtendaji Mkuu Wakala wa Barabara Tanzania.

34.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kuandika na kutunza “register” zinazohusu shughuli za uhasibu.

Kuandika hati za malipo na hati za mapokezi ya fedha.

Kutunza majalada yenye kumbukumbu za hesabu

Kupeleka barua/nyaraka za uhasibu Benki.

Kufanya usuluhisho wa masurufu, karadha, Hesabu za Benki na Amana.

34.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye Cheti cha ATEC level II au “Foundation Level” kinachotolewa na

NBAA

35.0 MHANDISI DARAJA LA II - MAJI (WATER ENGINEER GRADE II) – (NAFASI

10)

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga na Geita, Mkurugenzi Halmashauri ya manispaa ya Temeke, Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya za Rungwe, Busega na Chamwino.

35.1 MAJUKUMU YA KAZI

Ujenzi na Usimamizi wa Vituo vya Hali ya Hewa, Vituo vya Upimaji wingi wa Maji mitoni (Discharge Measurements) na Uchukuaji wa sampuli za mchanga unaosafirishwa kwenye mito (sedment sampling) na kuzitafsiri.

Ukusanyaji wa takwimu kwenye vituo vya hali ya hewa na upimaji wa wingi wa maji mitoni na kuzitafsri takwimu hizo.

Kuandaa na kutayarisha Taarifa ya robo, nusu na mwaka mzima katika sehemu ya Haidrologia.

Kutayarisha kielelezo cha mtiririko wa maji ( Rating Curve Eqution )

35.2 SIFA ZA MWOMBAJI

22


Kuajiriwa mwenye Shahada ya Uhandisi wa Rasilimali za Maji kutoka vyuo vikuu vinavyotambuliwa na Serikali. Wawe na ujuzi wa kutumia kompyuta.

35.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.


36.0 FUNDISANIFU DARAJA LA II (UJENZI) - (CIVIL TECHNICIAN GRADE II) – NAFASI 25

Nafasi hizi ni kwa kwa ajili ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Singida na Morogoro, Mkurugerugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli, Mpanda, Mbulu, Meatu, Ilemela, Sengerema, Tunduru, Bukoba Ngorongoro na Kyela na Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Njombe.

36.1 MAJUKUMU YA KAZI

Mafundi sanifu watapangiwa kazi na Mamlaka zinazohusika katika fani zao kutegemea cheo, ujuzi, uzoefu na uwezo wao pamoja na utendaji mzuri wa kazi kama ifuatavyo:-

Kufanya kazi za ujenzi wa kuta za nyumba na kupaka rangi na kufunga mabomba;

Kuchonga vifaa vya nyumba za Serikali ikiwa ni pamoja na samani “furniture”;

Kufanya kazi za upimaji (survey) wa barabara, majengo na mifereji kama atakavyoelekezwa;

Kuwapangia kazi Mafundi sanifu wasaidizi na kuhakikisha wanamaliza kama ilivyopangwa.

36.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye mojawapo ya sifa zilizotajwa hapa chini:

Waliohitimu kidato cha VI na kufuzu mafunzo ya ufundi ya miaka miwili kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali katika moja ya fani za ufundi.

Waliohitimu kidato cha IV na kufuzu kozi ya ufundi ya miaka mitatu kutoka Vyuo vya Ufundi vinavyotambuliwa na Serikali katika mojawapo ya fani za ufundi,

Wenye Cheti cha Majaribio ya Ufundi hatua ya I kutoka Chuo cha Ufundi kinachotambuliwa na Serikali,

Wenye Stashahada ya Kawaida katika fani za ufundi kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.

36.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi




23


37.0 FUNDI SANIFU MSAIDIZI (MAJI) (ASISTANT TECHNICIAN - WATER) NAFASI 5 (LINARUDIWA)

37.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kupima uwingi wa maji mtoni

Kusoma kituo cha hali ya hewa

Kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi.

37.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha IV/VI waliohudhuria na kufaulu mafunzo ya mwaka mmoja kutoka kutoka Chuo cha Maji au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali ambao wana cheti cha ufundi Daraja la III katika fani ya maji.

37.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS A kwa mwezi.


38.0 FUNDI SANIFU DARAJA LA II - HAIDROJIOLOJIA (TECHNICIAN GRADE II - HYDROGEOLOGIST) – NAFASI 1 (LINARUDIWA)

38.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kuhakiki nuwezo wa kisima kutoa maji  (Pump test)

Kuchora ramani za eawali za kiufundi

Kuhifadhi taarifa za kikazi (Field Data) zipatikanazo wakati wa utafiti wa maji chini ya ardhi.

38.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa Wahitimu wa vyuo vya ufundi vinavyotambuliwa na Serikali ambao wana cheti cha ufundi ( FTC) au Stashahada ya Kawaida ya Rasilimali za Maji na wenye ujuzi wa kutumia kompyuta.

38.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi.

39.0 MKUFUNZI DARAJA LA II (TUTOR II) - JIOLOJIA – NAFASI 1

39.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kutafsiri mihutasari ya mafunzo kwenye masomo

Kuandaa mtiririko wa kila somo (lesson plan) kwa upande wa nadhari na vitendo

Kufundisha kozi za stashahada na astashahada kwa upande wa nadharia na vitendo

Kuandaa na kupanga somo la vitendo na kusimamia wanachuo wakati wa kujifunza

Kupima maendeleo ya wanachuo kwenye mitihani kwa kipindi chote kinachohusika na kutunza alama zao

Kupima maendeleo ya wanachuo kwa kushirikiana na wahandisi wa uchenjuaji/jiologia na wahandisi migodi wa viwandani wa mafunzo kwa vitendo (Field Practicals)

Kufanya kazi nyingine kulingana na kiwango cha elimu na fani yake kadri atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi


39.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Awe na Shahada ya Sayansi katika fani ya jiolojia (pamoja na fani za jiofizikia au jiokemia) au sifa nyingine zinazolingana na hizo kutoka vyou vikuu vinavyotambuliwa na Serikali.

39.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.E kwa mwezi.

40.0 OPERATA WA KOMPYUTA DARAJA LA II (COMPUTER OPERATOR) - NAFASI 1

40.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufanya kazi za kompyuta/programu zenye mifumo migumu kwa usimamizi wa wastani wa Maopereta wa Kompyuta Waandamizi

Kurekebisha mpango wa kazi katika chumba cha kompyuta

Kutunza vitabu vya matumizi ya kila siku ya kompyuta

Kuhifadhi data zote zinazoingizwa katika kompyuta

Kuchapa taarifa za mwisho

40.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye stashahada ya masomo ya kompyuta kutoka kwenye Taasisi/Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.

40.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.C kwa mwezi.


41.0 FUNDI SANIFU DARAJA LA II - (TECHNICIAN GRADE II - PLUMBING) – NAFASI 5

25

41.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kufanya kazi za ufundi bomba atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi

41.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye mojawapo ya sifa zilizotajwa hapa chini:

Waliohitimu kidato cha VI na kufuzu mafunzo ya ufundi ya miaka miwili kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali katika fani ya fundi bomba (Plumbing)

Waliohitimu kidato cha IV na kufuzu kozi ya ufundi bomba ya miaka mitatu kutoka Vyuo vya Ufundi vinavyotambuliwa na Serikali katika mojawapo ya fani za ufundi

Wenye Cheti cha Majaribio ya Ufundi hatua ya I kutoka Chuo cha Ufundi kinachotambuliwa na Serikali

Wenye Stashahada ya Kawaida katika fani za ufundi bomba kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.

41.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi



42.0 FUNDI SANIFU MAABARA – (WATER LABORATORY TECHNICIAN) DARAJA II – NAFASI 7.

42.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kumsaidia Fundi Sanifu Daraja I katika kazi ili kupata uzoefu

Kutafsiri maelezo ya matumizi ya madawa mbalimbali kwa kwa ajili ya kazi mbalimbali za maabara

Kusimamia uchukuaji wa sampuli za maji na udongo kwa ajili ya upimaji

Kufanya na kusimamia matengenezo ya vifaa vya maabara ya kawaida na ya dharura yanapohitajika;

Kufanya upimaji wa maji na udongo wa maeneo ya miradi na kuandaa maelekezo ya matibabu yanayohitajika.

Kusimamia ukusanyaji wa takwimu za hali ya maji na udongo zinazohitajika kwenye maeneo ya miradi

Kuwaongoza mafundi sanifu wasaidzi kutekeleza kazi zao

Kutoa taarifa za hali ya maji na udongo wa maeneo ya miradi kwa Mhandisi.

42.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Awe na Cheti cha Stashahada ya Maji (Water Laboratory) toka Chuo cha Maji au Chuo

chochote kinachotambuliwa na Serikali.

42.3  MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi.

43.0 FUNDI SANIFU DARAJA LA II - MAJI - (TECHNICIAN GRADE II - WATER) – NAFASI 7

43.1 MAJUKUMU YA KAZI
Ukusanyaji na ukaguaji wa takwimu za maji

Kutunza takwimu za maji

Kuingiza takwimu za maji kwenye fomu Na: H: 12 tayari kwa kutumiwa kwenye michoro

Kuchora hydrograph za maji

Utengenezaji visima vya rekoda, stendi za winchi, sinia za maji „cable way post”

Kufanya matengenezo ya vifaa  vyote vya kupimia maji na hali ya hewa

Kuingiza takwimu kwenye kompyuta

Kufundisha wasoma vipimo

43.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa Wahitimu wa vyuo vya ufundi vinavyotambuliwa na Serikali ambao wana cheti cha ufundi ( FTC) au Stashahada ya Rasilimali za Maji na wenye ujuzi wa kutumia kompyuta.

43.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi.


44.0 FUNDI SANIFU – (WATER WORKS TECHNICIAN) DARAJA II – NAFASI 8 (LINARUDIWA)

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji.

44.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kumsaidia Fundi Sanifu Daraja I katika kazi ili kuapata uzoefu wa;

Kutafsiri ramani za ujenzi wa miundombinu ya maji au ya ufungaji wa mitambo ya miradi ya maji

Kujenga miundombinu ya aina mbalimbali au kufunga mitambo ya miradi ya maji na usafi wa mazingira;

Kufanya matengenezo ya kawaida ya vipindi na ya kuzuia uharibifu wa miundo mbinu kwa kufuata ratiba na inapohitajika kwa dharura;

Kusimamia ukusanyaji na utunzaji wa takwimu za uendeshaji na matengenezo ya miundo mbinu au mitambo ya miradi ya maji;

Kuwaongoza mafundi sanifu wasaidizi kutekeleza kazi zao

Kutoa taarifa za utekelezaji wa miradi kwa Mhandisi

44.2 SIFA ZA MWOMBAJI


27


Awe na Cheti cha Stashahada ya Maji (Water Works Technician) toka Chuo cha Maji au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

44.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi.



45.0 FUNDI SANIFU MSAIDIZI (UFUNDI BOMBA) - (ASSISTANT WATER WORKS TECHNICIAN PLUMBING) – NAFASI - 3 (LINARUDIWA)

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji.

45.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufanya kazi kwa kuongozwa chini ya uangalizi wa Fundi Sanifu aliyesajiliwa ili aweze;

Kufunga mitandao ya bomba za aina mbalimbali ya miradi ya maji na usafi wa mazingira;

Kufanya usafi na ukaguzi wa mitandao ya bomba ya miradi ya maji na usafi wa mazingira kwa ajili ya kukidhi uendeshaji nadhifu, endelevu na kuzuia uharibifu;

Kuwezesha uzalishaji na usambazaji wa maji na utoaji wa majitaka kwa kupitia mitandao ya bomba za miradi ya maji na usafi wa mazingira.

Kufanya matengenezo ya kawaida ya vipindi nay a kuzuia uharibifu wa mitandao ya bomba kwa kufuata ratiba na inapohitajika kwa dharura.

Kunakili, kutayarisha, kukusanya, kutunza na kuziwasilisha takwimu za uendeshaji na matengenezo ya mitandao ya bomba za miradi ya maji na usafi wa mazingira;

Kumsaidia Fundi sanifu kazi za kiufundi.

45.2  SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne waliohudhuria na kufaulu mafunzo ya mwaka

mmoja kutoka Chuo cha Maji au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali ambao wana Cheti cha ufundi Daraja III (Plumbing).

45.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS A kwa mwezi.


46.0 FUNDI SANIFU MSAIDIZI (UPIMAJI ARDHI) - (ASSISTANT TECHNICIAN GEOMETRIC) – NAFASI 23 (LINARUDIWA)

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji.

46.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufanya kazi kwa kuongozwa chini ya uangalizi wa Fundi Sanifu aliyesajiliwa ili aweze;

Kushirikiana na Wahandisi wa Maji na kuwaongoza walengwa katika kuchagua njia za kupitisha bomba kwa ajili ya miradi ya maji na usafi wa mazingira;

Kupima hali ya kijiografia ya maeneo ya inayokusudiwa kujengwa au yenye miradi ya maji na usafi wa mazingira ili kuwezesha usanifu wa miundo mbinu miradi;

Kupima uwekaji wa vifaa vya miundo mbinu kwenye ardhi wakati wa ujenzi wa miradi ya maji na usafi wa mazingira;

Kunakili na kutunza taarifa za upimaji wa ardhi kwa ajili ya miundo mbinu ya miradi ya maji na usafi wa mazingira kwa namna inayokubalika kwa mchoraji wa ramani za usanifu wa miradi kufanya kazi yake kwa unadhifu;kuchora ramani za maeneo ya miradi ya maji na usafi wa mazingira kwa namna zote zinazokubalika kwa ajili ya kuwezesha usanifu wa miundo mbinu ya maji na usafi wa mazingira;

Kumsaidia Fundi Sanifu katika kazi za upimaji ardhi.

46.2  SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne waliohudhuria na kufaulu mafunzo ya mwaka

mmoja kutoka Chuo cha Maji au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali ambao wana Cheti cha ufundi Daraja III (Water Works Technician Geometric).

46.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS A kwa mwezi.


47.0 FUNDI SANIFU MSAIDIZI MITAMBO YA MAJI (PAMPU) – NAFASI 30 (LINARUDIWA)

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji.

47.1 MAJUKUMU YA KAZI
Atafanya kazi kwa kuongozwa na chini ya uangalizi wa Fundi Sanifu aliyesajiliwa ili

aweze;

Kufunga pampu na injini za aina mbalimbali za miradi ya maji na usafi wa mazingira;

Kufanya usafi na ukaguzi wa pampu na injini za miradi ya maji na usafi wa mazingira kwa ajili ya kukidhi uendeshaji nadhifu, endelevu na kuzuia uharibifu;

Kuhudumia uendeshaji wa pampu na injini za miradi ya maji;

Kufanya matengenezo ya kawaida, ya vipindi na ya kuzuia uharibifu wa pampu na injini kwa kufuata miongozo ya uendeshaji na matengenezo na inapohitajika kwa dharura;

Kunakiri, kutayarisha, kukusanya, kutunza na kuziwasilisha takwimu za uendeshaji na matengenezo ya pampu na injini za miradi ya maji;

Kumsaidia Fundi Sanifu katika kazi za kiufundi.

47.2  SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne waliohudhuria na kufaulu mafunzo ya mwaka mmoja kutoka Chuo cha Maji au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali ambao wana Cheti cha ufundi Daraja III (Mitambo ya Maji (Pampu).

47.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS A kwa mwezi.



48.0 FUNDI SANIFU MSAIDIZI MITAMBO YA MAJI (UMEME) – NAFASI 12 (LINARUDIWA)Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji.

48.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufanya kazi kwa kuongozwa na chini ya uangalizi wa Fundi sanifu aliyesajiliwa ili aweze;

Kufunga mfumo wa umeme unaohitajika kwa ajili ya uendeshaji wa mitambo ya miradi ya maji na usafi wa mazingira;

Kufunga mota na vifaa vingine vya umeme vya aina mbalimbali vya miradi ya maji na usafi wa mazingira;

Kufanya usafi na ukaguzi wa mfumo wa umeme, mota na vifaa vingine vya umeme na miradi ya maji na usafi wa mazingira kwa ajili ya kukidhi uendeshaji nadhifu wa pampu na kuzuia uharibifu;

Kuendesha mitambo inayotumia umeme ya miradi ya maji na usafi wa mazingira;

Kufanya matengenezo ya kawaida, ya vipindi na ya kuzuia uharibifu kwenye mfumo wa umeme, mota na vifaa vingine umeme kwa kufuata miongozo ya uendeshaji, na inapohitajika kwa dharura.

Kunakili, kutayarisha, kukusanya, kutunza na kuziwasilisha takwimu za uendeshaji na matengenezo ya mitambo inayotumia umeme ya miradi ya maji na usafi wa mazingira;

Kumsaidia Fundi Sanifu katika kazi za kiufundi.

48.2  SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne waliohudhuria na kufaulu mafunzo ya mwaka

mmoja kutoka Chuo cha Maji au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali ambao wana Cheti cha ufundi Daraja III (Plants Technician Electrical).

48.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS A kwa mwezi.


49.0 FUNDI SANIFU MSAIDIZI - (ASSISTANT TECHNICIAN WELDING) NAFASI 4 (LINARUDIWA)

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji.


30

49.1  MAJUKUMU YA KAZI
Kufanya kazi kwa kuongozwa na chini ya uangalizi wa Fundi Sanifu aliyesajiliwa ili

aweze;

Kufunga pampu na injini za aina mbalimbali za miradi ya maji na usafi wa mazingira;

Kufanya usafi na ukaguzi wa pampu na injini za miradi ya maji na usafi wa mazingira kwa ajili ya kukidhi uendeshaji nadhifu, endelevu na kuzuia uharibifu;

Kuhudumia uendeshaji wa pampu na injini za miradi ya maji;

Kufanya matengenezo ya kawaida, ya vipindi nay a kuzuia uharibifu wa pampu na injini kwa kufuata miongozo ya uendeshaji na matengenezo na inapohitajika kwa dharura;

Kunakili, kutayarisha, kukusanya, kutunza na kuziwasilisha takwimu za uendeshaji na matengenezo ya pampu na injini za miradi ya maji;

Kumsaidia Fundi Sanifu katika kazi za kiufundi.

49.2  SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne waliohudhuria na kufaulu mafunzo ya mwaka

mmoja kutoka Chuo cha Maji au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali ambao wana Cheti cha ufundi Daraja III katika fani ya Welding na fiter turner.

49.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS A kwa mwezi.


50.0 FUNDI SANIFU MSAIDIZI UJENZI (ASSISTANT TECHNICIAN - CIVIL) – NAFASI 31 (LINARUDIWA)

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga.

50.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kufanya kazi za ujenzi wa kuta za nyumba na kupaka rangi na kufunga mabomba,

Kuchonga vifaa vya nyumba za serikali ikiwa ni pamoja na samani “furniture”,

Kufanya kazi za upimaji (Survey) wa barabara, majengo na mifereji kama atakavyoelekezwa,


50.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa waliomaliza kidato cha IV katika masomo ya Sayansi na kufuzu mafunzo ya

mwaka mmoja katika Fani ya Ufundi wa Ujenzi (Civil Technician ) kutoka katika chuo kinachotambuliwa na Serikali,

Au

Kuajiriwa waliomaliza kidato cha IV wenye cheti cha Majaribio ya ufundi hatua ya II (Civil Technician) kutoka chuo cha ufundi katika mojawapo ya fani za ufundi Ujenzi.

50.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS A kwa mwezi.
.

51.0 MKUFUNZI MSAIDIZI (ASSISTANT TUTOR) - NAFASI 4

51.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kuandaa mtiririko (leson plan) wa somo

Kufundisha kozi ya astashahada ya uchenjuaji wa madini, jiolojia na utafutaji wa madini na uhandisi migodi,

Kusimamia masomo ya vitendo chini ya mkufunzi mkuu,

Kuandaa na kupanga vifaa kwaajili ya masomo ya vitendo,

Kuwapima wanachuo wakati wa masomo ya vitendo,

Kufanya kazi nyingine kulingana na kiwango cha elimu na fani yake kadiri atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi.

51.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Awe amehitimu kidato cha nne (IV) au sita (VI) waliofaulu mafunzo ya Stashahada ya

Uhandisi wa Uchenjuaji Madini, Jiolojia au Uhandisi Migodi kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali.

51.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D Kwa mwezi.

52.0 MHANDISI MIGODI (MKUFUNZI) II TGS E    NAFASI 2

52.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kufundisha somo la Uhandisi Migodi

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kujifunzia na kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa Ushauri wa kitaalam kuhusu somo la uhandisi Migodi.

Kutunga na kusahihisha Mitihani ya wanachuo.

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/changamoto mbalimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni.


52.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Shahada/Stashahada yajuu ya Uhandisi katika fani ya Sayansi ya Uhandisi wa Migodi

(Mining Engineer) kutoka vyuo vikuu vinavyotambuliwa na Serikali.

52.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.


53.0 MHANDISI NISHATI II    NAFASI 5

53.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kuratibu miradi ya nishati katika ngazi zote,

Kufuatilia maendeleo ya teknolojia mbalimbali na matokeo ya uvumbuzi na utafiti katika fani zao,

Kutoa ushauri wa kitaalam kuhusu matumizi bora ya nishati kutokana na maendeleo ya teknolojia,

Kufanya ukaguzi wa shughuri za nishati ikiwa ni pamoja na kuhakiki viwango vya ubora wa huduma za nishati zitolewazo, uingizaji wa petrol na utunzaji wa nishati,

Kusimamia utendaji wa kazi wa wahandisi nishati waliopo chini yake.

53.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Shahada/Stashahada ya juu ya Uhandisi wa Nishati (Energy Engineer) kutoka vyuo

vikuu vinavyotambuliwa na Serikali.


53.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.

54.0 DOBI DARAJA LA II – NAFASI 1 (LINARUDIWA)

54.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufanya uchambuzi wa nguo kwa ajili ya kuosha, kukausha, kunyoosha na kuzifungasha.

54.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne waliofuzu mafunzo ya miaka miwili au mitatu katika fani ya Dobi (Laundry Services) kutoka katika vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.


54.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGOS. C kwa mwezi.

55.0 MPOKEZI (RECEPTIONIST) – NAFASI 1 (LINARUDIWA)

55.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kupokea wageni na kuwasaili shida zao.

Kutunza rejesta ya wageni wa ofisi na kufanya uchambuzi wa wageni wanaoingia ili kutoa ushauri juu ya utaratibu bora wa kupokea wageni.


Kupokea na kusambaza maombi ya simu za ndani.

Kutunza na kudumisha usafi wa “Switchboard” na ofisi zake.

Kuwaelekeza wageni wa ofisi kwa maafisa/ofisi watakakopewa huduma.

Kuhakikisha kwamba wageni wanaoingia ndani wanamiadi (Appointment) au wamepata idhini ya maafisa husika.

Kupokea simu kutoka nje na kuzisambaza kwa maofisa mbalimbali ofisini.

Kupokea simu kutoka “Extension” za ndani na kupiga nje ya ofisi.

Kutunza rejesta ya simu zinazopokelewa kutoka nje ya ofisi na zinazopigwa kwenda nje.

55.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha IV waliofaulu masomo ya Kiingereza, Kiswahili na Hisabati na kufuzu mafunzo ya Mapokezi na Upokeaji Simu kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.

55.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS B kwa mwezi

56.0 MTUNZA BUSTANI DARAJA LA II - (GARDNER II) NAFASI 3 (LINARUDIWA)

56.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kupanda maua katika maeneo yanayohusika.

Kupanda na kukata majani na kumwagilia maji.

Kupanda mboga, matunda katika bustani.

Kupalilia mazao katika bustani.

Kufanya kazi zingine zitakazoelekezwa na Viongozi wa Kitengo chao.

56.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa  wenye  Cheti  katika  fani  ya  utunzaji  bustani  za  maua,  mboga  na

upandaji majani kutoka chuo cha Maendeleo ya Wananchi, VETA, au JKT au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali wenye uzoefu wa kazi kwa muda usiopungua miaka mitatu.

56.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGOS.A kwa

mwezi.

57.0 AFISA MICHEZO DARAJA LA II (GAMES AND SPORTS OFFICER GRADE II)

– NAFASI 15 (LINARUDIWA)

57.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha fani mbalimbali kwa Waalimu wa vyuo, shule, na vituo vya Elimu na Mafunzo


Kufundisha fani mbalimbali za michezo kwa waalimu, Makocha, viongozi wa vyama na vilabu vya michezo

Kufundisha fani mbalimbali za michezo kwa Timu za Michezo mbalimbali.

57.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa mwenye Shahada au Stashahada ya Juu ya Elimu ya Michezo (Physical Education) kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali.

57.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS D kwa mwezi.

58.0 BARAZA LA SANAA LA TAIFA (BASATA)

Baraza la Sanaa la Taifa ni shirika la Umma lililoundwa kwa Sheria ya Bunge Na. 23 ya mwaka 1984. (Sheria ya kuunda upya Baraza la Sanaa la Taifa kwa kuunganisha Baraza la Sanaa la Taifa na Baraza la Muziki la Taifa na kufuta Sheria ya Baraza la Sanaa la Taifa ya mwaka 1974 na Sheria ya Baraza la Muziki la Taifa ya mwaka 1974 na kuweka utaratibu kuhusiana na mambo hayo.

Kazi za Baraza la Sanaa la Taifa ni Kufufua, kukuza na kuendeleza kazi za sanaa ikiwa ni pamoja na Uhamasishaji, Usimamizi, Uimarishaji, Uratibu, Utafiti, na Ushauri wa kazi mbalimbali za Sanaa.

58.1 MKURUGENZI WA UTAFITI NA UKUZAJI WA STADI ZA WASANII – NAFASI 1 (LINARUDIWA)

58.1.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kuongoza Idara ya Utafiti na ukuzaji wa stadi za Sanaa.

Kuandaa mpango wa Utafiti na kusimamia utekelezaji.

Kuandaa mpango wa kukuza stadi za wasanii na kusimamia utekelezaji.

Kuwasiliana na watafiti mbalimbali na kushirikiana nao.

Kuandaa na kusimamia makubaliano na watafiti wanaojiajiri kwa muda kufanya tafiti maalum

Kubaini na kuteua wawezeshaji wa ukuzaji wa stadi za wasanii.

Kusimamia uchapishaji wa majarida na vitabu vya Baraza.

58.1.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Shahada ya Uzamili katika fani za Sanaa na Utafiti kutoka katika vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.

Uzoefu wa kazi usiopungua miaka nane (8) ambapo miaka mitano (5) kati ya hiyo ikiwa ni kwenye nafasi ya uongozi katika idara mbalimbali zilizo chini ya taasisi za umma.


58.1.3 MSHAHARA

Mshahara PGSS 14

NB: MASHARITI YA JUMLA KWA KAZI ZOTE.

i. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri usiozidi miaka 45

ii. Waombaji wote waambatishe cheti cha kuzaliwa.

iii. Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingilia katika kada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi za kazi kwa waajiri wao na Waajiri wajiridhishe ipasavyo.

iv. Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anwani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.

- Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma, maelezo, nakala za vyeti vya kidato cha nne na kidato cha sita kwa wale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika.

- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.

- Cheti cha mtihani wa kidato cha IV na VI

- Computer Certificate

- Vyeti vya kitaaluma (Professional certificates from respective boards)

.
v. Testmonials”, “Provisional Results”, “Statement of results”, hati matokeo za kidato cha nne na sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS) HAVITAKUBALIWA.

vi. Waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (TCU na NECTA).

vii. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.

viii. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba 2010.

ix. Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kugushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.

x. Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 17 Februari, 2016

xi. Aidha, uwasilishaji wa barua kwa mkono katika ofisi za Sekretarieti ya ajira HAURUHUSIWI.

xii. Maombi yanaweza kuandikwa kwa Lugha ya Kiswahili au Kiingereza..

i. Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani ifuatayo;

 http://portal.ajira.go.tz/

(Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sekretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa‘Recruitment Portal’)

iii. MUHIMU:  KUMBUKA  KUWEKA  (TO  ATTACH)  BARUA  YAKO  YA  MAOMBI

KWENYE SEHEMU YA ‘OTHER ATTACHEMENTS’.


iv. VYETI NA WASIFU (CV) VITAKAVYOTUMWA BILA BARUA YA MAOMBI HAVITAFIKIRIWA.

v. WAOMBAJI WANATAKIWA KUANDIKA MAJINA YA VYUO VYAO NA KOZI KWA KIREFU (Eg. Bachelor of Science with Computer Science, University of Dar es Salaam, na msiandike, BSc. Computer Science UDSM)

NAFASI ZA KAZI UTUMISHI - Mwisho 17 Februari, 2016 NAFASI ZA KAZI UTUMISHI - Mwisho 17 Februari, 2016 Reviewed by Unknown on 10:15:00 PM Rating: 5

JOBS CATEGORY

Tanzania Kenya NGO JOBS Uganda Best Jobs Consultancy Rwanda ICT JOBS Administrative United Nations Sudan Best Jobs Finance Health - Medical Engineering Ethiopia Education Agricultural Lecturer Human Resources Somalia Media Congo - Kinshasa Legal Jobs Bank Jobs Monitoring and Evaluation Mining World Vision Burundi Procurement African Barrick Gold Accountant Zambia Sales and Marketing US EMBASSY East African Community Mozambique Telecoms Research CARE International Save The Children Plan International Arusha Malawi South Sudan Oxfam Scholarships African Development Bank Finance and Administration SafariCom Aviation The Commonwealth American Embassy Sales Zanzibar Environmental Catholic Relief Services Dar es salaam USAID Operations FHI 360 UNDP Security World Bank Economist TradeMark East Africa Unicef Hospitality Managers International Rescue Committee (IRC) Restless Development Accounting Civil Engineers AMREF Morogoro Utumishi AfDB African Development Bank COOPI - Cooperazione Internazionale Driver - Logistics Path International Mwanza African Union Tigo Jobs Marketing Mbeya Teaching Au African Union PSI Population Services International Pwc PricewaterhouseCoopers East African Breweries North Mara Gold Mine ACTED Djibouti Malaria Consortium Bulyanhulu Gold Mine DFID Driver Buzwagi Gold Mine Jhpiego COMESA FINCA JOBS International Jobs Adeso Danish Refugee Council Kilimanjaro Nairobi Coca-Cola Handicap International Pact International Rio Tinto Solidarités International Tender EGPAF Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation Logistics Serengeti Breweries Ltd Nation Media Group Africare Norwegian Refugee Council Samaritan's Purse Chemonics International COUNTRY DIRECTOR ICAP of Columbia University InterShips Precision Air RwandAir Marie Stopes International (MSI) Serengeti Breweries Volunteer Climate Change IGAD Tetra Tech ARD Agriculture Jobs Dodoma Iringa One Acre Fund Project Management Clinton Health Access Initiative (CHAI Technoserve Twaweza East Africa ActionAid Lutheran World Federation SADC Secretariat Tanga Vso International ACDI/VOCA Halmashauri Agha Khan Kenya Commercial Bank World Agroforestry Centre Deloitte East Africa International Organization for Migration (IOM) COMESA Secretariat: Software Engineering Safety and Security Shinyanga Jobs Tanzania Breweries Pathfinder International World Health Organization KPMG TANROADS Tanzania Electric Supply Company British Council Futures Group KCB BANK UN-Habitat WFP World Food Programme Barclays GEITA GOLD MINING TANESCO Electrical Engineer Food and Agriculture Organization GOAL Mombasa Tabora WWF World Wide Fund for Nature Microsoft Tanzania Ports Authority East African Development Bank Family Health International (FHI) IBM EAST AFRICA IntraHealth International Mercy Corps SERIKALINI - GOVERNMENT OF TANZANIA AccessBank Community Development Jobs Data Base Management Google Africa ICAP - TZ KEMRI/CDC Program WaterAid Tanzania Auditor SNV International Stanbic Bank Amnesty Horn Relief Kampala Management Systems International (MSI) Standard Chartered Bank VETA Christian Aid DIAMOND TRUST BANK Helen Keller International Help Age Mtwara Uganda Telecom Airtel Africa Equity Bank Internships Marie Stopes TCRA Web Development B B C WORLD SERVICE Human Rights Kigali Makerere University Nile Basin Initiative Kenyatta University Kigoma Mzumbe University NSSF National Social Security Fund Nile Breweries Limited Tulawaka Gold Mine University of Nairobi kenya Airways Bank of Tanzania Graduates MTN Muhimbili National Hospital Nepad Partners in Health Room to Read SUMATRA UNWOMEN African Wildlife foundation (AWF) KEMRI Kagera Librarian MENTOR Initiative Trainee USAILI - INTERVIEW Uiversity of Nairobi WaterAid International icipe Project CAFOD - Catholic Agency for Overseas Development Egerton University EngenderHealth Goal Ireland Kenyan Banks Lake Victoria Basin Commission Peace Corps TANAPA TASAF Tanzania Social Action Fund Zanzibar University ACB AKIBA COMMERCIAL BANK AGRA Alliance for a Green Revolution in Africa Advans Bank Ethiopian Airlines Freedom House IITA International Institute of Tropical Agriculture Legal Moshi NMB BANK Resolute Tanzania Singida Uganda Uganda National Roads Authority University of Dar es salaam University of Dodoma British High Commission ChildFund EWURA FilmAid International NECTA TPDC Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) United States International University World Concern Aga Khan Foundation CBA Commercial Bank of Africa Ecomist Ernst and Young IUCN International Union for Conservation of Nature International Medical Corps Islamic Relief Kakira Sugar Musoma National Institute for Medical Research OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA Relief International TAA Tanzania Airports Authority Trócaire Uganda Revenue Authority VODACOM TANZANIA VSF Belgium Architects Hivos IFC International Finance Corporation Ifakara Health Institute Inoorero University International Commercial Bank Kenya Red Cross Society MADEREVA Medical Oil and Gas Pwani University College SOKOINE UNIVERSITY Tumaini University Water Engineering AWF African Wildlife Foundation Acacia Mining Accounts African Virtual University Altima Africa Ardhi University Bank of Uganda Business Development Concultancy Del Monte Kenya Embassies Kenya Airports Authority Lake Victoria South Water Services Board Mara National Bank of Commerce RECORDS MANAGEMENT JOBS RUKWA Ruvuma Search for Common Ground Songea TTCL Tanzania Telecommunications Company Limited Unilever War Child International Zinduka Afrika ACORD AKU ​Aga Khan University Africa Nazarene University Africa Rice Center (AfricaRice) Aga Khan Health Services CRDB BANK Commercial Bank of Africa Daraja Tanzania Engineers Registration Board (ERB) Fina Bank International Potato Center International Potato Center (CIP) Intrahealth Jomo Kenyatta University Kilimanjaro Christian Medical Centre Kyambogo University Lindi Jobs MCL Mwananchi Communications MUHAS-harvad Moi University NBC BANK National University of Rwanda Ngorongoro Conservation Area Authority Njombe Nuru International Nzoia sugar Company RTI International SUA SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE THE LAW SCHOOL OF TANZANIA TRA Tanzania Revenue Authority Tanzania Postal Bank The Foundation For Civil Society Udhamini wa Masomo Western Union AIR TANZANIA Action Against Hunger (ACF) Agricultural Society of Kenya BRALIRWA Bondo University College Caritas Comoros Concern Worldwide Conservation Jobs Consolidated Bank of Kenya DHL Express Ewaso Ngiro South River Basin Development Authority Geologist Gulf African Bank INSTITUTE OF ADULT EDUCATION Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology Kabale University Kabale University (KAB) Kenya Ports Authority KickStart International MORUWASA Morogoro Urban Water and Sanitation Authority MSH Management Sciences for Health Mumias Sugar Company Nairobi Hospital Nkumba University Rural Electrification Agency SOKINE UNIVERSITY SONGWE STAMIGOLD Stores TACAIDS TARURA TCU Tanzania Commission for Universities Tullow Oil World Lung Foundation (WLF) ALAF Limited Aga Khan Development Network (AKDN) Aga Khan Hospital Air Malawi American Refuge Committee BENKI YA POSTA - TPB BANK BTC Belgian Technical Cooperation Bhttp://www.blogger.com/img/blank.gifank of Tanzania Bioversity International CHF International Customer Service Jobs DANGOTE DIT DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY Danida Dar es Salaam Institute of Technology Daystar University ECOBANK ETDCO Electrical Transmission and Distribution Construction and Maintenance Company European Union IFM INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT INSURANCE JOBS - BIMA ITECH Internews® Network KUITWA KAZINI Kenya Accreditation Service Kenya Polytechnic University College Kilombero Sugar Company Kisii University College Kisumu Laboratory Jobs MSD MEDICAL STORES DEPARTMENT MSF Switzerland Management Sciences for Health Manyara Maseno University Ministry of State for Planning Muteesa 1 Royal University Médecins Sans Frontières NIDA National Identification Authority Narok University College OSHA Occupational safety and Health Authority Open Society Initiative for Eastern Africa (OSIEA) PA PAC PEPSI POLICE - POLISI Petroleum EngineerS RWANDA HOUSING AUTHORITY Seychelles Songas TBC TANZANIA BROADCASTING CORPORATION TBS TANZANIA BUREAU OF STANDARDS TFDA TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY TIB - Tanzania Investment Bank Tanzania Mortagage Refinance Company Tanzania Teachers’ Union Transmara Sugar Company Tropical Pesticides Research Institute Tumba College of Technology Twiga Cement UNESCO UNOCHA Umma University University WRP Walter Reed Project ZANTEL ao uga
Powered by Blogger.