Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa anawatangazia wananchi wote wenye sifa zinazotakiwa kuomba
kujaza nafasi za kazi mbalimbali kama ifuatavyo:-
MTENDAJI WA KIJIJIIII - (NAFASI 32) .
SIFA/ELIMU/UJUZI
Awe na Ellmu ya Kidato cha IVNI aliyehitimu (heti/Astashahada katika fani ya Utawala. Sheria, Elimu ya
Jamii, Usimamizi wa Fedha, Maendeleo ya Jamii kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo, Oodoma au
Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
KAZI NA MAJUKUMU
Kuwa Katibu wa Kamati ya Kijiji.
Kuwa Mtendaji Mkuu wa Kijiji.t.i
Mratibu wa utekelezaji wa Sera na Sheria zinazotekelezwa na Halmas~uri katika Kijiji.
Mshauri wa Kamati ya Kijiji kuhusu Mipango ya Maendeleo katika Kijiji.
Msimamizi wa Utekelezaji wa Sheria Ndogo pamoja na Sheria nyingine zinazotumika katika Kijiji. '
Mshaurl wa Kamatl ya Kijiji kuhusu katika masuala ya Ulinzi na Usalama.
Msimamizi wa Utekelezaji wa mikakati mbalimbali inayohusu Uondoaji wa Njaa na Umaskini katika Kijiji.
Kusimamia ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri na kutunza kumbukumbu za walipa kodi wote.
Kuandaa na kutunza rejesta ya wakazi wote wa Kijiji na
Atawajibika kwa Mtendaji wa Kata.
UMRI:- Mwombaji awe Aa siopungua miaka 18 na usiozidi tniaka 40.
MSHAHARA
Kianzio cha ngazi ya mshahara ni TGS. B (1)
kujaza nafasi za kazi mbalimbali kama ifuatavyo:-
MTENDAJI WA KIJIJIIII - (NAFASI 32) .
SIFA/ELIMU/UJUZI
Awe na Ellmu ya Kidato cha IVNI aliyehitimu (heti/Astashahada katika fani ya Utawala. Sheria, Elimu ya
Jamii, Usimamizi wa Fedha, Maendeleo ya Jamii kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo, Oodoma au
Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
KAZI NA MAJUKUMU
Kuwa Katibu wa Kamati ya Kijiji.
Kuwa Mtendaji Mkuu wa Kijiji.t.i
Mratibu wa utekelezaji wa Sera na Sheria zinazotekelezwa na Halmas~uri katika Kijiji.
Mshauri wa Kamati ya Kijiji kuhusu Mipango ya Maendeleo katika Kijiji.
Msimamizi wa Utekelezaji wa Sheria Ndogo pamoja na Sheria nyingine zinazotumika katika Kijiji. '
Mshaurl wa Kamatl ya Kijiji kuhusu katika masuala ya Ulinzi na Usalama.
Msimamizi wa Utekelezaji wa mikakati mbalimbali inayohusu Uondoaji wa Njaa na Umaskini katika Kijiji.
Kusimamia ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri na kutunza kumbukumbu za walipa kodi wote.
Kuandaa na kutunza rejesta ya wakazi wote wa Kijiji na
Atawajibika kwa Mtendaji wa Kata.
UMRI:- Mwombaji awe Aa siopungua miaka 18 na usiozidi tniaka 40.
MSHAHARA
Kianzio cha ngazi ya mshahara ni TGS. B (1)
MSAIDIZI WA KUMBUK.UMBU II (NAFASI 1)
SIFA/ELIMU/UJUZI
Awe na Elimu ya Kidato cha IV/VI aliyehltimu Cheti/Astashahada ya Utunzaji Kumbukumbu katika
mojawapo ya fani za Afya) Masjala, Mahakama na Ardhi katika chuo cha Utumishi wa Umma au chochote
kinachotambuliwa na serikali katika fani ya Utunzaji Kumbukumbu.
KAZI NA MAJUKUMU
Hili ni daraja la mafunzo katika kazi, hivyo watafanya kaii kwa maelekezo ya Wasaidizi wa Kumbukumbu
walio juu yao pamoja na:
Kutafuta kumbukumbu/nyaraka/majalada yanayohitajiwa na wasomaji.
Kudhibiti upokeaji, uandlklshaji wa kumbukumbu/nyaraka.
Kuchambua, kuorodhesha na kupanga kumbukumbu/nyaraka katika makundi kulingana na somo
husika (classification and boxing) kwa ajili ya matumizi ya ofisi.
Kuweka/kupanga kumbukumbu/nyaraka katika reki (file racks/cabinets) katika Masja/a/vyumba
vya kuhi'fadhiyva kurnbukurnbu,
Kuweka kumbukumbu (barua, nyaraka na kadhalika) katika majalada.
Kushughulikia maombi ya kumbukumbu/nyaraka kutoka Taasisi za Serikali.
UMRI: Mwombaji awe na umri usiopungua miaka 18 na uslozldi miaka 40.
MSHAHARA
Kianzio cha ngazi ya mshahara ni TGS. B (1).
KATIBU MUHTASIIII - (NAFASI 2)
SIFA/ELIMU/UJUZI
Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha IV waliohudhuria Mafunzo ra Uhazili na kufaulu mtihani wa Hatua ya
Tatu. Wawe wamefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno 80 kwa dakika moja na
wawe wamepata mafunzo ya Kompyuta kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikall na kupa'ta
cheti katika programu za Windows, Microsoft Office, Internet, E-mail na Publisher.
KAZI NA MAJUKUMU
Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida.
Kusaidia kupokea wageni na kuwasaili shida zao, na kuwaelekeza sehemu wanapoweza
kushughulikiwa.
Kusaidia kutunza taarifa/kumbukumbu za matukio, miadi, wageni, tarehe za vikao, safari za Mkuu
wake na ratiba ya kazi zingine zilizopangwa kutekelezwa katika ofisi anamofanyia kazi na kumuarifu
Mkuu wake kwa wakati unaohitajika.
Kusaidia kutafuta na kumpatia Mkuu wake majalada, nyaraka au kitu chochote kinachohitajika
katika shughuli za kazi hapo ofisini. .
Kusaidia kufikisha maelekezo ya Mkuu wake wa kazi kwa wasaidizi wake na pia kumuarifu kuhusu
taarifa zozote anazokuwa amepewa na wasaidizi hao.
Kusaidia kupokea majalada, kuyagawa kwa Maofisa walio katika sehemu alipo na kuyakusanya,
kuyatunza na kuyarudisha sehemu zinazohusika.
Kutekeleza kazi zozote atakazokuwa amepangiwa na Msimamizi wake wa kazi.
UMRI- Mwombaji awe na umri usiopungua miaka 18 na usiozidi miaka 40.
MSHAHARA
Kianzio cha ngazi ya mshahara ni TGS. B (1).
SIFA/ELIMU/UJUZI
Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha IV waliohudhuria Mafunzo ra Uhazili na kufaulu mtihani wa Hatua ya
Tatu. Wawe wamefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno 80 kwa dakika moja na
wawe wamepata mafunzo ya Kompyuta kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikall na kupa'ta
cheti katika programu za Windows, Microsoft Office, Internet, E-mail na Publisher.
KAZI NA MAJUKUMU
Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida.
Kusaidia kupokea wageni na kuwasaili shida zao, na kuwaelekeza sehemu wanapoweza
kushughulikiwa.
Kusaidia kutunza taarifa/kumbukumbu za matukio, miadi, wageni, tarehe za vikao, safari za Mkuu
wake na ratiba ya kazi zingine zilizopangwa kutekelezwa katika ofisi anamofanyia kazi na kumuarifu
Mkuu wake kwa wakati unaohitajika.
Kusaidia kutafuta na kumpatia Mkuu wake majalada, nyaraka au kitu chochote kinachohitajika
katika shughuli za kazi hapo ofisini. .
Kusaidia kufikisha maelekezo ya Mkuu wake wa kazi kwa wasaidizi wake na pia kumuarifu kuhusu
taarifa zozote anazokuwa amepewa na wasaidizi hao.
Kusaidia kupokea majalada, kuyagawa kwa Maofisa walio katika sehemu alipo na kuyakusanya,
kuyatunza na kuyarudisha sehemu zinazohusika.
Kutekeleza kazi zozote atakazokuwa amepangiwa na Msimamizi wake wa kazi.
UMRI- Mwombaji awe na umri usiopungua miaka 18 na usiozidi miaka 40.
MSHAHARA
Kianzio cha ngazi ya mshahara ni TGS. B (1).
APPLICATION INSTRUCTIONS:
MAELEZO YA JUMLA
Maombi yote yawasilishwe yakiwa yameambatishwa na CV pamoja na nakala za vyeti vya kuhitimu elimu na mafunzo {vyeti vinavyoonyesha kiwango cha kufaulu sio "Leaving Certificate
MUHIMU
MUOMBAJI ANATAKIWA KUTUMIA VYETI VYAKE HALISI NA HALALI, KWANI UHAKIKI WA VYETI UTAFANYIKA BARAZA
LA MITIHANI NA VYUO VYA MAFUNZO ALIVYOPITIA. ENDAPO ITAJULIKANA KUWA NA UDANGANYIFU WA AINA
YOYOTE HATUA ZA KISHERIA ZITACHUKULIWA.
WAOMBAJI WALIOHITIMU MAFUNZO YA JESHI LA KUJENGA TAIFA WATAPEWA KIPAUMBELE KWA KUWA MAFUNZO
HAYO NI MUHIMU YENYE KULETA UZALENDO NA UADILIFU KATIKA UTUMISHI WA UMMA.
Maombi yatumwe kwa Anwani ifuatayo:-
MKURUGENZI MTENDAJI WllAYA
HALMASHAURI VA WILAVA VA KILOSA
S.L.P 65
KILOSA
Mwisho wa kupokea maombi ni siku kumi na nne (14) baada ya kutolewa Tangazo.
Imetolewa na:
Idd A. Mshili
MKURUGENZI MTENDAJI (W)
HALMASHAURI YA WILAYA VA KILOSA
Maombi yote yawasilishwe yakiwa yameambatishwa na CV pamoja na nakala za vyeti vya kuhitimu elimu na mafunzo {vyeti vinavyoonyesha kiwango cha kufaulu sio "Leaving Certificate
MUHIMU
MUOMBAJI ANATAKIWA KUTUMIA VYETI VYAKE HALISI NA HALALI, KWANI UHAKIKI WA VYETI UTAFANYIKA BARAZA
LA MITIHANI NA VYUO VYA MAFUNZO ALIVYOPITIA. ENDAPO ITAJULIKANA KUWA NA UDANGANYIFU WA AINA
YOYOTE HATUA ZA KISHERIA ZITACHUKULIWA.
WAOMBAJI WALIOHITIMU MAFUNZO YA JESHI LA KUJENGA TAIFA WATAPEWA KIPAUMBELE KWA KUWA MAFUNZO
HAYO NI MUHIMU YENYE KULETA UZALENDO NA UADILIFU KATIKA UTUMISHI WA UMMA.
Maombi yatumwe kwa Anwani ifuatayo:-
MKURUGENZI MTENDAJI WllAYA
HALMASHAURI VA WILAVA VA KILOSA
S.L.P 65
KILOSA
Mwisho wa kupokea maombi ni siku kumi na nne (14) baada ya kutolewa Tangazo.
Imetolewa na:
Idd A. Mshili
MKURUGENZI MTENDAJI (W)
HALMASHAURI YA WILAYA VA KILOSA
Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa - Julai 2015
Reviewed by Unknown
on
5:10:00 AM
Rating: