MCHAPA HATI DARAJA LA II


MCHAPA HATI DARAJA LA II – NAFASI 1

Nafasi hii ni kwaajili ya Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

45.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kuchapa taarifa za Uthamini na Hati za fidia

Kuchapa Nyaraka na Hati za kumiliki ardhi

45.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne au cha Sita waliofaulu mtihani wa Uhazili Hatua ya II kutoka Chuo cha Watumishi wa Umma na ujuzi wa Kompyuta Hatua ya I na II kutoka Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.

45.3      MSHAHARA

Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS B

xi. Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kugushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.

xii. WAAJIRI WOTE WALIOPO NJE YA DAR ES SALAAM WANAOMBWA KUSAMBAZA MATANGAZO HAYA KWENYE MBAO ZA MATANGAZO NA MAENEO MENGINE.

xiii. Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 9 Aprili, 2013

xiv. Aidha, uwasilishaji wa barua kwa mkono katika ofisi za Sekretarieti ya ajira HAURUHUSIWI.
xv. Maombi yanaweza kuandikwa kwa Lugha ya Kiswahili au Kiingereza na yatumwe kupitia posta kwa anuani ifuatayo.

Katibu, AU Secretary,
Sekretariati ya Ajira katika Public Service Recruitment
Utumishi wa Umma, Secretariat,
SLP.63100, P.O.Box 63100
Dar es Salaam. Dar es Salaam.

MCHAPA HATI DARAJA LA II MCHAPA HATI DARAJA LA II Reviewed by Unknown on 11:51:00 PM Rating: 5
Powered by Blogger.