Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, DIWANI ATHUMANI – ACP anawatangazia Wanachi wote ya kuwa rododha ya majina ya vijana waliomaliza Kidato cha Nne mwaka 2012 na cha Sita mwaka 2013 na kuchaguliwa kufanya usalii wa kujiunga na Jeshi la Polisi inapatikana kwenye tovuti ya Polisi: www.policeforce.go.tz
Muhimu:
Ni muhimu sana kwa kila mwombaji kuzingatia muda wa kuanza usaili.
Mikoa, vituo na tarehe za usaili zimeoneshwa kwenye jedwali hapa chini:
Muhimu:
Ni muhimu sana kwa kila mwombaji kuzingatia muda wa kuanza usaili.
Mikoa, vituo na tarehe za usaili zimeoneshwa kwenye jedwali hapa chini:
Orodha hiyo ni kama ifuatavyo:
USAILI JESHI LA POLISI TANZANIA
Reviewed by Unknown
on
10:23:00 AM
Rating: