NAFASI ZA KAZI MIFUGO NA UVUVI JULAI 2013

Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi imepanga kuajiri Wataalam wa Kada za Mifugo na Uvuvi katika mwaka 2012/2013. Hivyo, tunapenda kuwatangazia Watanzania wote wenye sifa watume barua za maombi ya kazi zifuatazo:


1.  Daktari Mifugo Mkufunzi Daraja la II (Veterinary Tutor II)  Nafasi 1

(a)      Sifa za waombaji
Waombaji wawe wamehitimu Shahada ya Sayansi ya Tiba ya Mifugo kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali na wawe wamesajiliwa na Bodi ya Madaktari wa Mifugo Tanzania.

(b)      Majukumu
  • Kutafsiri mihutasari ya mafunzo kwenye masomo;
  • Kuandaa mtiririko wa kila somo (lesson plan) kwa upande wa nadharia na vitendo;
  • Kufundisha kozi za stashahada na astashahada kwa upande wa nadharia na vitendo;
  • Kuandaa na kupanga somo la vitendo na kusimamia wanachuo wakati wa kujifunza;
  • Kupima maendeleo ya wanachuo kwenye mitihani kwa kipindi chote kinaehohusika na kutunza alama zao;
  • Kupima maendeleo ya wanachuo kwa kushirikiana na madaktari/maofisa mifugo wa wilaya, viwandani wakati wa mafunzo kwa vitendo (Field Practicals).

(c)       Mshahara wa watumishi wa Serikali ngazi ya TGS F

2.   Daktari Utafiti Mifugo Daraja la II (Veterinary Research                         Officer II)  Nafasi 2

(a)      Sifa za waombaji
Waombaji wawe wamehitimu Shahada ya Sayansi ya Tiba ya Mifugo kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali na wawe wamesajiliwa na Bodi ya Madaktari wa Mifugo Tanzania.


(b)      Majukumu
  • Kujifunza na kumudu mbinu na taratibu za utafiti wa afya na maradhi ya mifugo;
  • Kuweka kumbukumbu za utafiti;
  • Kusaidia kuendesha semina za maonyesho ya ufugaji bora;
  • Kuandaa mapendekezo  ya Utafiti (Reserach Proposal) kwa kushirikiana na Daktari Utafiti Mifugo anayemsimamia;
  • Kufanya utafiti chini ya usimamizi wa Daktari Utafiti Mwandamizi;
  • Kukusanya na kuchambua takwimu za utafiti unaoendelea na;
  • Kuchapisha taarifa na makala za Utafiti.

 (c)      Mshahara wa watumishi wa Serikali ngazi ya TGRS C       

3.   Afisa Utafiti Mifugo Daraja la II (Livestock Research  Officer II)      Nafasi 5

(a)      Sifa za waombaji
Waombaji wawe wamehitimu Shahada ya Sayansi ya Wanyama kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.

(b)      Majukumu
  • Kujifunza na kumudu mbinu na taratibu za utafiti wa mifugo/ndorobo.
  • Kufanya utafiti chini ya usimamizi wa Afisa Utafiti Mwandamizi.
  • Kuandika na Kuweka kumbukumbu za utafiti.
  • Kusaidia kuendesha semina na maonyesho ya ufugaji bora.
  • Kuandaa mapendekezo ya utafiti (Research Proposals) kwa kushirikiana na Afisa Utafiti Mifugo anayemsimamia.
  • Kufanya kazi zo zote kama atakavyoelekezwa na mkuu wake wa kazi

Mshahara wa watumishi wa Serikali ngazi ya TGRS A


4.   Mkufunzi Mifugo Daraja la II (Livestock Tutor II)          Nafasi 1
(a)      Sifa za waombaji
Waombaji wawe wamehitimu Shahada ya Sayansi ya Mifugo au Elimu, Mafunzo na Ugani kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.

(b)      Majukumu
  • Kutafsiri mihutasari ya mafunzo kwenye masomo.
  • Kuandaa mtiririko wa kila somo (lesson plan) kwa upande wa nadharia na vitendo.
  • Kufundisha kozi za stashahada na astashahada kwa upande wa nadharia na vitendo.
  • Kuandaa na kupanga somo la vitendo na kusimamia wanachuo wakati wa kujifunza.
  • Kupima maendeleo ya wanachuo kwenye mitihani kwa kipindi chote kinachohusika na kutunza alama zao.
  • Kupima maendeleo ya wanachuo kwa kushirikiana na maofisa mifugo wa wilaya, viwandani wakati wa mafunzo kwa vitendo (Field Practicals).

Mshahara wa watumishi wa Serikali ngazi  ya TGS D


5.   Afisa Mifugo Msaidizi Daraja la II (Livestock Field Officer II) Nafasi 16

 (a)     Sifa za waombaji `
Waombaji wawe wamehitimu Elimu ya kidato cha IV au cha VI wenye Stashahada (Diploma) ya Mifugo kutoka vyuo vya Mifugo (Livestock Training Institute – LITI) au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.


(b)      Majukumu
  • Kufanya uchunguzi wa magonjwa ya mifugo kwa wafugaji wa eneo lake;
  • Kukusanya takwimu za nyama na mazao yatokanayo na mifugo kama ngozi na kuandika ripoti;
  • Kushirikiana na Wakaguzi wa Afya, kukagua nyama na usafi wa machinjio mara kwa mara;
  • Kutibu na kutoa chanjo za magonjwa ya mifugo chini ya usimamizi wa Daktari wa Mifugo na kushauri wafugaji jinsi ya kukinga mifugo dhidi ya magonjwa;
  • Kusimamia uchanganyaji wa dawa ya josho;
  • Kushauri wafugaji juu ya mbinu bora za kuzalisha maziwa na utunzaji wa ndama;
  • Kusaidia katika uhamilishaji (Artificial Insermination) na Uzalishaji (Breeding) wa mifugo kwa ujumla;
  • Kukusanya takwimu za maendeleo ya mifugo katika eneo lake na;
  • Kushauri na kusimamia ujenzi wa majosho, machinjio, vibanio na miundombinu inayohusiana na ufugaji bora.

( c )     Mshahara wa watumishi wa Serikali ngazi  ya TGS C


6.   Mhandisi Baharini  II (Marine Engineer II) Nafasi 1

(a)      Sifa za waombaji
Waombaji wawe wamehitimu Shahada/Stashahada ya Juu ya Uhandisi kutoka Vyuo Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali.

(b)      Majukumu
  • Kusimamia ufungaji wa mitambo katika vyombo vya uvuvi;
  • Kushauri juu ya aina za vyombo/mitambo inayostahili kuendeleza uvuvi;
  • Kusimamia matengenezo ya vyombo vya uvuvi na;
  • Kusimamia uendeshaji wa mitambo ya vyombo vya baharini.

(c )      Mshahara wa watumishi wa Serikali ngazi  ya TGS E

7.   Mkunfuzi wa Mifugo Msaidizi Daraja la II (Assistant Livestock Tutor  II) Nafasi 1

 (a)     Sifa za waombaji `
Waombaji wawe wamehitimu Elimu ya kidato cha IV au cha VI wenye Stashahada (Diploma) ya Mifugo kutoka vyuo vya Mifugo (Livestock Training Institute – LITI) au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.

(b)      Majukumu
  • Kuandaa mtiririko (Lesson Plan) wa somo;
  • Kufundisha Kozi ya Astashahada ya Mifugo kwa Wanafunzi na wafugaji;
  • Kusimamia  masomo ya vitendo chini ya usimamizi wa Mkufunzi Mkuu wa somo;
  • Kuandaa na kupanaga vifaa kwa ajili ya somo la vitendo;
  • Kuwapima wanachuo wakati wa mazoezi ya somo la vitendo na
  • Anaweza kuteuliwa kuwa Mkuu wa Kitengo (Dairy,Poultly,maabara, museum)

( c ) Mshahara wa watumishi wa Serikali ngazi  ya TGS C


8.   Fundi Sanifu Maabara  za Mifugo Daraja la II (Veterinary Laboratory Technician  II) Nafasi 2

 (a)     Sifa za waombaji
Waombaji wawe wamehitimu Elimu ya kidato cha VI wenye Stashahada (Diploma) katika fani ya Fundi Sanifu Maabara (Mifugo) kutoka Chuo cha Mifugo (LITI) au vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.

(b)      Majukumu
  • Kukusanya sampuli kwa ajili ya uchunguzi wa maabara;
  • Kuwasaidia wataalam kuandaa vifaa vya uchunguzi;
  • Kutunza takwimu za uchunguzi;
  • Kutunza usafi wa maabara na vyombo vilivyomo;

( c )     Mshahara wa watumishi wa Serikali ngazi  ya TGS C


9.   Afisa Uvuvi Msaidizi II (Asistant Fisheries Officer II) Nafasi 2


(a) Sifa za waombaji
Waombaji wawe wamehitimu Elimu ya kidato cha VI wenye Stashahada (Diploma) Uvuvi au Uhifadhi wa Samaki na Masoko (Fish Processing & Marketing) kutoka vyuo vya uvuvi vya Mbegani, Kunduchi, Nyegezi au vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.


(b) Majukumu
  • Kutengeneza, Kushona, Kutunza na Kukarabati zana za uvuvL
  • Kutunza na kuangalia mabwawa ya samaki
  • Kutega mitego Ziwani au Baharini.
  • Kutengeneza nyavu ndogo ndogo.
  • Kuwapa chakula samaki katika mabwawa.
  • Kuvua samaki katika mabwawa.
  • Kutoa ushauri kwa wavuvi kuhusu mbinu mbalimbali za uvuvi.
  • Kukusanya takwimu za uvuvi kutoka kwenye vituo vya kupokelea samaki.
  • Kutoa ushauri juu ya uhifadhi wa samaki na mbinu za usambazaji na uuzaji wa mazao yatokanayo na samaki.
  • Kuwaelimisha wananchi juu ya ufugaji wa samaki na mambo muhimu I

( c )     Mshahara wa watumishi wa Serikali ngazi  ya TGS C

10.        Mteknolojia wa Samaki  II (Fish Technologist II) Nafasi 1

(a)      Sifa za waombaji

Waombaji wawe wamehitimu Shahada ya Sayansi ya Chakula (Food Science and Food Nutrition, Food Technology, Microbiology) kutoka Vyuo Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali.


(b)      Majukumu

  • Kutoa ushauri juu ya utayarishaji, utengenezaji, ukaushaji na uhifadhi wa samaki na mazao yatokanayo na uvuvi;
  • Kusimamia na kushauri juu ya Kanuni za uthibiti ubora wa Samaki na mazao yake;
  • Kutoa ushauri juu ya matumizi mbalimbali ya samaki kama chakula bora katika viwanda na maeneo mengine;
  • Kudhibiti ubora wa samaki katika mialo;
  • Kuthibiti usafi katika maeneo ya kupokelea samaki na;
  • Kukagua nyaraka mbalimbali zinazotakiwa kutunzwa melini na viwandani.

(c )      Mshahara wa watumishi wa Serikali ngazi  ya TGS D


MAMBO YA KUZINGATIA

(i)              Barua za maombi zimbatane na Maelezo Binafsi  (CV), picha ndogo za 2 ukubwa wa pasipoti, cheti cha kuzaliwa, vyeti vya kuhitimu elimu ya Sekondari na Shahada;
(ii)             Waombaji wawe na umri usiozidi miaka 45;
(iii)            Wahitimu walioajiriwa Serikalini hawaruhusiwi kuomba nafasi hizi kwa sababu tayari wana ajira;
(iv)           Wahitimu waliotuma maombi yao kabla ya tangazo hili wanashauriwa kutuma maombi upya;
(v)            Barua zote za maombi ziwasilishwe katika muda wa siku saba kuanzia tarehe ya kwanza ya kutolewa tangazo hili;
(vi)           Tangazo hili linapatikana kwenye Tovuti ya Wizara www.mifugouvuvi.go.tz na;
(vii)          Barua zote zitumwe kwa:


Katibu Mkuu,
Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi,
S.L.P 9152,

DAR ES SALAAM.
NAFASI ZA KAZI MIFUGO NA UVUVI JULAI 2013 NAFASI ZA KAZI MIFUGO NA UVUVI JULAI 2013 Reviewed by Unknown on 6:26:00 AM Rating: 5

JOBS CATEGORY

Tanzania Kenya NGO JOBS Uganda Best Jobs Consultancy Rwanda ICT JOBS Administrative United Nations Sudan Best Jobs Finance Health - Medical Engineering Ethiopia Education Agricultural Lecturer Human Resources Somalia Media Congo - Kinshasa Legal Jobs Bank Jobs Monitoring and Evaluation Mining World Vision Burundi Procurement African Barrick Gold Accountant Zambia Sales and Marketing US EMBASSY East African Community Mozambique Telecoms Research CARE International Save The Children Plan International Arusha Malawi South Sudan Oxfam Scholarships African Development Bank Finance and Administration SafariCom Aviation The Commonwealth American Embassy Sales Zanzibar Environmental Catholic Relief Services Dar es salaam USAID Operations FHI 360 UNDP Security World Bank Economist TradeMark East Africa Unicef Hospitality Managers International Rescue Committee (IRC) Restless Development Accounting Civil Engineers AMREF Morogoro Utumishi AfDB African Development Bank COOPI - Cooperazione Internazionale Driver - Logistics Path International Mwanza African Union Tigo Jobs Marketing Mbeya Teaching Au African Union PSI Population Services International Pwc PricewaterhouseCoopers East African Breweries North Mara Gold Mine ACTED Djibouti Malaria Consortium Bulyanhulu Gold Mine DFID Driver Buzwagi Gold Mine Jhpiego COMESA FINCA JOBS International Jobs Adeso Danish Refugee Council Kilimanjaro Nairobi Coca-Cola Handicap International Pact International Rio Tinto Solidarités International Tender EGPAF Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation Logistics Serengeti Breweries Ltd Nation Media Group Africare Norwegian Refugee Council Samaritan's Purse Chemonics International COUNTRY DIRECTOR ICAP of Columbia University InterShips Precision Air RwandAir Marie Stopes International (MSI) Serengeti Breweries Volunteer Climate Change IGAD Tetra Tech ARD Agriculture Jobs Dodoma Iringa One Acre Fund Project Management Clinton Health Access Initiative (CHAI Technoserve Twaweza East Africa ActionAid Lutheran World Federation SADC Secretariat Tanga Vso International ACDI/VOCA Halmashauri Agha Khan Kenya Commercial Bank World Agroforestry Centre Deloitte East Africa International Organization for Migration (IOM) COMESA Secretariat: Software Engineering Safety and Security Shinyanga Jobs Tanzania Breweries Pathfinder International World Health Organization KPMG TANROADS Tanzania Electric Supply Company British Council Futures Group KCB BANK UN-Habitat WFP World Food Programme Barclays GEITA GOLD MINING TANESCO Electrical Engineer Food and Agriculture Organization GOAL Mombasa Tabora WWF World Wide Fund for Nature Microsoft Tanzania Ports Authority East African Development Bank Family Health International (FHI) IBM EAST AFRICA IntraHealth International Mercy Corps SERIKALINI - GOVERNMENT OF TANZANIA AccessBank Community Development Jobs Data Base Management Google Africa ICAP - TZ KEMRI/CDC Program WaterAid Tanzania Auditor SNV International Stanbic Bank Amnesty Horn Relief Kampala Management Systems International (MSI) Standard Chartered Bank VETA Christian Aid DIAMOND TRUST BANK Helen Keller International Help Age Mtwara Uganda Telecom Airtel Africa Equity Bank Internships Marie Stopes TCRA Web Development B B C WORLD SERVICE Human Rights Kigali Makerere University Nile Basin Initiative Kenyatta University Kigoma Mzumbe University NSSF National Social Security Fund Nile Breweries Limited Tulawaka Gold Mine University of Nairobi kenya Airways Bank of Tanzania Graduates MTN Muhimbili National Hospital Nepad Partners in Health Room to Read SUMATRA UNWOMEN African Wildlife foundation (AWF) KEMRI Kagera Librarian MENTOR Initiative Trainee USAILI - INTERVIEW Uiversity of Nairobi WaterAid International icipe Project CAFOD - Catholic Agency for Overseas Development Egerton University EngenderHealth Goal Ireland Kenyan Banks Lake Victoria Basin Commission Peace Corps TANAPA TASAF Tanzania Social Action Fund Zanzibar University ACB AKIBA COMMERCIAL BANK AGRA Alliance for a Green Revolution in Africa Advans Bank Ethiopian Airlines Freedom House IITA International Institute of Tropical Agriculture Legal Moshi NMB BANK Resolute Tanzania Singida Uganda Uganda National Roads Authority University of Dar es salaam University of Dodoma British High Commission ChildFund EWURA FilmAid International NECTA TPDC Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) United States International University World Concern Aga Khan Foundation CBA Commercial Bank of Africa Ecomist Ernst and Young IUCN International Union for Conservation of Nature International Medical Corps Islamic Relief Kakira Sugar Musoma National Institute for Medical Research OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA Relief International TAA Tanzania Airports Authority Trócaire Uganda Revenue Authority VODACOM TANZANIA VSF Belgium Architects Hivos IFC International Finance Corporation Ifakara Health Institute Inoorero University International Commercial Bank Kenya Red Cross Society MADEREVA Medical Oil and Gas Pwani University College SOKOINE UNIVERSITY Tumaini University Water Engineering AWF African Wildlife Foundation Acacia Mining Accounts African Virtual University Altima Africa Ardhi University Bank of Uganda Business Development Concultancy Del Monte Kenya Embassies Kenya Airports Authority Lake Victoria South Water Services Board Mara National Bank of Commerce RECORDS MANAGEMENT JOBS RUKWA Ruvuma Search for Common Ground Songea TTCL Tanzania Telecommunications Company Limited Unilever War Child International Zinduka Afrika ACORD AKU ​Aga Khan University Africa Nazarene University Africa Rice Center (AfricaRice) Aga Khan Health Services CRDB BANK Commercial Bank of Africa Daraja Tanzania Engineers Registration Board (ERB) Fina Bank International Potato Center International Potato Center (CIP) Intrahealth Jomo Kenyatta University Kilimanjaro Christian Medical Centre Kyambogo University Lindi Jobs MCL Mwananchi Communications MUHAS-harvad Moi University NBC BANK National University of Rwanda Ngorongoro Conservation Area Authority Njombe Nuru International Nzoia sugar Company RTI International SUA SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE THE LAW SCHOOL OF TANZANIA TRA Tanzania Revenue Authority Tanzania Postal Bank The Foundation For Civil Society Udhamini wa Masomo Western Union AIR TANZANIA Action Against Hunger (ACF) Agricultural Society of Kenya BRALIRWA Bondo University College Caritas Comoros Concern Worldwide Conservation Jobs Consolidated Bank of Kenya DHL Express Ewaso Ngiro South River Basin Development Authority Geologist Gulf African Bank INSTITUTE OF ADULT EDUCATION Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology Kabale University Kabale University (KAB) Kenya Ports Authority KickStart International MORUWASA Morogoro Urban Water and Sanitation Authority MSH Management Sciences for Health Mumias Sugar Company Nairobi Hospital Nkumba University Rural Electrification Agency SOKINE UNIVERSITY SONGWE STAMIGOLD Stores TACAIDS TARURA TCU Tanzania Commission for Universities Tullow Oil World Lung Foundation (WLF) ALAF Limited Aga Khan Development Network (AKDN) Aga Khan Hospital Air Malawi American Refuge Committee BENKI YA POSTA - TPB BANK BTC Belgian Technical Cooperation Bhttp://www.blogger.com/img/blank.gifank of Tanzania Bioversity International CHF International Customer Service Jobs DANGOTE DIT DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY Danida Dar es Salaam Institute of Technology Daystar University ECOBANK ETDCO Electrical Transmission and Distribution Construction and Maintenance Company European Union IFM INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT INSURANCE JOBS - BIMA ITECH Internews® Network KUITWA KAZINI Kenya Accreditation Service Kenya Polytechnic University College Kilombero Sugar Company Kisii University College Kisumu Laboratory Jobs MSD MEDICAL STORES DEPARTMENT MSF Switzerland Management Sciences for Health Manyara Maseno University Ministry of State for Planning Muteesa 1 Royal University Médecins Sans Frontières NIDA National Identification Authority Narok University College OSHA Occupational safety and Health Authority Open Society Initiative for Eastern Africa (OSIEA) PA PAC PEPSI POLICE - POLISI Petroleum EngineerS RWANDA HOUSING AUTHORITY Seychelles Songas TBC TANZANIA BROADCASTING CORPORATION TBS TANZANIA BUREAU OF STANDARDS TFDA TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY TIB - Tanzania Investment Bank Tanzania Mortagage Refinance Company Tanzania Teachers’ Union Transmara Sugar Company Tropical Pesticides Research Institute Tumba College of Technology Twiga Cement UNESCO UNOCHA Umma University University WRP Walter Reed Project ZANTEL ao uga
Powered by Blogger.