KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILINDI-SONGEA - DEC2014

HALMASHAURI YA WILAYA YA KILINDI
BARUA ZOTE ZITUMWE KWA MKURUGENZI MTENDAJI (W)
TANGAZO LA NAFASI YA KAZI
Mkurugenzi mtendaji kwa niaba ya halmashauri ya wilaya ya kilindi anawatangazia wananchi wote wenye sifa  kuomba ba kujaza nafasi za kazi zifuatazo:-
1.   KATIBU MAHUSUSI NAFASI 4
Katibu mahsusi daraja la III ngazi ya mshahara TGS B.

a.    SIFA ZA MWOMBAJI
i.    Awe amehitimu kidato cha nne na kuhudhuria mafunzo ya uhazili na kufaulu mtihani wa hatua ya tatu.
ii.    Awe amefaulu somo la hati mkato Kiswahili na kiingereza maneno 80 kwa dakika moja.
iii.    Awe amepata mafunzo ya kompyuta kutoka chuo chochote kinachotambuliwa ba serikali na kupata cheti katika program za windows Microsoft office, internet, email na publishers.
b.    KAZI NA MAJUKUMU
i.    Kuchapa barua , taarifa na nyaraka za kawaida.
ii.    Kusaidia kupokea wageni, kuwasaidia shida zao na kuwaeleza sehemu wanaweza kushughurikiwa.
iii.    Kusaidia kutafuta na kumpatia mkuu wake majalada nyaraka au kitu chochote kinachohitajika katika shughuri zake kwa wasaidizi wake na pia kuwaarifu kuhusu taarifa zozote anazokuwa amepewa na wasaidizi hao.
iv.    Kusaidia kupokea majalada, kugawanya kwa maofisa walio katika sehemu alipo ,kukusanya ,kuyatunza na kuyarudisha sehemu zinazohusika.

MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA.
•    Kila mwombaji awe na umri usiozidi miaka 45 ya kuzaliwa.
•    Waombaji wote wawe tayari kufanya kazi katika mazingira ya vijiji  na si chini ya mitatu baasa ya kuajiliwa.
•    Barua zote za maombi ziandikwe kwa mkono na mwombaji mwenye we na ziambatanishwe na  vivuli vya vyeti vya taaluma na  ujuzi. Pia mwombaji aambatanishe picha mbili za passport za hivi karibuni zikiwa zimeandikwa majina ya nyuma na cheti cha kuzaliwa.
•    Mwombaji waambatanishe maelezo binafsi yanayojitoshereza yenye anuani na namba za simu zinazoaminika.
•    Waombaji waliostafishwa katika utumishi wa umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kwa kibali cha katibu mkuu kiongozi.
•    Kwa wale waliokuwa wameomba kwenye tangazo la awali wanashauriwa kuomba upya.
•    Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 29/12/2014 saa 99: 30  alasiri.
•    Maombi yote yatumwe kwa:
Mkurugenzi mtendaji (W)
S.L.P 18
SONGEA- KILINDI.
D.R.Mayeji
Mkurugenzi mtendaji (w)
Kilindi.
========


SONGEA-KILINDI.
HALMASHAURI YA WILAYA YA KILINDI
BARUA ZOTE ZITUMWE KWA MKURUGENZI MTENDAJI (W)
TANGAZO LA NAFASI YA KAZI
Mkurugenzi mtendaji kwa niaba ya halmashauri ya wilaya ya kilindi anawatangazia wananchi wote wenye sifa  kuomba ba kujaza nafasi za kazi zifuatazo:-
2.    MTENDAJI WA KIJIJI NAFASI 25.
Mtendaji wa kijiji daraja la III, ngazi ya mshahara TGS B.
a.     SIFA ZA MWOMBAJI.
Kuajiliwa wenye elimu ya kidato cha nne na sita  aliyehitimu mafunzo ya astashahada katika moja ya fani zifuatazo , utawala, sharia, elimu ya jamii na usimamizi  wa fedha, maendeleo ya jamii na sayansi ya sanaa kutoka chuo cha serikali za mitaa Hombolo, Dodoma au chuo chochote  kinachotambuliwa na serikali.

b.    KAZI NA MAJUKUMU
i.    Afisa masuuli na mtendaji mkuu wa serikali ya vijiji.
ii.    Kusimamia ulinzi na usalama wa raia na mali zao, kuwa mlizi wa amani na msimamizi wa utawala bora katika kijiji.
iii.    Kuratibuna kusimamia upangaji wa utekelezaji wa n=mipango ya maendeleo ya kijiji.
iv.    Kuratibu na kusimamia upangaji wa utekerezaji wa mipango ya maendeleo ya kijiji.
v.    Katibu wa mikutano na kamati zote za halamashauri ya kijiji.
vi.    Kutafsiri na kusimamia sera, sharia ba taratibu.
vii.    Kuandaa taarifa za utekerezaji wa kazi katika eneo lakena kuhamasisha wananchi katika kuandaa na utekerezaji wa wa kazi katika eneo lake na  kuhamasisha wananchikatika kuandaa na kutekereza mikakati ya kuondoa njaa, umasikini, na kuongeza uzalishaji mali.
viii.    Kiongozi wa wakuu wa vitengo vya kitaaluma katika kijiji.
ix.    Kusimamia, kukusanya ba kuhifadhi kumbukumbu zote na nyaraka za kijiji.
x.    Mwenyekiti wa wa kikao kikao cha wataalam waliopo katika kijiji.
xi.    Kupokea kusimamia na kutatual malalamiko ya migogoro ya wananchi.
xii.    Kusimamia utungaji wa sharia ndogondogo za kijiji.
 MAMBOMUHIMU YA KUZINGATIA.
•    Kila mwombaji awe na umri usiozidi miaka 45 ya kuzaliwa.
•    Waombaji wote wawe tayari kufanya kazi katika mazingiraya vijiji  na si chini ya mitatu baasa ya kuajiliwa.
•    Barua zote za maombi ziandikwe kwa mkono na mwombaji mwenye we na ziambatanishwe na  vivuli vya vyeti vya taaluma na  ujuzi. Pia mwombaji aambatanishe picha mbili za passport za hivi karibuni zikiwa zimeandikwa majina ya nyuma na cheti cha kuzaliwa.
•    Mwombaji waambatanishe maelezo binafsi yanayojitoshereza yenye anuani na namba za simu zinazoaminika.
•    Waombaji waliostafishwa katika utumishi wa umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kwa kibali cha katibu mkuu kiongozi.
•    Kwa wale waliokuwa wameombakwenye tangazo la awali wanashauriwa kuomba upya.
•    Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 29/12/2014 saa 99: 30  alasiri.
•    Maombi yote yatumwe kwa:
Mkurugenzi mtendaji (W)
S.L.P 18
SONGEA- KILINDI.
D.R.Mayeji
Mkurugenzi mtendaji (w)
Kilindi.
KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILINDI-SONGEA - DEC2014 KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILINDI-SONGEA - DEC2014 Reviewed by Unknown on 2:33:00 AM Rating: 5

JOBS CATEGORY

Tanzania Kenya NGO JOBS Uganda Best Jobs Consultancy Rwanda ICT JOBS Administrative United Nations Sudan Best Jobs Finance Health - Medical Engineering Ethiopia Education Agricultural Lecturer Human Resources Somalia Media Congo - Kinshasa Legal Jobs Bank Jobs Monitoring and Evaluation Mining World Vision Burundi Procurement African Barrick Gold Accountant Zambia Sales and Marketing US EMBASSY East African Community Mozambique Telecoms Research CARE International Save The Children Plan International Arusha Malawi South Sudan Oxfam Scholarships African Development Bank Finance and Administration SafariCom Aviation The Commonwealth American Embassy Sales Zanzibar Environmental Catholic Relief Services Dar es salaam USAID Operations FHI 360 UNDP Security World Bank Economist TradeMark East Africa Unicef Hospitality Managers International Rescue Committee (IRC) Restless Development Accounting Civil Engineers AMREF Morogoro Utumishi AfDB African Development Bank COOPI - Cooperazione Internazionale Driver - Logistics Path International Mwanza African Union Tigo Jobs Marketing Mbeya Teaching Au African Union PSI Population Services International Pwc PricewaterhouseCoopers East African Breweries North Mara Gold Mine ACTED Djibouti Malaria Consortium Bulyanhulu Gold Mine DFID Driver Buzwagi Gold Mine Jhpiego COMESA FINCA JOBS International Jobs Adeso Danish Refugee Council Kilimanjaro Nairobi Coca-Cola Handicap International Pact International Rio Tinto Solidarités International Tender EGPAF Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation Logistics Serengeti Breweries Ltd Nation Media Group Africare Norwegian Refugee Council Samaritan's Purse Chemonics International COUNTRY DIRECTOR ICAP of Columbia University InterShips Precision Air RwandAir Marie Stopes International (MSI) Serengeti Breweries Volunteer Climate Change IGAD Tetra Tech ARD Agriculture Jobs Dodoma Iringa One Acre Fund Project Management Clinton Health Access Initiative (CHAI Technoserve Twaweza East Africa ActionAid Lutheran World Federation SADC Secretariat Tanga Vso International ACDI/VOCA Halmashauri Agha Khan Kenya Commercial Bank World Agroforestry Centre Deloitte East Africa International Organization for Migration (IOM) COMESA Secretariat: Software Engineering Safety and Security Shinyanga Jobs Tanzania Breweries Pathfinder International World Health Organization KPMG TANROADS Tanzania Electric Supply Company British Council Futures Group KCB BANK UN-Habitat WFP World Food Programme Barclays GEITA GOLD MINING TANESCO Electrical Engineer Food and Agriculture Organization GOAL Mombasa Tabora WWF World Wide Fund for Nature Microsoft Tanzania Ports Authority East African Development Bank Family Health International (FHI) IBM EAST AFRICA IntraHealth International Mercy Corps SERIKALINI - GOVERNMENT OF TANZANIA AccessBank Community Development Jobs Data Base Management Google Africa ICAP - TZ KEMRI/CDC Program WaterAid Tanzania Auditor SNV International Stanbic Bank Amnesty Horn Relief Kampala Management Systems International (MSI) Standard Chartered Bank VETA Christian Aid DIAMOND TRUST BANK Helen Keller International Help Age Mtwara Uganda Telecom Airtel Africa Equity Bank Internships Marie Stopes TCRA Web Development B B C WORLD SERVICE Human Rights Kigali Makerere University Nile Basin Initiative Kenyatta University Kigoma Mzumbe University NSSF National Social Security Fund Nile Breweries Limited Tulawaka Gold Mine University of Nairobi kenya Airways Bank of Tanzania Graduates MTN Muhimbili National Hospital Nepad Partners in Health Room to Read SUMATRA UNWOMEN African Wildlife foundation (AWF) KEMRI Kagera Librarian MENTOR Initiative Trainee USAILI - INTERVIEW Uiversity of Nairobi WaterAid International icipe Project CAFOD - Catholic Agency for Overseas Development Egerton University EngenderHealth Goal Ireland Kenyan Banks Lake Victoria Basin Commission Peace Corps TANAPA TASAF Tanzania Social Action Fund Zanzibar University ACB AKIBA COMMERCIAL BANK AGRA Alliance for a Green Revolution in Africa Advans Bank Ethiopian Airlines Freedom House IITA International Institute of Tropical Agriculture Legal Moshi NMB BANK Resolute Tanzania Singida Uganda Uganda National Roads Authority University of Dar es salaam University of Dodoma British High Commission ChildFund EWURA FilmAid International NECTA TPDC Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) United States International University World Concern Aga Khan Foundation CBA Commercial Bank of Africa Ecomist Ernst and Young IUCN International Union for Conservation of Nature International Medical Corps Islamic Relief Kakira Sugar Musoma National Institute for Medical Research OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA Relief International TAA Tanzania Airports Authority Trócaire Uganda Revenue Authority VODACOM TANZANIA VSF Belgium Architects Hivos IFC International Finance Corporation Ifakara Health Institute Inoorero University International Commercial Bank Kenya Red Cross Society MADEREVA Medical Oil and Gas Pwani University College SOKOINE UNIVERSITY Tumaini University Water Engineering AWF African Wildlife Foundation Acacia Mining Accounts African Virtual University Altima Africa Ardhi University Bank of Uganda Business Development Concultancy Del Monte Kenya Embassies Kenya Airports Authority Lake Victoria South Water Services Board Mara National Bank of Commerce RECORDS MANAGEMENT JOBS RUKWA Ruvuma Search for Common Ground Songea TTCL Tanzania Telecommunications Company Limited Unilever War Child International Zinduka Afrika ACORD AKU ​Aga Khan University Africa Nazarene University Africa Rice Center (AfricaRice) Aga Khan Health Services CRDB BANK Commercial Bank of Africa Daraja Tanzania Engineers Registration Board (ERB) Fina Bank International Potato Center International Potato Center (CIP) Intrahealth Jomo Kenyatta University Kilimanjaro Christian Medical Centre Kyambogo University Lindi Jobs MCL Mwananchi Communications MUHAS-harvad Moi University NBC BANK National University of Rwanda Ngorongoro Conservation Area Authority Njombe Nuru International Nzoia sugar Company RTI International SUA SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE THE LAW SCHOOL OF TANZANIA TRA Tanzania Revenue Authority Tanzania Postal Bank The Foundation For Civil Society Udhamini wa Masomo Western Union AIR TANZANIA Action Against Hunger (ACF) Agricultural Society of Kenya BRALIRWA Bondo University College Caritas Comoros Concern Worldwide Conservation Jobs Consolidated Bank of Kenya DHL Express Ewaso Ngiro South River Basin Development Authority Geologist Gulf African Bank INSTITUTE OF ADULT EDUCATION Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology Kabale University Kabale University (KAB) Kenya Ports Authority KickStart International MORUWASA Morogoro Urban Water and Sanitation Authority MSH Management Sciences for Health Mumias Sugar Company Nairobi Hospital Nkumba University Rural Electrification Agency SOKINE UNIVERSITY SONGWE STAMIGOLD Stores TACAIDS TARURA TCU Tanzania Commission for Universities Tullow Oil World Lung Foundation (WLF) ALAF Limited Aga Khan Development Network (AKDN) Aga Khan Hospital Air Malawi American Refuge Committee BENKI YA POSTA - TPB BANK BTC Belgian Technical Cooperation Bhttp://www.blogger.com/img/blank.gifank of Tanzania Bioversity International CHF International Customer Service Jobs DANGOTE DIT DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY Danida Dar es Salaam Institute of Technology Daystar University ECOBANK ETDCO Electrical Transmission and Distribution Construction and Maintenance Company European Union IFM INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT INSURANCE JOBS - BIMA ITECH Internews® Network KUITWA KAZINI Kenya Accreditation Service Kenya Polytechnic University College Kilombero Sugar Company Kisii University College Kisumu Laboratory Jobs MSD MEDICAL STORES DEPARTMENT MSF Switzerland Management Sciences for Health Manyara Maseno University Ministry of State for Planning Muteesa 1 Royal University Médecins Sans Frontières NIDA National Identification Authority Narok University College OSHA Occupational safety and Health Authority Open Society Initiative for Eastern Africa (OSIEA) PA PAC PEPSI POLICE - POLISI Petroleum EngineerS RWANDA HOUSING AUTHORITY Seychelles Songas TBC TANZANIA BROADCASTING CORPORATION TBS TANZANIA BUREAU OF STANDARDS TFDA TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY TIB - Tanzania Investment Bank Tanzania Mortagage Refinance Company Tanzania Teachers’ Union Transmara Sugar Company Tropical Pesticides Research Institute Tumba College of Technology Twiga Cement UNESCO UNOCHA Umma University University WRP Walter Reed Project ZANTEL ao uga
Powered by Blogger.